Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Naishauri timu yangu ya Wananchi, wajikite sasa kwenye maandalizi ya michezo ijayo. Huu mchezo ulishapita. Hivyo sioni sababu ya kuweka mabango, nk.
Hii itatufanya tuonekane kama tulibahatisha vile kuwafunga watani wetu zile goli 5. Tuonesheshe maturity bhana.
Hii itatufanya tuonekane kama tulibahatisha vile kuwafunga watani wetu zile goli 5. Tuonesheshe maturity bhana.