Hii kisheria ipoje? Simba haiwezi kutafuta tafsiri ya kisheria kwa Yanga kutumia Logo ya Simba kujinufaisha kibiashara?

Nmesubiri uweke vifungu vya sheria kumbe mboyoyo tu
 
Ni wachache tunajua vitu kama hivi hongera sana, majority ya watu kwenye hizi nchi changa zimejaa uninformed customers both actual and potential customers, most purchases are done blindly, however this is the viral one but it has to be linked with a special theme, inaback pakubwa ni brand zaidi
 
Maelezo mengi ya nini taja idadi ya kesi
 
Nasemaje hichi kipigo kitawatesa sana, na mkituudhi zaidi hilo bango tutakuja kuliweka bunju na hamna kitu mtafanya [emoji23]
Unateseka wewe kuweka mabango ya kishama unaingia gharama za kijinga na ukiburuzwa mahakamani unalipishwa billions of money. Kweli ushamba ni mzigo. Simba aliifunga Yanga 5-0 mbona hakuweka mabango? Mtahangaika sana mwaka huu
 
Naomba kuuliza hili huyo SEIFI STORE - TANGA anafanya nn ktk hilo bango? Si mmoja wa wadhamini wa Ligi, wala timu yoyote inayoshiriki Ligi, anahusikaje hapa.
 
Hiyo Logo sio ya Simba angalia vizuri logo ya Simba neno Simba Lina Rangi nyekundu i hapo neno Simba Lina Rangi nyeupe yanga wapo smart sana
 
Simba Kuna vilaza hawawezi kung'amua, Kama mo anatumia kampuni yake kutengeneza khanga za Simba na kuuza huku Simba hawapati hata Senti tano wataweza kuhoji kuhusu logo yao kutumika kwenye mabango
.
Young African kuna vilaza, wameshindwa kung'amua kama GSM anatantanga bidhaa za 'Haier' kwenye Jezi za Young African za msimu huu, na timu haipati hata mia.

Ukiwauliza wanachama wanakwambia...
"Katangazo kenyewe ni kadogo"
"Tumuachie tuu"
Full vituko...

Hizi timu...zimejaa vilaza, wachache wajanja wanapiga pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…