Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

You got it all wrong. JPM was JK's candidate. Jk aliua ndege wawili kwa JIWE moja in 2015. On one side, kwa kusimama na JPM aliua uwezekano wowote wa hasimu wake Lowassa kujipenyeza kwa mgongo wa nyuma katika "tano bora" ya mgombea urais wa CCM. Kwa upande mwingine, JPM made a perfect fall guy. Jk knew JPM had some serious health issues, and he wouldn't last long kwenye urais. Lakini by the time he's gone, Watanzania wangekuwa wanamkumbuka Jk licha ya utawala wake kuwa wa kifisadi kupita maelezo. And that's exactly what happened. Badala ya watu kushukuru kwamba angalau under JPM sasa Tanzania sio major importer and exporter wa sembe, au sio major hub ya arms and people trafficking, watu wakamkumbuka Jk kwa vile "vyuma vilikaza" under JPM. Na hata hapa JF watu wakatamani "bora JK." Wapinzani nao wakaimba wimbo huohuo.

Kuna "makosa ya makusudi" kwenye hoja zako. Moja ni kudai "PM wa kwanza wa Jk, yaani Lowassa, alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika." Really? Kwa ufisadi wa Richmond? [emoji849]

That aside, Jk alimtengeneza JPM kuja kuwa rais wa kulaumiwa, not essentially kwa sababu he was a fearless tyrant, bali kwa vile katika kusafisha madudu ya mtangulizi wake, akageuka adui wa Watanzania wengi. Watanzania wanapenda utelezi. Wanataka kuamka saa 4 asubuhi huku fedha za kifisadi zinamiminika kwenye akaunti zao. Wanapenda kuwa na pato la ziada la kuwawezesha kumudu kuwa na nyumba ndoto zisizohesabika. Kuishi maisha ya kitajiri pasi elimu wala ajira kuna hitaji moja muhimu: uhalifu.

Long story short. Haya yote unayoshuhudia muda huu yalitengemezwa kabla JPM hajaingia madarakani. Ofkoz kuna wakati hata Jk mwenyewe was worried kuwa labda alifanya miscalculation kum-pick JPM as a fall guy, but the end justified the means.

Here we are again, Jk is back at the helm.

Hii ni condensed version of a very long episode, which essentially started in 2005. Panapo majaliwa, you'll read it in a book. Kwa sababu tusipoweka rekodi sawa kwa njia ya maandishi, sio tu wazushi watakuja na stori "za kusafishana" bali pia vizazi vijavyo havitoweza kuelewa kwanini nchi yao ipo the way itakavyokuwa.

Finally, kama hadi leo hakujawa na jitihada za kuangalia "the ugly side of Mwalimu's ujamaa/rule," kama ambavyo tawala za Mwinyi, Mkapa, na Jk hazijawekwa under microscope, ni ngumu kufahamu "the ugly side of JPM," including how hiyo miradi unayosema ni ya maslahi ya taifa ilivyogubikwa na ufisadi mkubwa na ilitekelezwa bila kujali ridhaa ya wananchi kupitia wawakilishi wao bungeni. To make matters even worse, tofauti na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Jk, kwa JPM kuna suala la "kulinda legacy yake." Na ukigusa tu mapungufu yake hata ya kibinadamu, tarajia mashambulizi ya nguvu from watetezi wake, most of whom bado hawaamini kuwa they guy is actually gone for good.
Waiting for the book...ingawa sijamaliza kusoma 'shushushu'...

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
WASAKA URAIS WA CCM WANAMUOGOPA JANUARI KULIKO KITU CHOCHOTE. WANAJUA DOGO ANA MBINU MILIONI MOJA ZA KUINGIA IKULU.

WATAMCHAFUA KWA KILA HALI.


Mbinu milioni moja za kishamba za kutumia Ndumba na kumaliza wenzie na sumu hizo ni mbinu

Walimpa Deo Filikunjombe bag ya hela yenye Sumu na dawa za usingizi apakie kwenye helicopter bila kujua deo akapokea kumbe ndio alikua anapokea kifo chake

Hii ni moja ya sababu JPM alikua hamkubali huyu
OBama wanna be
 
Mbinu milioni moja za kishamba za kutumia Ndumba na kumaliza wenzie na sumu hizo ni mbinu

Walimpa Deo Filikunjombe bag ya hela yenye Sumu na dawa za usingizi apakie kwenye helicopter bila kujua deo akapokea kumbe ndio alikua anapokea kifo chake

Hii ni moja ya sababu JPM alikua hamkubali huyu
OBama wanna be
Pole sana. Hivi kwa uongo wa kijinga hivi ndio mtashindana na January?
 
Basi ni sawa.
Nafahamu wenye nchi ni wananchi ila wananchi wenyewe hawasikilizwi linapokuja suala nyeti la maendeleo ya taifa, watu fulani wanajimegea maamuzi wakidhani wanamkomoa mwenye nchi.

Huyu kijana mwenzenu anafanya hayo anayoona ni stable kwake kwa lengo la kumkomoa asiye kuwepo, hilo ni janga kubwa sana.
 
Pole sana. Hivi kwa uongo wa kijinga hivi ndio mtashindana na January?

Mlimtoa JPM machozi kwa kifo cha Deo ulidhani ungekua Waziri Mkuu baada ya kifo cha Deo

Ukalala yoooooo

CE2576BF-5175-4872-AD94-12022CD403C9.jpeg
 
hizi nchi zetu za dunia ya tatu zina shida sana, hao wenye nchi zao (kama kweli wapo km unavyodai) ni heri wangejikita kutengeneza taasisi imara watasaidia sana badala ya kuweka mtu mmoja ainyooshe nchi haitasaidia chochote maana mtu hadumu km tulivyoona ila taasisi zipo milele,

Deep state ipo kila mahala duniani. Hata kwenye vitabu imeandikwa, patakatifu pa patakatifu zaidi.
 
Sina hakika
Serekali hii hii ya majizi ya kura?
Sina hakika na Hilo..ila nilicho na uhakika ni kuwa matajiri wa ndani wakiungwa mkono na mabeberu wana influence kubwa Sana katika masuala ya uendeshaji wa nchi...sijui Kama SGR itaisha...sijui Kama Bwawa la Nyerere lutamalizika katika ujenzi wake...malori ya kusafirisha mizigo yaliyokuwa Kama yamepungua yako barabarani kwa Kasi...yalikuwa yamefichwa Sasa yameachiwa...Tony Blair alikuja hapa kutushauri...mgao wa umeme upo kimya kimya...mgao wa maji umetangazwa rasmi...magazeti ya nchi tajiri likiwemo Financial Times yameanza kutusifu...ukiona unasifiwa na mabeberu ujue Kuna tatizo mahali...arrogance kwenye taasisi za umma na idara za serikali imerudi kwa Kasi...juhudi kubwa zinafanywa kuichafua serikali ya awamu ya tano kuhusu utendaji wake...wanataka kufuta legacy...lakini unaweza kubadili fikra ndani ya vichwa vya wananchi walioaminishwa ubaya na uovu wa mabeberu na makuwadi wa ndani? Waliowahi kumsengenya JPM na wakadukuliwa baadhi wamepewa nafasi za juu serikalini...kumbe kumsema na kumdhihaki Rais wa nchi ni Jambo la kawaida...picha gani inapelekwa kwa wananchi? Kuna good governance hapo?!kwa maoni yangu kinachoendelea ndani ya nchi kwa sasa kinatisha..ni mtazamo wangu tu lakini...
 



Sio muda mrefu wataacha visingizio na kuwa wakweli hawana hela.

Chezea Magufuli wanadhani kuendesha nchi ni swala la kuongea maneno matamu.

Mie nasubiri mishahara ianze kukopwa maana wafanyakazi serikalini ndio viherehere kweli.
 
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
Unafikiri january makamba atakuelewa? Ukisha kua mlevi wa kutaka urais akili yako ni kufanya chochote kujipatia umashuhuri binafsi. Hapo wizara ya nishati anajifanya hakuna mipango na kazi zinaendelea amezikuta. Anavuruga na kuweka mazingira kuwapa kandarasi watakao muwezesha kwenye ndoto yake. Anaweza hata kuja na wazo kubinafsisha tanesco kwa wahindi hawa wameshatupiga TRC na ttcl.
Binafsi sipendi watu wenye fikra tegemezi kama january makamba. Kushika ofisi tu hata hajajua mambo yalivyo wizarani kaenda uarabuni na kuja na mipango ya wageni. Akae chonjo Magufulists tutampa wakati mgumu.
 
Hahahahaha..halooo ooohh..daawaa imeanzaa kuwaingiaa sasa..yaan mnazungukaa tuu..ukwel ni kwamba ndani ya mioyo tenu mnakubali sana JPM..ila ndo hvyoo yaan kawaumiza sana ambao mlikuwa hamna vyeti halisi..mliokuwa majambazi na majizi...
JPM was a real man..mutu na nusu
Nenda ulinde kaburi au ndio umemaliza zamu.
 
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
Japo umetanabaisha kuwa ni personal opinion, lkn inawezekana kuna ukweli mwingi humu ndani---- sijaona unbiased opinion sehemu.
 
Huyu MTU hana hoja kabisa!! Acha Waziri wetu afanye Kazi, Siku zote ukweli hukuweka huru! Mwenda Zake hakuwa Malaika, Hivyo alitakiwa kushirikisha taasisi zote kufanya maamuzi kwa niaba ya nchi
 
Back
Top Bottom