Hii ndio hatari na tishio linalotokana na changamoto ya upumuaji

Takwimu zingesaidia sana watu kuona ukubwa na uzito wa tatizo. Hakika mtu aliyezuia upimaji na utoaji wa takwimu ni muuji kama corona yenyewe.
Umsema kweli. Mimi nilikuwa nasema hata mwaka jana ule mlipuko wa kwanza walifariki watu wengi kabisa lakini kuna watu walikuwa wanabisha hapa. Huenda hata wengien wamekuja kupoteza watu wao kwa ubishi wao wa kijinga.

Tungekuwa tumekubali ukweli wa pigo la mwaka jana basi mwaka huu tungekuwa tumejifunza kitu. Badala yake mjinga mmoja akasema corona imeshaondoka kwa maombi.
 
Hao wanasema vinatibu ni wajinga tu. Hivi vitu kama pilipili kichaa, limau na tangawizi mbona ni viungo vya kawaida vya vyakukla vinavyotumiwa kila siku na mataifa kama ya Asia!
 
Mkuu watu wanakufa mno.
Halafu mijinga iliyookotwa majalalani inalamba mafangasi ya jiwe na kusema ugonjwa watu hawafi.

A profesor anaongea utumbo.

Siyo swala la elimu tu, mkuu wa nchi atoke hadharani atoe tamko kua corona ipo Tanzania, inaua na watu walazimishwe kuvaa barakoa, kunawa, na kwenye mabasi level seat.
 
Hili watu hawalijui ,watu wakipata corona wanajikita kujifukiza na kutoangalia kupanda kwa sukari ambayo ni hatari zaidi ya korona.
Hivi mwenye tatizo la kisukari au presha akipata maambukizi ya korona na akafa na tukasema kilichomuua ni korona tutakuwa tumekosea?
 
Hivi wagonjwa wa Pressure na Kisukari zamani walikuwa wanakufaje? Hizi shida za kupumua zilikuwa haziwakumbi? Mbona tulikuwa hatusikii mialiko kama sasa hivi?
Pressure na kisukari vimeanza awamu ya tano. Nasema uongo ndugu zanguu
Hivi wagonjwa wa Pressure na Kisukari zamani walikuwa wanakufaje? Hizi shida za kupumua zilikuwa haziwakumbi? Mbona tulikuwa hatusikii mialiko kama sasa hivi?
 
Serikali ya Tz imepigwa baridi, jiwe anaogopa kusema ukweli kwa kuona aibu. Huyo jamaa yenu yuko tayari wote mfariki lakini kamwe hawezi kukiri kuwa corona ipo.
Ata akisema aitasaidia kitu zaidi ya kuzidisha HOFU
NB: akuna mbadala wa kukwepa kifo
 
U.s.a wanapima wanatoa taharifa na wanachukua tahadhali zote imesaidia Nini.
 
Mkuu nchi gani wamefanikiwa kupambana na Corona
 
HOFU ni Jambo baya sana.
NB: akuna mbadala wa kukwepa kifo
 
Mkuu weka takwimu
 
Wagonjwa wa kisukari na presha huu ugonjwa ukikukaba masaa mawili ni mengi .....!!! Stay away
Ni kweli wagonjwa wa Sukari ugonjwa unawasumbua sana lakini sio kweli kuwa masaa mawili hawafiki , wanaweza kukaa hata wiki mbili na kupona. Muhimu kuwahi tiba mengine Mungu mwenyewe.
 
Wapi nimeweka watu gizani? mimi nimehimiza elimu itolewe kutoka kwetu sisi member wa jf kupitia thd zetu,hayo ya kuhimiza watu wapimwe kwanini usihimize wewe? unataka kunipangia cha kuchangia humu?

JF is an open forums kila mtu anatoa maoni yake,ukiona una maoni tofauti ya mwenzako basi yaweke hapa hayo maoni/ushauri wako,

Hayo mambo ya kuambiana sijui kuweka watu gizani peleke huko kwenye vijiwe vyenu vya kahawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…