macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Umsema kweli. Mimi nilikuwa nasema hata mwaka jana ule mlipuko wa kwanza walifariki watu wengi kabisa lakini kuna watu walikuwa wanabisha hapa. Huenda hata wengien wamekuja kupoteza watu wao kwa ubishi wao wa kijinga.Takwimu zingesaidia sana watu kuona ukubwa na uzito wa tatizo. Hakika mtu aliyezuia upimaji na utoaji wa takwimu ni muuji kama corona yenyewe.
Hao wanasema vinatibu ni wajinga tu. Hivi vitu kama pilipili kichaa, limau na tangawizi mbona ni viungo vya kawaida vya vyakukla vinavyotumiwa kila siku na mataifa kama ya Asia!Najitambua sana kiongozi,nipo against nyungu kwa sababu haina scientific evidence kuwa inatibu.Hakuna formula yoyote ya nyungu inayofahamika/documented anywhere in the world.Napinga unywaji wa pilipili kichaa,limao,tangawizi na vinginevyo vingi maana hakuna data za uhakiki wa ufanisi wake popote.
Watanzania tusiposema hapana kwa propaganda za kisiasa na kushika maelekezo ya WHO tunamalizika.
Mkuu watu wanakufa mno.Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine,sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi,
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
Wazungu walitoa fedha kwaajili ya kukabiliana na hili JANGA mapemaaa sana.....Ni kwa sababu ya watu wenye akili kama punda ndiyo maana tumefika hapa. Nchi ilitakiwa ijitayarishe kwa kuongeza huduma za oxygen tangu mapema. Pole sana kwa msiba.
Wakubwa wote wameshapata chanjo we endelea kuchezea maisha.Hivi wagonjwa wa Pressure na Kisukari zamani walikuwa wanakufaje? Hizi shida za kupumua zilikuwa haziwakumbi? Mbona tulikuwa hatusikii mialiko kama sasa hivi?
Hivi mwenye tatizo la kisukari au presha akipata maambukizi ya korona na akafa na tukasema kilichomuua ni korona tutakuwa tumekosea?Hili watu hawalijui ,watu wakipata corona wanajikita kujifukiza na kutoangalia kupanda kwa sukari ambayo ni hatari zaidi ya korona.
Mkuu wanaochukua ila bado wanakufa Mungu ni Kila kituMungu unamsingizia kwa maombi
Tuchukue tahadhari
Pressure na kisukari vimeanza awamu ya tano. Nasema uongo ndugu zanguuHivi wagonjwa wa Pressure na Kisukari zamani walikuwa wanakufaje? Hizi shida za kupumua zilikuwa haziwakumbi? Mbona tulikuwa hatusikii mialiko kama sasa hivi?
Hivi wagonjwa wa Pressure na Kisukari zamani walikuwa wanakufaje? Hizi shida za kupumua zilikuwa haziwakumbi? Mbona tulikuwa hatusikii mialiko kama sasa hivi?
Ata akisema aitasaidia kitu zaidi ya kuzidisha HOFUSerikali ya Tz imepigwa baridi, jiwe anaogopa kusema ukweli kwa kuona aibu. Huyo jamaa yenu yuko tayari wote mfariki lakini kamwe hawezi kukiri kuwa corona ipo.
U.s.a wanapima wanatoa taharifa na wanachukua tahadhali zote imesaidia Nini.Wewe unaendeleza yaleyale ya kuwaweka waTanzania gizani.
Kwa nini huhimizi watu wapimwe na pawe na takwimu kuhusu huu ugonjwa wa mlipuko, ikiwa kama sehemu ya kampeni ya kuelimisha na kujikinga!
Huko kuficha kunamsaidia nani, huyo aliyekana uwepo wa ugonjwa?
Mkuu nchi gani wamefanikiwa kupambana na CoronaSerikali inayokaa kimya watu wakiangamia inakosa utu. Kwa sasa baba anaweza kurudi nyumbani na ugonjwa akitokea safari ya mbali lakini kwa vile hakuna anayepima huyo naye anasambaza kwa familia nzima. Tukio la Profesa wa SUA mmeliona jinsi familia ilivyoteketea kwa Kutojua nani anao..
HOFU ni Jambo baya sana.Kuna ambao hata geti la Regency hawawezi kuingia maana hawatamudu hata Registration fee tu achilia mbali huduma.Huko tuendako hakutakuwa na SIRI tena!Hadi pale tutakapoipigia saluti COVID na kukubali miongozo ya kidunia badala ya kushabikia nyungu na malimao+pilipili+tangawizi etc.It's as if duniani kote hivyo vitu havipo.Vilevile kama hizo ni TIBA/kinga,kwa nini hatuithibitishii dunia ili nao wapone kama sisi?
Je,ni hiyo Ubinafsi,uchoyo na kukosa upendo dhidi ya binadamu wenzetu?
Tunaogopa chanjo ya CORONA ila pilipili kichaa tunakunywa tds,nani katuambia ni salama?Tujitafakari.
HOFU.Takwimu zingesaidia sana watu kuona ukubwa na uzito wa tatizo. Hakika mtu aliyezuia upimaji na utoaji wa takwimu ni muuji kama corona yenyewe.
Mkuu weka takwimuSasa hivi mataifa yote ambayo yana viongozi wenye akili na hekima, viongozi waliowekeza katika kutambua ukubwa wa tatizo, na kuweka jitihada katika kupambana, vifo vinazidi kupungua na maambukizi yanazidi kupungua. Lakini sisi tulio na uongozi usio na maono, maambukizi na vifo vinaongezeka.
Wapi nimechezea maisha? Wewe mama ni mkubwa mno sikuwezi!Wakubwa wote wameshapata chanjo we endelea kuchezea maisha.
Ni kweli wagonjwa wa Sukari ugonjwa unawasumbua sana lakini sio kweli kuwa masaa mawili hawafiki , wanaweza kukaa hata wiki mbili na kupona. Muhimu kuwahi tiba mengine Mungu mwenyewe.Wagonjwa wa kisukari na presha huu ugonjwa ukikukaba masaa mawili ni mengi .....!!! Stay away
Ungefiwa na ndugu yako au ndugu wa jamaa zako kwa shida za kupumua usingeuliza swali la kipumbavu namna hiyoMkuu weka takwimu
Huyu lazima safari hii aiche DuniaHivi Seif anaendeleaje?
Wapi nimeweka watu gizani? mimi nimehimiza elimu itolewe kutoka kwetu sisi member wa jf kupitia thd zetu,hayo ya kuhimiza watu wapimwe kwanini usihimize wewe? unataka kunipangia cha kuchangia humu?Wewe unaendeleza yaleyale ya kuwaweka waTanzania gizani.
Kwa nini huhimizi watu wapimwe na pawe na takwimu kuhusu huu ugonjwa wa mlipuko, ikiwa kama sehemu ya kampeni ya kuelimisha na kujikinga!
Huko kuficha kunamsaidia nani, huyo aliyekana uwepo wa ugonjwa?
Watapewa elimu na ambao wapo JF,siku hizi social media zina nguvu kuliko hata tv na magazeti,