Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia


Nilipapenda sana kigoma mjini hasa vyakula na beach,sema hapo kwenye safari ni majanga,ujiji ni uswahilini kumejaa masikini na wajinga.
 

Kuna siku nilitoka bk to kgm,nmekuja kuingia kigoma sa4 usiku.
 
We bibi utakua na mtindio wa ubongo,waswahili ndio wamejaza ushenzi,magomeni,k.koo,temeke,ilala ndio kumejaza makahaba na mashoga.
Ukiwakuta watu wanafanya mambo ya kishenzi huko ujuwe hao washenzi wakuja tu, siyo Waswahili.

Kama ulivoenda wewe ukawakuta wenzako. Waswahili wenye asili yao ya Kiswahili utawakuta misikitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…