Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
- #121
Forodhani ujiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panda ungo, hakuna basi zuri la kwenda hukoNaombeni kujua mabasi yapi mazuri ya Dar to Kigoma.
Vipi ile biashara yetu pendwa ya mbususu ipo na huko?Safari yangu ilianzia Mwanza to Kigoma, then Kigoma to Dar...
Saa 12 asubuhi nilifika stand ya Nyegezi nikapanda gari moja maarufu linaitwa adventure, Mwanza kwenda Kigoma yapo magari maarufu kama Saratoga, adventure, yehova yille kati ya hayo hakuna gari lolote lile lenye unafuu magari ni 3 by 2, yaani upande mmoja watu watatu upande Mwingine wanakaa wawili, gari chache sana ni 2 by 2 na tajiri ndio anapanga lini likae barabarani...
Kwenye Ili gari picha inaanza hakuna customer care yoyote ile nilikata ticket ya mbele Kufika asubuhi nikaambiwa nikakae nyuma huko vurugu ikaanzia hapa ikabidi huyo mtu wampeleke huko nyuma.
Watu wachache walikosa seat wakasimama kuanzia Stand ya Nyegezi nakumbuka stand yoote tulipopita kuanzia Sengerema, Geita, Katoro nk watu walikua wanaingia na kusimama.
Humo ndani ya gari yalikua yanauzwa mahindi, mihogo, karanga vitumbua, mayai yaani tulikua tunapakia Muda wote non stop, story zinapigwa sana mtu wa seat ya mbele anapiga story na rafiki yake aliye seat ya nyuma, kweli waha ni kiboko.
Kufika Nyakanazi kundi kubwa la watu liingia yaani waliosimama ni wengi saana kuliko tuliokaa, nafasi hata ya kugeuka pembeni hupati mabegi yetu wengine tukawa tumebeba kichwani imagine hupo ndani ya gari Lakini begi lako umebeba kichwani..
Barabara ya lami inaishia Kakonko kwa mbele tukaanza kula vumbi mpaka Kibondo, wazee nimefika Kibondo pale mwili wote unauma Mwili mzima shingo haifanyi kazi tena, nikawauliza wenyeji wakanambia safari ya Mwanza to Kibondo ni karibu kuliko Jibondo tu Kigoma mjini, yaani Kibondo ni wilaya ambayo ni kubwa kuitembea ni mwendo wa masaa 4/5 Kufika Kasulu....
Raha ya kusema unasafiri usiitegemee kama unakuja Kigoma panda gari Ili ufike na sio u-enjoy nature, safari iliendelea tukafika mjini Kigoma saa 3 usiku.
NB: KIGOMA ni mji ambao una manispaa moja na town council inayoitwa Kasulu... Kigoma wanaishi watu kama watu wa mikoa mingine, Lakini Kigoma watu wa huku Kigoma Wana amini mno mambo ya kishirikina sio mdogo au mkubwa...
Kigoma Ujiji inapatikana Kigoma mjini. Huko ndio kwao Hashim Rungwe, Baruani Muhuza, Juma Kaseja huko ndio mji ulipoanzia, ni ngome ya kiislamu Watu wa huko ni masikini mno pia Kuna waganga wengi sana na mambo ya kichawi ni mengi mno, kukuta vyungu vimepasuliwa njia panda ni jambo la kawaida HAKUNA MTUMISHI YOYOTE WA SERIKALI ANAEKAA KIGOMA UJIJI, huko Hadi watoto wanajua uchawi ni nini kwenda kwa mganga ni jambo la kawaida.....huku Kigoma Ujiji harusi ni Kila siku huwezi pitisha siku hakuna harusi maisha magumu nyumba za udongo Lakini ni waswahili balaa, huko Ujiji maduka yanayokodisha mziki yanafika 40.
PALE KIGOMA MJINI.....ni center ndogo ya Kibiashara Lakini hakuna mzunguko wowote wa Hela Hapo wenyeji ni wengi na wengi wanauza kwa madawa usitegemee wa kuja ukafungua duka huku utapigwa zengwe mpaka uone moto.
Huu ni mji wa kinafiki, watu wanaishi kinafiki kinafiki saana, mvua zikinyesha unaomba Mungu radi zinapiga vibaya mno tena Kwa sauti kubwa sana.
View attachment 2761349
Kigoma ya Sasa sio kama kigoma ya zamanii kigoma ya Leo imesonga mbeleee, kigoma town
[emoji23][emoji23]Humo ndani ya gari yalikua yanauzwa mahindi, mihogo, karanga vitumbua, mayai yaani tulikua tunapakia Muda wote non stop, story zinapigwa sana mtu wa seat ya mbele anapiga story na rafiki yake aliye seat ya nyuma, kweli waha (((imebidi nicheke)))
Mobitel na Celtel mwaka huu?
Aah Hapo hakuna kilichobadilika na nilipoenda juzi kwahiyo naona mfano ni uleule ukiachana na hizo bango ndio hazipoMobitel na Celtel mwaka huu?
Bado unadownload picha?
Aaah zipo mzee wanapaita kwa Mchanga Lakini hakuna demu mzuri wa kukushtua mpaka umnunue sura ngumu akikuangalia mpka dushe linanyweaVipi ile biashara yetu pendwa ya mbususu ipo na huko?
Bei zao ni elekezi?
Jambo la Mwisho saaana huku mashamba Bado ni mengi mno, kama Maeneo ya uvinza -nguruka unaweza uziwa ekari moja kwa 50,000/= nikifanikiwa kwenda kibondo huko mashambani sikuona tractor Bali nguvu kazi ni watu nilivyouliza wenyeji wakanambia wanaolima wengi ni wakimbizi kutoka Burundi wanalimishwa hekari moja Kwa SHILINGI 30,000/_40,000/= warundi ni watu wenye roho mbaya sana na makatili story niliyoipata huko ni kwamba hawapendi dhuruma ukimlimisha Shamba alafu umcheleweshee malipo yake basi jiandae kukutana na kitu kizito sana Huwa hawapendi masikhara kwenye haki Yao, story iliyopo huku ni kwamba Zamani kulikua Kuna watekaji wengi walitokea Burundi, serikali ilijitahidi sana kupambana nao hao maharamia kwa Sasa hizo story za utekaji ni kama hazipo...Mwendelezo!?
Kwanini mkuu?Mtoa mada inaonesha jinsi ulivyo muoga muoga
Mwaka Gani mkuu,maana Waha wanasema Kigoma kucheleeSafari yangu ilianzia Mwanza to Kigoma, then Kigoma to Dar...
Saa 12 asubuhi nilifika stand ya Nyegezi nikapanda gari moja maarufu linaitwa adventure, Mwanza kwenda Kigoma yapo magari maarufu kama Saratoga, adventure, yehova yille kati ya hayo hakuna gari lolote lile lenye unafuu magari ni 3 by 2, yaani upande mmoja watu watatu upande Mwingine wanakaa wawili, gari chache sana ni 2 by 2 na tajiri ndio anapanga lini likae barabarani...
Kwenye Ili gari picha inaanza hakuna customer care yoyote ile nilikata ticket ya mbele Kufika asubuhi nikaambiwa nikakae nyuma huko vurugu ikaanzia hapa ikabidi huyo mtu wampeleke huko nyuma.
Watu wachache walikosa seat wakasimama kuanzia Stand ya Nyegezi nakumbuka stand yoote tulipopita kuanzia Sengerema, Geita, Katoro nk watu walikua wanaingia na kusimama.
Humo ndani ya gari yalikua yanauzwa mahindi, mihogo, karanga vitumbua, mayai yaani tulikua tunapakia Muda wote non stop, story zinapigwa sana mtu wa seat ya mbele anapiga story na rafiki yake aliye seat ya nyuma, kweli waha ni kiboko.
Kufika Nyakanazi kundi kubwa la watu liingia yaani waliosimama ni wengi saana kuliko tuliokaa, nafasi hata ya kugeuka pembeni hupati mabegi yetu wengine tukawa tumebeba kichwani imagine hupo ndani ya gari Lakini begi lako umebeba kichwani..
Barabara ya lami inaishia Kakonko kwa mbele tukaanza kula vumbi mpaka Kibondo, wazee nimefika Kibondo pale mwili wote unauma Mwili mzima shingo haifanyi kazi tena, nikawauliza wenyeji wakanambia safari ya Mwanza to Kibondo ni karibu kuliko Jibondo tu Kigoma mjini, yaani Kibondo ni wilaya ambayo ni kubwa kuitembea ni mwendo wa masaa 4/5 Kufika Kasulu....
Raha ya kusema unasafiri usiitegemee kama unakuja Kigoma panda gari Ili ufike na sio u-enjoy nature, safari iliendelea tukafika mjini Kigoma saa 3 usiku.
NB: KIGOMA ni mji ambao una manispaa moja na town council inayoitwa Kasulu... Kigoma wanaishi watu kama watu wa mikoa mingine, Lakini Kigoma watu wa huku Kigoma Wana amini mno mambo ya kishirikina sio mdogo au mkubwa...
Kigoma Ujiji inapatikana Kigoma mjini. Huko ndio kwao Hashim Rungwe, Baruani Muhuza, Juma Kaseja huko ndio mji ulipoanzia, ni ngome ya kiislamu Watu wa huko ni masikini mno pia Kuna waganga wengi sana na mambo ya kichawi ni mengi mno, kukuta vyungu vimepasuliwa njia panda ni jambo la kawaida HAKUNA MTUMISHI YOYOTE WA SERIKALI ANAEKAA KIGOMA UJIJI, huko Hadi watoto wanajua uchawi ni nini kwenda kwa mganga ni jambo la kawaida.....huku Kigoma Ujiji harusi ni Kila siku huwezi pitisha siku hakuna harusi maisha magumu nyumba za udongo Lakini ni waswahili balaa, huko Ujiji maduka yanayokodisha mziki yanafika 40.
PALE KIGOMA MJINI.....ni center ndogo ya Kibiashara Lakini hakuna mzunguko wowote wa Hela Hapo wenyeji ni wengi na wengi wanauza kwa madawa usitegemee wa kuja ukafungua duka huku utapigwa zengwe mpaka uone moto.
Huu ni mji wa kinafiki, watu wanaishi kinafiki kinafiki saana, mvua zikinyesha unaomba Mungu radi zinapiga vibaya mno tena Kwa sauti kubwa sana.
Bunduki nasikiaga Laki 2 tu unapata 47 ni kweli?Jambo la Mwisho saaana huku mashamba Bado ni mengi mno, kama Maeneo ya uvinza -nguruka unaweza uziwa ekari moja kwa 50,000/= nikifanikiwa kwenda kibondo huko mashambani sikuona tractor Bali nguvu kazi ni watu nilivyouliza wenyeji wakanambia wanaolima wengi ni wakimbizi kutoka Burundi wanalimishwa hekari moja Kwa SHILINGI 30,000/_40,000/= warundi ni watu wenye roho mbaya sana na makatili story niliyoipata huko ni kwamba hawapendi dhuruma ukimlimisha Shamba alafu umcheleweshee malipo yake basi jiandae kukutana na kitu kizito sana Huwa hawapendi masikhara kwenye haki Yao, story iliyopo huku ni kwamba Zamani kulikua Kuna watekaji wengi walitokea Burundi, serikali ilijitahidi sana kupambana nao hao maharamia kwa Sasa hizo story za utekaji ni kama hazipo...
Kutoka kigoma kwenda dar, ni safari ya masaa 24 non stop Lakini ukitoka daresalam kuja kigoma lazima mtalala pale kaliua -tabora kwa sababu ya usalama, pale mbele kidogo ya kaliua Kuna mbuga na misitu Pamoja na vichaka kwahiyo watu wenye Nia ovu ni rahisi kutimiza adhima yao.
Wafanyabiashara wengi wakubwa huku lazima awe anapeleka mzigo congo na kwenda congo njia nyepesi lazima uvuke maji so kama sio katili au mtu wa fitina basi omba Mungu tu maana mnavuka kwenye mitumbwi na usalama wa huko sio guarantee sana.
Kigoma fursa zipo Lakini usiwe na jicho tu la Kuona fursa lazima Uwe na jicho la kujikinga na mazindiko ya kutosha, huko mtu kuongea swala la ndagu ni kugusa tu wala sio jambo la ajabu.
Anyway karibuni sana kigoma
Hapo sijajua mkuuBunduki nasikiaga Laki 2 tu unapata 47 ni kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaah zipo mzee wanapaita kwa Mchanga Lakini hakuna demu mzuri wa kukushtua mpaka umnunue sura ngumu akikuangalia mpka dushe linanywea
hii ni mwanza mjomba..... kigoma kufika level hizi ni 2090View attachment 2761349
Kigoma ya Sasa sio kama kigoma ya zamanii kigoma ya Leo imesonga mbeleee, kigoma town
Thibitisha.Dayamond ni kwao pia ndomana mama yake ameshikilia mikoba ya uchawi kwaajil yake