Unaedit edit sanaSwadakta.
Kuna mtu ananunua soda ya takeaway kwa elfu 5 ambapo soda hiyo hiyo unainunua buku kwa Mangi.
Kila kitu ni uwezo tu ila makapuku wa kuweka rehani miili yao ili wapate iphone wakizipata sasa, wanahisi hata Elon Musk ni Matonya.
Umehonga ngapi bro mpk uwe na hizo guts?Ukisikia paaaaaah
dada zetu ule muda wa kuumia umefika tenaπ€£
wazo liliongezeka baada ya kuandika πUnaedit edit sana
Hujiamini na comment uliyoanza kuiweka? π€£π€£π€£
wanawake wenye hela si ndio tunawaita mishangazi eeh.. akipata mshangazi mmoja huenda akafuta kauli.. unakuta mshangazi umekupa ticket ya kwenda dubai ukale bata, unarudi home parking unakuta S350 Mercede Benz.. mishangazi iishi sanaaHajakutana bado na wanawake wenye wanamake hela zao. Hajawahi kupewa hela akanunue cadet, circle yake tia maji tia maji unadhani mawazo mema atayatoa wapi
Sipendi kabisa kuhusishwa na iPhone kwa kuwa mmiliki mkubwa wa Apple Inc ni shoga aliyejitangaza, Tim Cook.Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.
Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16 Pro huku macho matatu yakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.View attachment 3043966
Kampuni ya apple imeishiwa ubunifu.
Anyway, dada zetu ule muda wa kuumia umefika tenaπ€£
Halo halo πmbona plate za jikoWalitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko π€£π€£
Mhh muonewazo liliongezeka baada ya kuandika π
Kama wewe hauna hela usifikiri kila mtu ni apeche alolo.Ukisikia paaaaaah
π€£π€£π€£ si ndio babuwanawake wenye hela si ndio tunawaita mishangazi eeh.. akipata mshangazi mmoja huenda akafuta kauli.. unakuta mshangazi umekupa ticket ya kwenda dubai ukale bata, unarudi home parking unakuta S350 Mercede Benz.. mishangazi iishi sanaa
Swali zuri sanaπ€£π€£Mhh muone
Ushawahi muhonga mwanamke 2m? Kwanini mnasema wadada wametoa miili wamepata iphone?
Yan unakuta mtu anaongea hizo kauli na hajawahi hata kutoa laki 2 kwa pisi yake πππ
Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
π€£π€£π€£π€£Enheee, hapa tutajifunza matumizi.
Ukiwa Ulaya Iphone ina matumizi gani ambayo huku kwetu hakuna, ina kaanga mayai bila kusimamiwa ?
π€£π€£ wanapiga mdomo jf tuSwali zuri sanaπ€£π€£
Akijibu nitag tafadhali
Wanachekesha sanaππ€£π€£ wanapiga mdomo jf tu
Kama ndiyo hayo, mbona hata android phones zina vikolokolo vingi tu ambavyo watu hawavitumii. Hizo ulizotaja hata huko duniani kuna watu hawatumii pia.1.massage
2.facetime
3.siri
Hayo ni baadhi ya matumizi ya iPhone ambayo wabongo walio wengi hawajui kuyatumia lakini kwa uku USA Hayo ni matumizi ya kila siku kwa iPhone user wengi kwa uku
.....so hoja yangu ni kwamba sidhani kama kuna ulazima kununua iPhone na hujui kuitumia vizuri
Kumbe akimaanisha iMessage, nikajua ni massage kama alivyoandika.We ni kaongo πππ
Hizo zote natumia, face time mara chache. Ila siriii almost daily, siri tunatumia wavivu.
Hey siri call Lightysh
Hey siri open whatsapp
Vitu vya ajabu tu nawe Kendrick
imessage ni within iphone na iko automatic
π π πWalitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko π€£π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. WoiiiiiihHizi simu zina addiction, nimejionea mwenyewe. Kama mtu ako na pesa ajipatie kitu moyo unapenda.
Nilipoteza simu, nikapewa infinix ile sijui ilikuwa ni itel na bro. Nikawa naona mauza uza tu yan, kifupi ilinishinda nikamrudishia bro.
Ni kama mtu aliyezoea kudrive SUV afu mje mumpe vits, ataona km kadumbukia shimoni.
Nimeshangaa sana πππ ataje vingine labdaWe ni kaongo πππ
Hizo zote natumia, face time mara chache. Ila siriii almost daily, siri tunatumia wavivu.
Hey siri call Lightysh
Hey siri open whatsapp
Vitu vya ajabu tu nawe Kendrick
imessage ni within iphone na iko automatic