Sana tu, JPM sifa ndio zilikuwa nyingi na umimi uliopitiliza. Hizo ndege tu zimetuacha na madeni, bado hasara kila mwaka na hazina ufanisi wowote. Alikuwa na uthubutu ila hakuwa strategic wala hakupenda kushauriwa, ilikuwa ni one man show.To me, Magufuli is Overrated.
Tulikuwa sawa kweli sema tukaja kurogwa na mwengeInasemekana wakati tunapata uhuru tulikuwa sawa na China. Huu ni uongo
JPM hakuwa na mipango endelevu, haswa kwenye econimic development, ingefika kipindi angekata pumzi tu. Mikopo aliyokuwa anakopa bila ya kuendeleza vyanzo vipya vya makusanyo, asingetoboa mbali kabisa.You might be right! Ila kumbuka JPM alikuwa na ndoto ya kuona TZ inapiga hatua. Hili kubali au kataa, hiyo ni husda wako kwake. Usisahau wakati ule mlikuwa mnampinga kuwa yeye anaangalia maendeleo ya vitu si watu. Hata TL alikuwa anaipigia kelele. Wenye akili tulikuwa tunawaeleza kuwa maendeleo ya nchi ni vitu (infrastructure) kwanza
We mweleweshe tu, si kila kitu watu wote watakijua, ni teknolojia ambayo hata huko kulikoendelea haijasambaa sanaWakuu mnajiaibisha!
maglev hazigusi reli,kwanini mchangia kitu msichokielewa?
Very fact broTo me Magufuli was the top the best hakuna mtu wa kulinganisha nae. HAYUPOO na bado hajatokea.
Nb
Siipendi ccm
Tulikuwa tunajifariji tu, China tayari walikuwa mbali, ilikuwa wanahitaji kuwa trigered kidogo tu wachanganyie mwendo. Huku bado tumelala fofofo.Inasemekana wakati tunapata uhuru tulikuwa sawa na China. Huu ni uongo
Kwa hiyo wao washindwe kutambua hiloKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Mkuu hiyo kitu gharama za kuijenga ndio changamoto kwa uchumi wetu. Agalia gharama za kujengatu kwa mile 1 (km 1.6) tu ni USD 60 million (kama bilioni 150 za kitanzania). Hatuwezi leo wala kesho.Duh kufika huko inawezekana kabisa ila sasa kwa hii aina ya watawala wetu sio sasa labda baada ya miaka 2000 ipite......
Sayansi China inafundishwa kwa mandarin.Halafu bado kuna mtu anataka sayansi ifundishwe kwa kiswahili mashuleni..!!! Tuendelee kusumakishana na haya mambo ya mifurumbato
Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Niko na wewe mkuuMagufuri hamna kitu ndiye chanzo cha matatzo mengi sana yule hakuwa kiongozi kbs kama alikuwa na nia ya dhati na taifa hili na watz angekubali kuishi vema na wale wanaomkosoa tena ingemsaidia sn
Pili angeleta katiba mpya si katiba hii ya ku save interest za chama chake na yeye bnafsi
Tatu angejiweka kando na ccm awe rais si kuleta uccm wake hapa fatilia hata ziara zake nyng utagundua hilo
Nne kitendo cha kutaka kutawala milele bila kikomo hakika alistahili kuenguliwa kama ilivyotokea angetuleta matatzo makubwa sn ya waasi
Taifa hili lilipata kiongoz 1 tu naye ni Nyerere hakuwa mroho wa madaraka hakujitajirisha na hata alipoachia madaraka alikaa kando kbs alitunza raslimali za taifa hili kwa maslahi ya kzazi kijacho.
Magufuri alikuwa muongo sn anadanganya watu na kujitangaza kila uchwao lakini kiuhalisia he was overrated tu.
For sure, Afrika kuwafikia wachina sio leo. Nimeamini everything starts with thinking(mind), sisi huku ni kazi ya kuendekeza uchawa na kusema Mama anaupiga mwingi..... Poor
Hapana ipo ndanihya tanuri bomba maalum.Kwa Kasi hiyo sidhani kama wameweka hivi vifensi vyetu vya waya
hapo wapi sasa? sema locationKweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Na hiyo tech muasisi na GermanVyuma havisuguani mkuu,wanatumia tech ya MAGnetic LEVitation (MAGLEV) uliza zaidi kuhusu hiyo tech, ni ya ajabu kidogo
Aaah sorry mkuu, Dar-Moro!!hapo wapi sasa? sema location
Sio kuhangaika tu tunahangaika kwa msaada wa watu wa ....😀Sisi bado tunahangaika na matundu ya choo.