Wakati mwingine sio vibaya kuona progress tulizopiga kama Nchi badala ya kujaribu kushindana na wenye misuli kutuzidi.Good analysis that's written by the GT of JF.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ile ya kwetu SGR iliyozinduliwa majuzi inapiga dakika/masaa mangapi vile!!!Kweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Hawatumii lakini ni second language yao na wanafundishwa shule, ndio maana utawakuta ni wakurugenzi wa tech giants huko kwa wanao ongea kingereza. Unashikaje position kama hiyo au kuwa effective kwneye nchi za watu bila kuwa fluent in language yao?Japan, India, South Korea nk. hawatumii kiingereza na wako mbali tu.
Mm nnakuelewa unachokisema,chuki binafsi kwa Magufuli ndizo hadi leo bado zinamtafuna akiwa kaburini,cjajua kwetu sisi watanzania maendeleo hadi yaletwe na namtu gani ndio tuaprreciate!You might be right! Ila kumbuka JPM alikuwa na ndoto ya kuona TZ inapiga hatua. Hili kubali au kataa, hiyo ni husda wako kwake. Usisahau wakati ule mlikuwa mnampinga kuwa yeye anaangalia maendeleo ya vitu si watu. Hata TL alikuwa anaipigia kelele. Wenye akili tulikuwa tunawaeleza kuwa maendeleo ya nchi ni vitu (infrastructure) kwanza
Mchina nouma.China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
Hizi kauli huwa zinatumika sana na wengi wetu pale tunapotaka kujifananisha na weupe kwa chochote kile lakini mimi naona hazina maana wala tija linapokuja suala la maendeleo,mweupe ni mweupe tu awe anaamini Mungu awe anaamini shetani awe haamini chochote hakuna rangi nyeusi wa kujifananisha nae yaani hayupo.Wachina hawaamjni Mungu, Yesu wala shetani . Hivyo wanatumia akili zao mda wote
Lugha ya kufundishia inaendana na uchumi wenu. Ukitaka kujua hili, mfano rahisi upo kwenye magari tunayoyanunua toka Japan. Radio za magari hayo zitatutoaga jasho sana. Maana zipo kijapani, na tule tudada tunaongeaga kijapani. Sasa kama unataka ziwe za kiswahili maana yake utengeneze mwenyewe nchini bila kutegemea mtu mwingine nje ya nchi. Ukitaka utengenezee huko huko nje huku zikiwa zina lugha ya kiswahili, utalipa hela nyingi sana.Sayansi China inafundishwa kwa mandarin.
Kuhusu lugha ya kiswahili hakuna tatizo lolote.
Haina magurudumu hiyo, na inapoanza mwendo vyuma havigusani kivile na haitoki reliniKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
MMamae 😂Yaani hilo treni linaenda kigoma na kurudi dar,lakwetu bado halijafika Dodoma 😀😀
Nimecheka sana aisee unamaanisha hiyo ni MAGLEV ya bongo au
Bora umeamua kuwa mkweli maana kwakuwa ni wewe peke yako haijalishi.To me, Magufuli is Overrated.
English na Kiswahili ni lugha mbili rasmi TanzaniaHawatumii lakini ni second language yao na wanafundishwa shule, ndio maana utawakuta ni wakurugenzi wa tech giants huko kwa wanao ongea kingereza. Unashikaje position kama hiyo au kuwa effective kwneye nchi za watu bila kuwa fluent in language yao?
China sio wagunduzi wa Train lakini mandarin haikuwazuia wao kuijua train kuiendesha na kuitengeneza na sasa kuwa moja ya mabingwa wa Train duniani hivyo hivyo kwa JapanLugha ya kufundishia inaendana na uchumi wenu. Ukitaka kujua hili, mfano rahisi upo kwenye magari tunayoyanunua Japan. Radio za magari hayo zitatutoaga jasho sana. Maana zipo kijapani, na tule tudada tunaongeaga kijapani. Sasa kama unataka ziwe za kiswahili maana yake utengeneze mwenyewe nchini bila kutegemea mtu mwingine nje ya nchi. Ukitaka utengenezee huko huko nje huku zikiwa zina lugha ya kiswahili, utalipa hela nyingi sana.
Tatizo wa kusimamia hayo yawezekane ndiyo hatuna.Hapa bongo tungepata hata ya uhakika ya km 350 kwa saa, alafu tupate reli za Dar-MWZ. Dar-MBY, na Tabora-Kigoma. Nchi ingefunguka balaa. Kwa siku tuwe na ruti tatu tu asubuhi mapema, mchana na jioni na ziwe za uhakika. Hiyo ya Km 1000 ni ndoto ya mchana, wala tusiifikirie leo wala kesho
Wewe ndiye huelewi. Air friction ipo pole pale kutokana na speed yake kubwa. Ndiyo maana Titunium na Tungsten hutumika kuunda aerospace vehicles. Na hiyo technology inaitwa magnetic tech, ipo hapa duniani kuanzia miaka ya 1984. Ila kwa wengi tumeanza kusikia kwenye bullet trains za Japan 'Shikansen'.Wakuu mnajiaibisha!
maglev hazigusi reli,kwanini mchangia kitu msichokielewa?
haya mimi sielewi.Wewe ndiye huelewi. Air friction ipo pole pale kutokana na speed yake kubwa. Ndiyo maana Titunium na Tungsten hutumika kuunda aerospace vehicles. Na hiyo technology inaitwa magnetic tech, ipo hapa duniani kuanzia miaka ya 1984. Ila kwa wengi tumeanza kusikia kwenye bullet trains za Japan 'Shikansen'.
Kweli kabisa mkuu, akitokea mtu wa kupindua meza, nchi yetu bado ina potential kubwa sana ya kukua kiuchumi.Tatizo wa kusimamia hayo yawezekane ndiyo hatuna.
In short hatuna au kama wapo hawapewi nafasi kwenye uongozi,nchi hii ina matumizi makubwa sana yasiyokuwa na msingi siku akipatikana wa kukata mirija ya matumizi hayo tutaweza kusogea.
Now you knowhaya mimi sielewi.
Mkuu, kuwa second language sio issue kabisa. Nakwambia wengi wao kiingereza chao bora hata cha kwetu. Wanazo kozi hizo unazozisema na zina watu wanaozisomea kwa lengo hilo la kwenda kufanya kazi huko. Kumbuka hata hao wachina wengi tu wanasoma huko ulaya na America, kama ilivyo kwa wahindi wa wakorea. Lakini asilimia kubwa ya hao watu wao wanaochangia huo ubunifu na maendeleo kwa kiasi kikubwa wanasoma kwa kutumia hizo lugha zao kuu.Hawatumii lakini ni second language yao na wanafundishwa shule, ndio maana utawakuta ni wakurugenzi wa tech giants huko kwa wanao ongea kingereza. Unashikaje position kama hiyo au kuwa effective kwneye nchi za watu bila kuwa fluent in language yao?