Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Raisi wao aliwahi kusema biashara pekee tunayoiweza waafrika ni kujenga makanisa ya mabilioni na kuwa very superstitious. ila tumeitelekeza sayansi na teknolojia, anatushangaa sana.
Wasomi wetu wamesaliti taaluma zao wamekimbikia siasa.
Huko kwenye siasa badala kutengeneza sera nzuri tufikie malengo wanaishia kulimbikiza pesa za wizi.
Wakishakwapua wanakimbilia kujenga nyumba za ibada.
Hiyo ndiyo Afrika
 
Hilo treni hata Marekani hawana! Dereva hahitaji kuona mbele, treni linaendeshwa kwa mahesabu matupu.
 
Hii ni zaidi ya bullet train nini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…