Hii ndiyo treni yenye spidi ya kasi sawa na ndege, nilidhani uongo kumbe kweli

Vyuma havisuguani mkuu,wanatumia tech ya MAGnetic LEVitation (MAGLEV) uliza zaidi kuhusu hiyo tech, ni ya ajabu kidogo
Sahihi mkuu,hii technology,wheels na rails hazina contact.Yaani magurudumu yanakuwa suspended kwa gepu fulani.Hii inatumia nguvu ya usumaku kama vile unapotaka kugusanisha Sumaku N kwa N au S kwa S,hamna vyuma kusuguana.
 
Hii kitu niliisomaga zamani kidogo , BBC wakiandika kua miaka ijayo huenda tukawa na treni inayopita kwenye ombwe kwa kasi..

China hana ajizi, katekeleza.

Sisi tuendelee kusema elimu haina umuhimu, bora vijana waache vyuo wawe machinga.
 
Hivi hawawezi kuja kuwekeza TZ miradi kama hii!! 💪🏽💪🏽😜
 
Itakuwa hizi treni za mwendokasi, uhakika wa umeme tumeletewa na baba yake labda ndo maana kajiropokea, is overrated kwa sauti ya puani
 
Na huko haluna kiboko ya wachawi,mwamposa,suguye wala nabii shillah.
 
Itakuwa hizi treni za mwendokasi, uhakika wa umeme tumeletewa na baba yake labda ndo maana kajiropokea, is overrated kwa sauti ya puani
Tunawajua watu humu ukitamka jina tu! Wanaumia, hata siku moja hawawezi kubali ukweli. Tanzania hadi sasa tulikuwa na marais wawili wazalendo, Nyerere na Magufuli. Wengine wanapita tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…