avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Kilichoifanya Dubai kuendelea kwa muda mfupi sii DP world Bali walifuta masheria ya kizamani ya Kodi na kujifanya FREE PORT.
Sisi bandari tunayo, maji yapo lakini kwa nini tusichukue maauzi magumu tuifanye BANDARI YETU FREE PORT?
Tusiwazi kuwa hayo ma Kodi ya kufanya bidhaa iwe mara mbili ndio yatakayoendeleza nchi. Ikiwa free port mizigo itakuja mingi, wageni watakuja wengi Tanzania kununua , mzunguko wa fedha utakuwa mkubwa, fedha zitakuwa nyingi serikalini na kwa wananchi, kampuni za kisasa za wazalendo za kupakua mizigo zitaibuka. Haya mengine ni mapropaganda ya kizamani kuamini kuwa hao Jamaa Wana ushawishi wowote kwa mtu mwenye akili timamu
Sisi bandari tunayo, maji yapo lakini kwa nini tusichukue maauzi magumu tuifanye BANDARI YETU FREE PORT?
Tusiwazi kuwa hayo ma Kodi ya kufanya bidhaa iwe mara mbili ndio yatakayoendeleza nchi. Ikiwa free port mizigo itakuja mingi, wageni watakuja wengi Tanzania kununua , mzunguko wa fedha utakuwa mkubwa, fedha zitakuwa nyingi serikalini na kwa wananchi, kampuni za kisasa za wazalendo za kupakua mizigo zitaibuka. Haya mengine ni mapropaganda ya kizamani kuamini kuwa hao Jamaa Wana ushawishi wowote kwa mtu mwenye akili timamu