Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Sijui ni nini kifanyike. Lakini Picha hii hapa. Hawa watu wameenda Dubai kula maisha na Wakarudi hapa kuja kupigia chapuo DP world. Hii ni hujuma zidi ya Watanzania.


View attachment 2666193
Mimi naendelea kuwapa hongera Kitenge na Zembwela kwa kufanikiwa KIUJANJAUJANJA bila Shule(formal education).
 
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Hoja yake haina mashiko ila mtazamo wake ni kwamba maswahiba wananyanyaswa
 
wivu unakusumbua. na hili taifa halitoendelea watanzania tuna wivu sana na kulogana.
Wivu gani? Sasa hapo. kuwa naona wivu kuhusu mtu kumiminiwa maziwa ama wivu kuongea ukweli? hawa wote ni wajinga ama kuona wivu upi.
 
Pia hao kina Kitenge na Zembwela kwenye hilo suala la DP world tuwasamehe tu maana wao kwenye huo mkataba ni kama ilivyokuwa kwa Feisal na Yanga. Yaani wanachokielewa ni kile wanachoambiwa kwa mdomo lakini hawajui kilichoandikwa.
 
Hao kina Kitenge, Zembwela, na Hando ni wasaliti wa Tanganyika yetu.

Usishangae hao jamaa wakijiachia, bahasha zimeshatembea kwao, kama zilivyotembea kwa wabunge.
Hao watu kule hawajijipeka wenyewe.

Wamepewa Pochi Nene kutetea huo umangungo.

Mambo yakusikitisha

Ole wao ije siku mambo yakabumbuluka

Tatizo hii nchi hakuja street justice vingine Hawa watu saivi wangebaki huko huko.

Shwaini wanatetea mkataba wa kinyonyaji wa nchi yao.

Aisee
 
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.

Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).

Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.

Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?

Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?

Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.

Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.

Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!

Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.

Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Unauliza nani anayefadhili!! Jibu mbona kila mmoja analijua. Hiyo ni package ya rushwa iliyokamilika.

Na ole wao DP wasipofanikuwa kuzipora bandari zote za Tanganyika. Mwarabu hawezi kuwaacha hivi hivi tu.
 
Tatizo hawajibu hoja, na raia wenye asili ya Tanganyika hawamkatai DP World, wanachokikataa ni vifungu ovu, tatanishi, visivyoeleweka na ikitokea vikarekebishwa haina shida, mwekezaji apewe kazi.
Yaani wamekomaa kuelezea ufanisi wa DP World na siyo mapungufu ya mkataba sijuwi maana yake nin.
Kwa upeo mdogo wa Kitenge, sidhani kama hata anaelewa, tatizo liko wapi.
 
Manunuzi ya umma ikiwemo kutoa tender hayatakiwi kushawishiwa kwa namna yoyote ile, hii ya watu kuendelea kulamba asali kwa kigezo cha kuwa chawa wa kampuni inayoomba tender nchini tayari inakiuka sheria ya manunuzi ya umma.

Kimsingi DP world amekuwa disqualified na sheria ya manunuzi ya umma kuendelea na mchakato wa kuomba tender ya kuendesha bandari kwani kahusika kutoa ushawishi kwa wanasiasa na wanahabari ili apewe hiyo tender.​
 
Back
Top Bottom