Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Acheni Kitenge na wenzake wajipigie hela. Hakuna sheria ya nchi waliyovunja. Ninyi CHADEMA mkishika dola mtaweza kufuata utawala wa kisheria? Au mtaiweka katiba kando? Sababu mnakosa kabisa uvumilivu kwa watu walio na mtazamo tofauti na wenu.
 
mnatushosha bwana. kila mara nikeleleza dp dp. kuandamana hamtokei
Mpaka mambo yake sawa. Wewe unadhani katuni ya Kipanya inaonekanaje machoni mwako. Msisitizo"....unadhani....inaonekanaje machoni mwako..."
 
WhatsApp Image 2023-06-22 at 10.07.59 AM.jpeg
 
Inatakiwa orodha ijulikane ya wale wote ambao wanaonekana Wana Nia ya kuboresha "stomach infrastructure" zao badala ya kuboresha maslahi ya Taifa!!!

Lengo tujue tunaanzia wapi kuweka mambo sawa. Asante
 
View attachment 2666300

Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.

Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).

Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.

Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?

Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?

Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.

Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.

Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!

Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.

Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Inavyoelekea wananchi hawakatai uwekezaji,bali ni jinsi mkataba ulivyo,na jinsi ulivyowakilishwa bungeni.Mama yapasa afanye maamuzi magumu kulingana na heshima aliyoijenga kwa jamii
 
View attachment 2666300

Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.

Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).

Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.

Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?

Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?

Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.

Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.

Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!

Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.

Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Watu mliozoea kula bila kunawa wa GSM mna wakati mgumu sana miezi michache ijayo. Hamuwezi nyinyi wachache mkaendelea kuidhulumu nchi yenye watu milioni 62 eti mpaka mfe, nyinyi mmekuwa kina nani?.

DPW anakwenda kufunga mitambo yake bandarini na haya magumashi yenu ndio yanafikia mwisho. Nchi hii imedhulumiwa vya kutosha.
 
Hao kina Kitenge, Zembwela, na Hando ni wasaliti wa Tanganyika yetu.

Usishangae hao jamaa wakijiachia, bahasha zimeshatembea kwao, kama zilivyotembea kwa wabunge.
Wanachopewa ni kidogo kulinganisha na kuwaachia bandari wapiga wasiolipa kodi hata senti moja.
 
Watanganyika tumepigwa. Tudai mali yetu kuuzwa. Kwanin wangngania si waache wafanye mambo mengine.
 
CHADEMA mkipata madaraka mtaweza kuwa na utawala wa kufuata sheria (rule of law)? Kwa sababu mtu akiwa na mtazamo tofauti na wenu mnamponda, kumtukana na kumwita majina yote mabaya. Maulid Kitenge na wenzake hawajavunja sheria yoyote ya nchi ila wewe tayari umeshawahukumu. Mtaweza kuheshimu ibara ya 18 ya katiba inayotoa uhuru wa watu kutoa maoni? BADILIKENI.
 
Watu mliozoea kula bila kunawa wa GSM mna wakati mgumu sana miezi michache ijayo. Hamuwezi nyinyi wachache mkaendelea kuidhulumu nchi yenye watu milioni 62 eti mpaka mfe, nyinyi mmekuwa kina nani?.

DPW anakwenda kufunga mitambo yake bandarini na haya magumashi yenu ndio yanafikia mwisho. Nchi hii imedhulumiwa vya kutosha.
Hauna akili.
 
Nakumbuka kuna Mtangazaji mmoja wa Kenya Yule jamaa alikuw nondo WA kuchimbua taarfa kwa umakin na anakuja na nakala yake iliyokamilika YENYE uzani Sawa wa TAARIFA .


Taifa Leo linashda sana katik Tanssinia ya habari wakat wao ni sehemu muhimu kuto lalia upande wowote na kuielemisha jamii si kimehemko kiusahihi na ufasaha katk mambo ya kimsingi YENYE hatma na Taifa letu.


Sasahao unaona tuu uendaji wao tayar niwakikampend hakuna hata muandsh hapo alisoma mkataba na kuamka na nondo za maswali za kuwaaliza Zaid tuu yakuomba mualiko ili wasikile side B [emoji16] (sifa njema Tuu)


Sis waTz ni shidaaa aseee[emoji243][emoji243]
 
Hata kipindi kile Cha biashara ya utumwa na ukwapuaji wa rasilimali za Africa...
Wakoloni waliwatumia Ndugu zetu kuwa kamata ndugu zetu!
Hali ni ile ile!
 
Back
Top Bottom