HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Imradi pesa inajngia**** nisha nini!?Hakuna pesa hapo, ni kununuliwa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imradi pesa inajngia**** nisha nini!?Hakuna pesa hapo, ni kununuliwa tuu
Muhimu pesaKuingiza hela unaweza kuingiza hata kwa kuua watu. Binadamu aliyekamilika haangalii kuingiza hela tu, bali unaingiza hela kwa njia gani.
hayo makubwa jinga yanajua kuoa na kuacha,ulevi na bla bla nyingi bila akiliNani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Du mswahili bwana, uvumilivu wake mdogo tu.Sijui ni nini kifanyike. Lakini Picha hii hapa. Hawa watu wameenda Dubai kula maisha na Wakarudi hapa kuja kupigia chapuo DP world. Hii ni hujuma zidi ya Watanzania.
View attachment 2666193
Soma story za kina Gupta ndio utaelewa maana ya state capture sasa ww kazi kujadili siasa za mwananyamala kidile.You are liar. Its not true. Nothing like that happed in South Africa. You beating us rope (kutupiga kamba).
raraa reree
Tulia weweeSoma story za kina Gupta ndio utaelewa maana ya state capture sasa ww kazi kujadili siasa za mwananyamala kidile.
Huelewi kitu wwTulia wewee
Kila siku yupo yuesieiKitenge ana exposure!! Ana exposure ya kitu gani limbukeni yule?
Pesa sio kila kitu..usipojua hili wewe ni sawa mfu lkn unatembea.Wenzenu wanaingiza pesa nyie mnaropoka mitandaoni
Katika nchi ambayo imewaingiza katika historia viongozi wake wa kijadi kuwa waliipambania nchi dhidi ya ukoloni wakati ukweli ni kwamba viongozi hao walikua ni madalali wa wa kutafuta, kukamata watu na kuwauza kama watumwa, na walichokipigania ni kuona masoko yao ya kuuza watumwa yanaingiliwa, ulitaraji watu wenye hizo mentality wasiwepo hadi leo? Hao akina Maul8d, Zembwela na Hando ni Madalali wa viongozi katika kuinadi nchiNani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
waandamane kwa sababu ya wapumbavu kama wewe na hao makuwadi wa mwarabu.mnatushosha bwana. kila mara nikeleleza dp dp. kuandamana hamtokei
Amewatenda naona imejibu wanatema mate na kula ndimu na maembeNadhani Prof Tibaijuka aliwatenda!
kuwadi la dpworld linaunga mkono makuwadi wenzake.Wenzenu wanaingiza pesa nyie mnaropoka mitandaoni
Donald Trump !! Mtata sana jamaa. 😂 !"Changamoto kubwa ya ulimwengu wa sasa ni kwamba, wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na siasa, na hivyo wajinga wamepewa mamlaka ya kutawala wenye akili na wasio na akili".
By Donald Trump.
nchi yako we na nani, acha ubaguzi jenga hoja yenye mashiko.Huyu mama atuachie nchi yetu jamani.