Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Kwa mtazamo wa DPW kualika vyombo vya habari ni kukuza public awareness wa shughuli zao.

Uone wanachofanya kwa maelezo yao kupitia media na sio kusikiliza unachoambiwa na wengine, wanaita above the line promotion.

Same lobbying ya kualika wabunge, watu kutoka serikani lengo ni waone shughuli zao ni ‘below the line promotion’ ili wapate uelewa wa kutosha kwenye kuwahakikishia uwezo wao.

Kwa wabunge it’s morally wrong ingekuwa wanafanya kwa siri hiyo unaweza tafsiri kama hongo, lakini iwapo mwaliko umepitia njia halali za bunge hakuna tatizo.

Uwezi kwenda kufanya biashara sehemu ambayo watu awakuelewi; wenyeji watakuwa na mtazamo hasi na wewe. Ni jukumu lako kutoa elimu ya shughuli zako na uwezo wako ili ueleweke, na ndio wanachokifanya hao DPW
Hayo yote yanakubalika kibiashara ila tatizo la wengi ni contents za mkataba.

Hapo tu warekebishe.

Kwenye ukomo.

Consideration.

Termination.

Governing laws.

Matumizi ya ardhi.
 
Hawa viazi walienda sijui kufanya nini..kama kuna wengine wanahisiwa kuwa wanatumia mtandao pendwa sioni shida kujipeleka kwa Mwarabu..ile rangi ya madhiwa mbaya sana inakata akili zote mtu akikumwagia nyuma.View attachment 2666163
Huyu mama amekazana na mkataba wenye utata.kama watz hatutaki aachane na Hawa jamaa.Sasa hivi mashirika na taasisi nyingi ana wapa waarabu.Utumwa SI unarudi huu.Mpaka amalize atauza nchi yote tubaki watupu.Kwanini wamemlazimisha atumie bunge.Wajanja wale na hamchomoki.Bunge lenyewe la akina waitara hawana lolote
 
Waziri na wapambe
 

Attachments

  • 20230623_153259.jpg
    20230623_153259.jpg
    329.7 KB · Views: 4
  • 20230623_153308.jpg
    20230623_153308.jpg
    81.2 KB · Views: 2
View attachment 2666300

Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.

Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).

Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.

Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?

Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?

Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.

Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.

Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!

Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.

Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Hawa ni madalali wa DP
 
View attachment 2666300

Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.

Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).

Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.

Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?

Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?

Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.

Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.

Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!

Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.

Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
 

Attachments

  • IMG_20230623_155221_205.jpg
    IMG_20230623_155221_205.jpg
    36.1 KB · Views: 2
Ebu watanzania wenzangu tupunguze woooogaaaa...mpka aibu. Hivi media ikiomba kufanya documentary na hiyo kampuni kuna shida gani?
Niseme ukweli,tatizo letu ni poverty mentality iliyopo
 
View attachment 2666300

Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.

Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).

Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.

Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?

Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?

Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.

Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.

Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!

Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.

Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Hao ni wasaliti wa nchi wanatakiwa washughulikiwe ingekuwa nchi za wenzetu
 
Wasiuzwe Rwanda waliojenga dry port kwa ajili ya biashara hii ya DPW.

Wasiuzwe Uingereza wenye bandari mbili zinazomilikiwa na DPW.

Wasiuzwe USA wenye bandarini nane zenye kusimamiwa na hawa jamaa, tuje tuuzwe sisi watanzania!.

Panua uelewa wako unaweza kuwa unaachwa mbali na dunia halisi inayokwenda kasi.
Wa kupanua uelewa ni Mimi au wewe...?
Hao Rwanda, USA na Uingereza waliingia makubaliano kama haya ya kwenu?
Waliwatumia wabunge na wahandisi wa Habari kupenyeza ajenda zao?
Uliona wahandisi wao wa Habari wakipewa escorts za ving'ora?!
Huoni hata dalili za rushwa na ushawishi usiona wa kawaida kwenye mchakato huu?
Haya... mbona huku tunaambiwa ni bandari zote... Huko kwingineko mbona unataja taja tu mara dry port, mara 8 mara 2...
Kuwa na aibu asee! Panua mawazo!
Mnatuuzia mbwa badala ya mbuzi!
 
Bandari iuzwe au isiuzwe kama una maisha magum ni magumu tuh
Na huo ugumu utaongezeka zaidi na kuhamia kwa vizazi vyako endapo mauzo yatakuwa ya muda mrefu!
Hivi mashuleni ulienda kusoma ili uwe mjinga kiasi hiki??
 
It's so simple, "mkataba urekebishwe tu" ndilo la msingi hatukatai wawekezaji.
Unajiuliza wakiweka kipengele cha kuwa mkataba huu utakuwa wa miaka 30, au kila baada ya miaka kadhaa tutafanya rejea kuangalia performance yake, kwanini wawe na kigugumizi? Au kwanini hawataki kusema ni kwanini hawataki hicho kipengele kiwepo.
 
Hayo yote yanakubalika kibiashara ila tatizo la wengi ni contents za mkataba.

Hapo tu warekebishe.

Kwenye ukomo.

Consideration.

Termination.

Governing laws.

Matumizi ya ardhi.
Consideration ndio kiini cha mkataba (A anatoa nini na B anapata nini in financial details) na kipimo chake ni value of exchange. Consideration isipokuwepo chochote unachosaini ni agreement tu ambayo uwezi mshitaki nayo mtu popote.

Ndio kama IGA, bila ya kuingia mikataba ya HGA; hiyo IGA itabaki kuwa sheria tu ambayo ndani ya miezi 12 toka ipitishwe kama hakuna makubaliano yoyote ya kibiashara yaliyoorodheshwa kwenye appendices; na sheria yenyewe inapoteza nguvu za kimahakama.

Kwenye HGA ndio kuna consideration. Mfano concession agreement ndani mkataba wa utekelezaji maana yake ni sawa na kwenda kukopa bank kwa mfanyabiashara. Ili bank wakupe mkopo unaweka amana ya asset, bank inakukopa hela unarudisha mkopo kwa interest ndani ya muda uliopangwa. Deni likiisha na mkataba wenu umeuisha automatic unless uongeze mkopo.

Concession agreement ndio hivyo hivyo kama mkopo wa biashara bank. Tofauti ni kwamba mwekezaji anakukopa hela, anafanya investments unazotaka. Baada ya hapo ili kurudisha hela biashara anaendesha mwenyewe, mnakubaliana kiasi gani kwenye mapato chako wewe na kipi achukue yeye kurudisha hela plus interest; mkataba unaisha hela yake inaporudi. Ndio maana wanasema muda wa mkataba utakuwa ndani ya HGA.

Governing laws za mkataba zote ni za Tanzania kwenye mambo ya ardhi, kodi na mengine. IGA inaelezea tu kusudio la nchi mbili kuingia mkataba wa kisheria. La msingi kwenye IGA kwa upande wao ambalo ni terms kwenye mikataba yote ya baadae ni article 20 and 23. Hata hizo articles ni mambo ya kawaida duniani kutumia njia hizo kwenye ‘dispute resolutions’ vinginevyo mahakama za usuluhishi duniani zisingekuwa na mashauri tena kesi zingine ni wazungu kwa wazungu huko huko EUROPE.
 
Ebu watanzania wenzangu tupunguze woooogaaaa...mpka aibu. Hivi media ikiomba kufanya documentary na hiyo kampuni kuna shida gani?
Niseme ukweli,tatizo letu ni poverty mentality iliyopo
Humaanishi ulichokiandika hapa! Waandishi wako wapi hapo? Kitenge au zimbwela ndio wa kufanya documentary? Kwa uelewa gani na exposure ipi waliyonayo?
Huu ujinga wa kuanzisha vyombo ya habari na kuajiri watu wasio na taaluma ya habari ni janga!
 
Back
Top Bottom