Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yote yanakubalika kibiashara ila tatizo la wengi ni contents za mkataba.Kwa mtazamo wa DPW kualika vyombo vya habari ni kukuza public awareness wa shughuli zao.
Uone wanachofanya kwa maelezo yao kupitia media na sio kusikiliza unachoambiwa na wengine, wanaita above the line promotion.
Same lobbying ya kualika wabunge, watu kutoka serikani lengo ni waone shughuli zao ni ‘below the line promotion’ ili wapate uelewa wa kutosha kwenye kuwahakikishia uwezo wao.
Kwa wabunge it’s morally wrong ingekuwa wanafanya kwa siri hiyo unaweza tafsiri kama hongo, lakini iwapo mwaliko umepitia njia halali za bunge hakuna tatizo.
Uwezi kwenda kufanya biashara sehemu ambayo watu awakuelewi; wenyeji watakuwa na mtazamo hasi na wewe. Ni jukumu lako kutoa elimu ya shughuli zako na uwezo wako ili ueleweke, na ndio wanachokifanya hao DPW
win win situationHayo yote yanakubalika kibiashara ila tatizo la wengi ni contents za mkataba.
Hapo tu warekebishe.
Kwenye ukomo.
Consideration.
Termination.
Governing laws.
Matumizi ya ardhi.
Huyu mama amekazana na mkataba wenye utata.kama watz hatutaki aachane na Hawa jamaa.Sasa hivi mashirika na taasisi nyingi ana wapa waarabu.Utumwa SI unarudi huu.Mpaka amalize atauza nchi yote tubaki watupu.Kwanini wamemlazimisha atumie bunge.Wajanja wale na hamchomoki.Bunge lenyewe la akina waitara hawana loloteHawa viazi walienda sijui kufanya nini..kama kuna wengine wanahisiwa kuwa wanatumia mtandao pendwa sioni shida kujipeleka kwa Mwarabu..ile rangi ya madhiwa mbaya sana inakata akili zote mtu akikumwagia nyuma.View attachment 2666163
Hawa ni madalali wa DPView attachment 2666300
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
View attachment 2666300
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Hao ni wasaliti wa nchi wanatakiwa washughulikiwe ingekuwa nchi za wenzetuView attachment 2666300
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Huu sasa ni upuuzi...🤣🤣
Wa kupanua uelewa ni Mimi au wewe...?Wasiuzwe Rwanda waliojenga dry port kwa ajili ya biashara hii ya DPW.
Wasiuzwe Uingereza wenye bandari mbili zinazomilikiwa na DPW.
Wasiuzwe USA wenye bandarini nane zenye kusimamiwa na hawa jamaa, tuje tuuzwe sisi watanzania!.
Panua uelewa wako unaweza kuwa unaachwa mbali na dunia halisi inayokwenda kasi.
Na huo ugumu utaongezeka zaidi na kuhamia kwa vizazi vyako endapo mauzo yatakuwa ya muda mrefu!Bandari iuzwe au isiuzwe kama una maisha magum ni magumu tuh
Unajiuliza wakiweka kipengele cha kuwa mkataba huu utakuwa wa miaka 30, au kila baada ya miaka kadhaa tutafanya rejea kuangalia performance yake, kwanini wawe na kigugumizi? Au kwanini hawataki kusema ni kwanini hawataki hicho kipengele kiwepo.It's so simple, "mkataba urekebishwe tu" ndilo la msingi hatukatai wawekezaji.
Consideration ndio kiini cha mkataba (A anatoa nini na B anapata nini in financial details) na kipimo chake ni value of exchange. Consideration isipokuwepo chochote unachosaini ni agreement tu ambayo uwezi mshitaki nayo mtu popote.Hayo yote yanakubalika kibiashara ila tatizo la wengi ni contents za mkataba.
Hapo tu warekebishe.
Kwenye ukomo.
Consideration.
Termination.
Governing laws.
Matumizi ya ardhi.
Humaanishi ulichokiandika hapa! Waandishi wako wapi hapo? Kitenge au zimbwela ndio wa kufanya documentary? Kwa uelewa gani na exposure ipi waliyonayo?Ebu watanzania wenzangu tupunguze woooogaaaa...mpka aibu. Hivi media ikiomba kufanya documentary na hiyo kampuni kuna shida gani?
Niseme ukweli,tatizo letu ni poverty mentality iliyopo