Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Kilichoifanya Dubai kuendelea kwa muda mfupi sii DP world Bali walifuta masheria ya kizamani ya Kodi na kujifanya FREE PORT.

Sisi bandari tunayo, maji yapo lakini kwa nini tusichukue maauzi magumu tuifanye BANDARI YETU FREE PORT?

Tusiwazi kuwa hayo ma Kodi ya kufanya bidhaa iwe mara mbili ndio yatakayoendeleza nchi. Ikiwa free port mizigo itakuja mingi, wageni watakuja wengi Tanzania kununua , mzunguko wa fedha utakuwa mkubwa, fedha zitakuwa nyingi serikalini na kwa wananchi, kampuni za kisasa za wazalendo za kupakua mizigo zitaibuka. Haya mengine ni mapropaganda ya kizamani kuamini kuwa hao Jamaa Wana ushawishi wowote kwa mtu mwenye akili timamu
 
Hao kina Kitenge, Zembwela, na Hando ni wasaliti wa Tanganyika yetu.

Usishangae hao jamaa wakijiachia, bahasha zimeshatembea kwao, kama zilivyotembea kwa wabunge.
 
Huyu Mama angekuwa kwenye nchi ya watu wanaojielewa,angekuwa amerudi Zanzibar na Waziri wake.Serikali na Bunge wanadharau sana Wananchi!
 
Huhitajika Uongo mwingi sana na nguvu kubwa sana kuhalalisha uovu.


Wao ngoja waipe promoooo tu , Watanzania sio wajinga, na Watanzania wa Sasa wameelimika.
Na ole wao waje tutawageuza nyama choma hao wauza watumwa, kuhusu hao sijui kitenge na wenzake hao achana nao maana tunawsjua ni makuwadi na madalali wa hao warabu.
 
Hawa viazi walienda sijui kufanya nini..kama kuna wengine wanahisiwa kuwa wanatumia mtandao pendwa sioni shida kujipeleka kwa Mwarabu..ile rangi ya madhiwa mbaya sana inakata akili zote mtu akikumwagia nyuma.View attachment 2666163
wivu unakusumbua. na hili taifa halitoendelea watanzania tuna wivu sana na kulogana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…