Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari,inanajisiwa na vihiyo.Tasnia kama inabodi,ichukue hatua kwa watu wanao aibisha taalumaTatizo hawajibu hoja, na raia wenye asili ya Tanganyika hawamkatai DP World, wanachokikataa ni vifungu ovu, tatanishi, visivyoeleweka na ikitokea vikarekebishwa haina shida, mwekezaji apewe kazi.
Yaani wamekomaa kuelezea ufanisi wa DP World na siyo mapungufu ya mkataba sijuwi maana yake nin.
Upesi sana, avae ndala zake asepe visiwani
Watangazaji wa kibongo asilimia kubwa Wana mambo ya kihanithi.
Acha wasiwasi na ubaguzi. Iamini serikali. Hawawezi kifanya mambo ya kimangungo miaka hii. Acha dharau na heshimu viongozi wako.View attachment 2666300
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Mkuu DPW mliwaita waarabu, mkabagua rais kwa kumuita mwarabu anayeiuza nchi leo unakuja na hoja za rushwa.Wa kupanua uelewa ni Mimi au wewe...?
Hao Rwanda, USA na Uingereza waliingia makubaliano kama haya ya kwenu?
Waliwatumia wabunge na wahandisi wa Habari kupenyeza ajenda zao?
Uliona wahandisi wao wa Habari wakipewa escorts za ving'ora?!
Huoni hata dalili za rushwa na ushawishi usiona wa kawaida kwenye mchakato huu?
Haya... mbona huku tunaambiwa ni bandari zote... Huko kwingineko mbona unataja taja tu mara dry port, mara 8 mara 2...
Kuwa na aibu asee! Panua mawazo!
Mnatuuzia mbwa badala ya mbuzi!
Akiondoka Samia tunavunja huo mkatabaMkuu DPW mliwaita waarabu, mkabagua rais kwa kumuita mwarabu anayeiuza nchi leo unakuja na hoja za rushwa.
Muda wa upigaji hapo bandarini unaelekea mwisho. Rais anataka akiwa ofisi kwake ikulu asome moja kwa moja ripoti zote za kinachoendelea bandarini maana yake magumashi yote ndio yanafikia mwisho.
Endelea kuota ndoto nzuri, jifunike vizuri shuka.Akiondoka Samia tunavunja huo mkataba
Kitenge ni mwandishi wa habari mwenye elimu pana ya uandishi, ni rahisi sana kukejeli taaluma ya mtu anayetumia jina lake halisi kuliko mimi na wewe tuliojificha kwenye majina na ID fake.Humaanishi ulichokiandika hapa! Waandishi wako wapi hapo? Kitenge au zimbwela ndio wa kufanya documentary? Kwa uelewa gani na exposure ipi waliyonayo?
Huu ujinga wa kuanzisha vyombo ya habari na kuajiri watu wasio na taaluma ya habari ni janga!
Zembwela simjui vizuri lakini Hando na Kitenge ni wasomi na pia nadhani ni watu wa geti jeusi.Kitenge, Zembwela na Hando ;pale ambapo Phd holder wanawatumia standard 7 failures kuhalisha ujinga kwa Watanzania majuha.
Hapo ni Kitenge tu,Hando mpambanaji tu kama wengineZembwela simjui vizuri lakini Hando na Kitenge ni wasomi na pia nadhani ni watu wa geti jeusi.
Una uhakika kuwa Hilo siyo kina langu halisi? Nibatize wewe Basi eeh! Nikupe namba ya nida uridhike?Kitenge ni mwandishi wa habari mwenye elimu pana ya uandishi, ni rahisi sana kukejeli taaluma ya mtu anayetumia jina lake halisi kuliko mimi na wewe tuliojificha kwenye majina na ID fake.
Unahamisha hoja...Mkuu DPW mliwaita waarabu, mkabagua rais kwa kumuita mwarabu anayeiuza nchi leo unakuja na hoja za rushwa.
Muda wa upigaji hapo bandarini unaelekea mwisho. Rais anataka akiwa ofisi kwake ikulu asome moja kwa moja ripoti zote za kinachoendelea bandarini maana yake magumashi yote ndio yanafikia mwisho.
Hawa ni malaya kitasnia ambao hata hawakusomea wala kuiendelezaView attachment 2666300
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Kitenge ni wakala... mwenye elimu ya kuunga unga!Zembwela simjui vizuri lakini Hando na Kitenge ni wasomi na pia nadhani ni watu wa geti jeusi.
Inawezekana kabisa. Mungu kawapa nafasi ya kuwa nyuma ya mic ,badala watumie kuwasanua wananchi ukweli, wanaitumia nafasi vibaya kupotosha. Imagine hao jamaa wameamua kabisa kufunga safari kwenda DP World kuutetea mkataba wa ambao Watz wanaukataa. Kama sio kufikiri Kwa kutumia makalio ni Nini brother.Unataka kusema ni mashoga au ni Matowashi wa makanisa ??
Huenda huyu prof. Yupo katika mpango kazi wa wanaonufaika kimya kimya hapo bandarini maana Pana chain ndefu ya wanufaika ki sirisiri.Nadhani Prof Tibaijuka aliwatenda!
Kws hizo mikoba mmewekewa zawadi za kuwaziba mdomo au tueleweje!?View attachment 2666300
Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.