Hii sheria ya ardhi kuhusu wageni kumiliki ardhi isipokuwa makini mtakuja kulaumiana mbeleni

Hii sheria ya ardhi kuhusu wageni kumiliki ardhi isipokuwa makini mtakuja kulaumiana mbeleni

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Hongera waziri wa ardhi Jerry Silaa nili kunukuu kuhusu swala la wageni mnafanya maboresho kuhusu wageni kumiliki ardhi.

Tatizo linaweza kutokea mbeleni kwenye sheria hii sababu wananchi wengi wako kwenye wimbi la umaskini ususani vijijini ambapo ndio maeneo yenye rasilimali kama madini,kilimo na biashara.

Wananchi hawa watajikuta wakiingia na tamaa za wageni kwa dau watakazopewa kuuza ardhi zao na mwisho wa siku ardhi ya tanzania itakuwa ardhi mataifa mengine yenye maeneo yao.

Kuna nchi zinazo zitolea macho tanzania ilivyo barikiwa na kila kitu

Naiona tanzania ikijitakia inachokitaka
 
Kuna nchi zinazo zitolea macho tanzania ilivyo barikiwa na kila kitu

Huu ujinga mmejazwa wabongo ndo umefanya akili zenu zigande muogope kila kitu.

Hakuna nchi inatolea macho Tanzania. Mtolewe macho kwa lipi hasa? Nini mnazalisha ambacho nchi zingine hawana? Mafuta, gas, dhahabu, coal, copper nchi kibao zinazalisha na reserve zaidi ya Tanzania.

Wabongo mnajionaga special wakati hamna uspecial wowote ule. Huo ujinga mliojazwa ndo mnafanya muogope wageni na kushindana on the global stage, mmebaki kujifungia ndani na kutawaliwa kiboya. Watu wengi hawaijui kabisa bongo let alone kuitolea macho, fungueni bongo zenu nyie mitanganyika.
 
Huu ujinga mmejazwa wabongo ndo umefanya akili zenu zigande muogope kila kitu.

Hakuna nchi inatolea macho TZ. Mtolewe macho kwa lipi hasa? Nini mnazalisha ambacho nchi zingine hawana? Mafuta, gas, dhahabu, coal, copper nchi kibao zinazalisha na reserve zaidi ...
kama ni ujinga naomba uniambie kwa nini mnawatoa wamasai mkawapa wageni na ni mali yao
 
Hongera waziri wa ardhi Jerry Silaa nili kunukuu kuhusu swala la wageni mnafanya maboresho kuhusu wageni kumiliki ardhi.
Tatizo linaweza kutokea mbeleni kwenye sheria hii sababu wananchi wengi wako kwenye wimbi la umaskini ususani vijijini ambapo ndio maeneo yenye rasilimali kama madini,kilimo na biashara....
Soma vizuri huo mpango, hakuna mgeni au Mtanzania yeyote anaemilikishwa ardhi, uwe mtanzania au mgeni, ardhi ya Tanzania inabaki kuwa chini ya Serikali ya Tanzania, kama unavyokodishwa wewe Mtanzania na mgeni aaewekeza Tanzania na aanakidhi vigezo vypte vya uwekezaji atakuwa na haki ya kukodishwa kwa muiibu wa sheria, miaka 33 au 66 au 99.
 
WAAFRIKA BILA KUWA NA ROHO YA UDIKTETA HUWAONGOZI NG'OOOO!!
 
Mi nilijua una akili kumbe hauna!

Ukiuza ardhi we na wananchi wako mnakua mmepanga

Hakuna sehemu nimesema uza ardhi, you seem to lack comprehension skills.

Nimesema ujinga mliojazwa mitanganyika kwamba mnaonewa wivu, muonewe wivu kwa lipi hasa? Nini mnaongoza kwa kuzalisha au reserve kubwa zaidi duniani? Hii mbinu imetumika kufunga bongo zenu ili muwe mazwazwa.

Unaweza pinga jambo ila sio kwa njia za uongo za kuonewa wivu.
 
tat
Huu ujinga mmejazwa wabongo ndo umefanya akili zenu zigande muogope kila kitu.

Hakuna nchi inatolea macho TZ. Mtolewe macho kwa lipi hasa? Nini mnazalisha ambacho nchi zingine hawana? Mafuta, gas, dhahabu, coal, copper nchi kibao zinazalisha na reserve zaidi ya TZ.

Wabongo mnajionaga special wakati hamna uspecial wowote ule. Huo ujinga mliojazwa ndo mnafanya muogope wageni na kushindana on the global stage, mmebaki kujifungia ndani na kutawaliwa kiboya. Watu wengi hawaijui kabisa bongo let alone kuitolea macho, fungueni bongo zenu nyie mitanganyi
tatizo lako sio mtangamyika
 
Hawa jamaa wanachukua maeneo makubwa sana yaani.

Acha uoga, ni jambo la kuangalia ardhi inanunuliwa kwa matumizi gani
sheria na taratibu znaweza kuwekwa na zikaleta tija

wageni wakiwa huru kununua ardhi waleta maendeleo ktk ujenzi, ajira, kipato kwa raia na serikali.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Acha uoga, ni jambo la kuangalia ardhi inanunuliwa kwa matumizi gani
sheria na taratibu znaweza kuwekwa na zikaleta tija

wageni wakiwa huru kununua ardhi waleta maendeleo ktk ujenzi, ajira, kipato kwa raia na serikali.
na kisha waka kopee kwenye nchi zao
 
Back
Top Bottom