Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
- Thread starter
- #21
Sijui kama unafahamu Historia ya USA na alaskaUbaya uko wapi sasa kama akishindwa kulipa mkopo, ardhi si itauzwa kwa mwingne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kama unafahamu Historia ya USA na alaskaUbaya uko wapi sasa kama akishindwa kulipa mkopo, ardhi si itauzwa kwa mwingne
Sijui kama unafahamu Historia ya USA na alaska
Ma shaa Allah, ambazo wewe huzipati mpaka ushahadie.
Onesha ni Mtanzania au mgeni yupi anaemiliki ardhi.
Hivi hao wapitisha hiyo sheria mgeni anunue ardhi,wanawashwa nini kuacha vilevile alivyoweka Nyerere!?Minaona sheria haina mashiko na bora ifutwe then wageni wakodi ardhi na sio kununua.
Kama ni mali ya dunia mbona hata dunia imepiga kelele baada ya Wamasai kuondoshwa?Mmasai anatolewa Ngorongoro, Ngorongoro ni hifadhi ya dunia kwa sasa na si ya Tanzania. Na hapewi mgeni yeyote, wacha uongo.
Katiba mpya!Hongera waziri wa ardhi Jerry Silaa nili kunukuu kuhusu swala la wageni mnafanya maboresho kuhusu wageni kumiliki ardhi.
Tatizo linaweza kutokea mbeleni kwenye sheria hii sababu wananchi wengi wako kwenye wimbi la umaskini ususani vijijini ambapo ndio maeneo yenye rasilimali kama madini,kilimo na biashara.
Wananchi hawa watajikuta wakiingia na tamaa za wageni kwa dau watakazopewa kuuza ardhi zao na mwisho wa siku ardhi ya tanzania itakuwa ardhi mataifa mengine yenye maeneo yao.
Kuna nchi zinazo zitolea macho tanzania ilivyo barikiwa na kila kitu
Naiona tanzania ikijitakia inachokitaka
Sheria yenyewe iko wapi, mbona siioni?Hongera waziri wa ardhi Jerry Silaa nili kunukuu kuhusu swala la wageni mnafanya maboresho kuhusu wageni kumiliki ardhi.
Tatizo linaweza kutokea mbeleni kwenye sheria hii sababu wananchi wengi wako kwenye wimbi la umaskini ususani vijijini ambapo ndio maeneo yenye rasilimali kama madini,kilimo na biashara.
Wananchi hawa watajikuta wakiingia na tamaa za wageni kwa dau watakazopewa kuuza ardhi zao na mwisho wa siku ardhi ya tanzania itakuwa ardhi mataifa mengine yenye maeneo yao.
Kuna nchi zinazo zitolea macho tanzania ilivyo barikiwa na kila kitu
Naiona tanzania ikijitakia inachokitaka
Hizi sheria zinatungwa kutimiza malengo ya tabaka fulani lenye nguvu ya pesa, mbaya zaidi wananchi hawashirikishwi kutoa maoni yao, mamlaka zinatumia nguvu kufanya maamuzi matokeo yake watu wanaporwa ardhi kimabavu kwakuwa hawajapewa elimu ya ardhi wala sheria za ardhiHongera waziri wa ardhi Jerry Silaa nili kunukuu kuhusu swala la wageni mnafanya maboresho kuhusu wageni kumiliki ardhi.
Tatizo linaweza kutokea mbeleni kwenye sheria hii sababu wananchi wengi wako kwenye wimbi la umaskini ususani vijijini ambapo ndio maeneo yenye rasilimali kama madini,kilimo na biashara.
Wananchi hawa watajikuta wakiingia na tamaa za wageni kwa dau watakazopewa kuuza ardhi zao na mwisho wa siku ardhi ya tanzania itakuwa ardhi mataifa mengine yenye maeneo yao.
Kuna nchi zinazo zitolea macho tanzania ilivyo barikiwa na kila kitu
Naiona tanzania ikijitakia inachokitaka
Tstizo liko kwa viongozi waliopoKuna nchi zinazo zitolea macho tanzania ilivyo barikiwa na kila kitu
Hiyo labda dunia ya ndotoni mwako.Kama ni mali ya dunia mbona hata dunia imepiga kelele baada ya Wamasai kuondoshwa?
Tunarudishwa kwenye unyarubanja. Tutakuwa tunakodi ardhi kwa wageni ili kulima, ndani ya nchi yetu wenyewe. Tamaa mbele mauti nyuma.
Ukiuza ardhi we na wananchi wako mnakua mmepanga
Hayo mapori ndiyo tunapata kuni na mkaa wa kupikia, miti ya kujengea, tunawinda kware na sungura, wasukuma na wamasai wanachungia ng'ombe na kufanya bei ya nyama iwe chini nk nk. Hakuna pori lililokaa bure.Sasa kama ardhi haifanyiwi maendeleo na wazawa ni heri waje wenye kuhitaji wawekeze na itumike kuleta maendeleo ya uchumi na kijamii
Tanzania hadi leo ukitembea maeneo mengi ya nchi ni mapori yasiyokuwa na maana.
Hayo mapori ndiyo tunapata kuni na mkaa wa kupikia, miti ya kujengea, tunawinda kware na sungura, wasukuma na wamasai wanachungia ng'ombe na kufanya bei ya nyama iwe chini nk nk. Hakuna pori lililokaa bure.
Mkiwapa wageni mtachuma wapi watowo na masasati?