Hii sheria ya ardhi kuhusu wageni kumiliki ardhi isipokuwa makini mtakuja kulaumiana mbeleni

Eti maeneo ya kimkakati🤣 Unaongea lugha ya kitapeli na isyoendana na uhalisia inayoongelewa na wanasiasa. Uhalisia ni kuwa watanzania wengi bado wanapikia kuni na mkaa. Upige marufuku kuni na mkaa una umeme na gesi ya kupeleka huko Itilima vijijini? Una hela za kununua nyama na maziwa ya ng'ombe waliofugwa kisasa na kwa "TIJA🤣?" Unaongea vitu vya ndotoni.

Usione hiyo misitu imekaa bure, watu wengi sana wanaitegemea kuendesha maisha yao. Ndiyo nyie mkiona viwanja vya wazi mnakuwa mnadhani kuwa vimekaa bure.
 
Mkuranga yote itakuwa mali ya wachina
 
Si Bora mtu apewe chake auze Kuliko uambiwe Ni chako lakini pia hupewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…