Yaan mawazo yako hayana tofauti na watu wa kijijini au watu duni wasio elewa maana ya maendeleo
kwanza matumiz ya kuni na mkaa yanapaswa kupigwa marufuku, nishati ya kupikia iwe gesi na umeme
pili
hao wamasai na wasukuma wanaharibu sana mazingira kwa ufugaji usio na tija wa kuhama hama, wanapaswa kufuga ng'ombe wachache wa kisasa wenye tija
tatu
baadhi ya maeneo ya kimkakati yatatengwa kwaajiri ya uoto wa asili, hifadhi ya wanyama na mimea ya asili au kwaajiri ya utalii