Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Habari za mchana wapendwa.

Habari za kusikitisha - NHIF wamebadilisha mifumo yao ya matumizi ya card.

1- Tegemezi wengi wameondolewa,

2- Card itumike x 3 tu kwa mwezi.

3- Kama umetibiwa Jana au juzi, ukienda hospitali nyingine utatakiwa uende na Referral toka hiyo hospitali ulikotibiwa mara ya mwisho.

Makorokoro kibao yamebadilika. Tunaendelea kuwasikiliza. Ni shida tupu.


HII SIO HAKI MTU ANACHANGIA AFU HUDUMA ANAPANGIWA ATIBIWE KTK KITUO KIMOJA TU KWA MWEZI NA NA MARA TATU TU KWA MWEZ HII SIO HAKI. BASI WATUMISHI WARUHUSIWE KUJIUNGA NA MIFUKO MINGINE ISIWE LAZIMA NHIF ILI AFUATE HUDUMA SEHEMU ANAYOONA INAFAA
Hivi vinchi vyetu haviendi bila ubabe! Wataoumia ni wananchi wengi maskini!
 
TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO

Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu

Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine ,kama kuna emergency kutakua kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee

Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu

Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee

Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari

Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.

Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.

NHIF.
Mtanikumbuka!!sio kwa mabaya bali kwa jinsi "nimesakrifise"maisha yangu kwa ajili yenu!
R.I.P #CHUMAJPM#
 
TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO

Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu

Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine ,kama kuna emergency kutakua kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee

Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu

Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee

Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari

Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.

Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.

NHIF.
#mtanikumbuka.. bado tuna miaka mitatu mbele kama sio 7 hapo hatujajua atapandikizwa mtoto wa mfalme yupi [emoji23] [emoji23] [emoji23]

#katibampya ndo suluhisho wa hizi changamoto zote.. maana kwenye katiba mpya iliyopendekezwa na team ya Warioba mpaka mikataba wananchi watakuwa waijua kiuwazi tofauti na ilivyo sasahivi
 
TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO

Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu

Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine ,kama kuna emergency kutakua kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee

Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu

Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee

Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari

Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.

Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.

NHIF.
Mfuko umeongeza control lakini kwa kweli sio jambo jema. Mishahara ni midogo na gharama za matibabu ni kubwa.
Wafanyakazi wengi wanalipwa chini ya milioni moja kwa mwezi(400000+ hadi 900000+) majaority. Wastani wa makato ya bima ni elfu 20 kwa mwezi. Matumizi ni makubwa.
Lakini pia nahisi NHIF walichelewa kutega uchumi. Pengine walikuwa wanabaki na paper money kwa muda mrefu kwa hofu ya cash crisis.
 
TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA AUTHORISED KWENYE MFUMO

Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu

Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia, mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine ,kama kuna emergency kutakua kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee

Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu

Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee

Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari

Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.

Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.

NHIF.
Nawaunga mkono NHIF, maana Kuna wateja ambao ni wazururaji kwenye vituo vya afya, leo yuko huku, kesho kule , kesho kutwa kule, yaan daily yeye ni kuugua kweli?

Hawa wateja wa namna hii wanatia hasara Sana katika vituo vya afya kwa makosa ya double claiming!

Unakuta katoka kituo A Jana na shida ambayo kesho anakwenda nayo kituo B, na dawa anapewa zilezile, matokeo yake kituo B kinakatwa!

Kwenye hili halihusiani na Mama Samia!


NB: hata hiyo mara 3 kwa mwezi Ni offer nzuri naomba mlio katik utumishi wa umma mpokee hivyo hivyo, maana dawa so chakula, pengine wamefanya hivyo kudhibiti matumizi ya dawa hovyo

HONGERA NHIF KWA KULIONA HILI, hayo mengine simo
 
Mfuko umeongeza control lakini kwa kweli sio jambo jema. Mishahara ni midogo na gharama za matibabu ni kubwa.
Wafanyakazi wengi wanalipwa chini ya milioni moja kwa mwezi(400000+ hadi 900000+) majaority. Wastani wa makato ya bima ni elfu 20 kwa mwezi. Matumizi ni makubwa.
Lakini pia nahisi NHIF walichelewa kutega uchumi. Pengine walikuwa wanabaki na paper money kwa muda mrefu kwa hofu ya cash crisis.
NHIF ilikuwa inaendeshwa kwa hasara
 
Zamani NHIF ilikuwa inawaita wadau wanachakata mambo magumu kama haya kabla ya kuyapeleka Kwa walaji wa Mwisho. Sasa sielewi mfuko siku hizi umeelewa wapi?
 
Back
Top Bottom