Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

Siku zao zinahesabika, weshasahau kwamba kabla ya JPM hata kuvaa uniform za CCM na kupita mtaani ilikuwa ni aibu kubwa.
 
Watoto wao wananihusu nini we kima mknd...
Usilete huruma za kinafiki kwenye maslahi mapana ya Taifa.

Uliwazaa wewe? Toa unafiki wako hapa...
Mao Zedong wa China ni moja ya alama waliiachia China na kuifanya ifike pale,..

Nchi inanuka umasikini, wananchi watoa kodi wanaumizwa na washenzi wachache waliotunisha wake zao makalio kwa pesa za wanyonge... halafu linatokea lijinga kutetea ushenzi.. hata kama ni mie nakufutia juu kwa juu pmbv

Unajua utendaji mbovu, rushwa jinsi ulivyopoteza maisha ya wa Tanzania masikini?

Nchi ambayo bado mnatongoza wapiga kura kwa kuwadanganyia vyoo na madawati inahitaji mkono wa chuma na mtu kama JPM...
nani alikuambia mwendazake alikuwa hapendi rushwa,jiulize chato vile vi appartment alijenga na nini, jiulize nyumba za serikali alizompa hawara yake KABUTA hela alipiga wapi, kwa taarifa tu barabara za mwendo kasi alipiga mkubwa,
Ukitaka taifa liondokane na rushwa lazima liwe taifa la uwazi, tueleze 1.5trilion zilienda wapi, tueleze usiri uliokuwa kwenye manunuzi ya ndege ni wa nini.
Ndugu yenu alikuwa hamnazo na hata mnye kuanzia chato hadi dodoma hainuki tena
 
Hizi propaganda mfu tuna uwezo wa kuzichanganua na sio jinsi mnavyotaka tuelewe. Kama unadhani kila mtu aliamini sifa za kijinga alizokuwa anamwagiwa basi umeukalia. Alikuwa dhalimu na mlevi wa madaraka fullstop.
Pia alikuwa mnafiki mkubwa jumapili yupo kanisani jumatatu anauwa na kuteka watu jumapili yupo kanisani jumanne linaiba kura ndio maana limekufa limeoza kwasasa limebaki mifupa shimoni na roho iko motoni mbwa yule.
 
Napendekeza.
Kuwe na
Magufuli Day
Rasmi kumkumbuka Marehemu.
Na
Iwe ya Mapumziko kabisa

Ili japo kufuta Machozi ya waliowengi wetu.
Mwizi wa kura akumbukwe kwa lipi kwamba ccm ilishinda 99% sherwani magufuli.
 
Vumilia zamu kwa zamu mlifurahi kuhuzunika zamu yenu.
Msiba anaomba mchango mpe

IMG-20211028-WA0011.jpg
 
Yoote haya kwa kuwa Nape kasema mikopo aliyokopa kisiri ichunguzwe ?!. Unahangaika na gunia la misumari .
Kwa hiyo Nape amekuwa shujaa wako leo, unakijua vzr Anachokipigania au humjui Nape, na wewe una uhakika kuwa amemanisha alichokisema? Odhis unaniangusha, umeanza kumwamini mlamba miguu, Jana alikuwa analamba miguu ya Magu Hadi anapiga magoti, saa hizi anaanza kulamba ya Samia tena unamuona ni hero, hujajua anachokitafta?

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Sema ulikuwa unampania jiwe na wala sio CCM ndio maana unapanic watu kumponda jiwe kama ungekuwa unaipambania CCM kama chama mbona CCM bado kipo tena kama mnavyosemaga wenyewe CCM ni ile ile,jiwe lazima apomdwe maana hata wana CCM wenzake walikuwa hawampendi.
 
Alikuwa ni dhalimu na mshamba wa kutupa, tunashukuru Mungu Kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Kweli alikuwa mshamba.
Wajanja ni wale wanaoyaacha mafisadi yajimwambafai na kuzurumu hadi kuuwa RAIA masikini
 
Alikuwa ni mwizi kwa wezi..
Alikuwa mshenzi kwa washenzi
kwann mnafanya upumbavu wa kumponda JPM?

Kwann mnataka kumsifia kwa kuponda wengine?

UPUMBAVU

JPM alipoingia madarakani aliingia ikulu ambayo hakujenga yeye, alitumia magari ambayo hakununua yeye, hakujilea bali alililewa na wanasiasa ambao hakuwalea yeye, chama kilimpitisha ambacho hakuanzisha yeye na alilindwa na majeshi ambayo hakuyatengeneza yeye wala kuyalipa mshahara yeye mpaka alipopata madaraka.

Yeye naye akafanya sehemu yake na sasa kapumzika, Tuache huu ujinga. Hakuna raisi wa chama pinzani aliyetawala hii nchi, maraisi wote walifata ilani ya ccm.
 
Kwa hiyo Nape amekuwa shujaa wako leo, unakijua vzr Anachokipigania au humjui Nape, na wewe una uhakika kuwa amemanisha alichokisema? Odhis unaniangusha, umeanza kumwamini mlamba miguu, Jana alikuwa analamba miguu ya Magu Hadi anapiga magoti, saa hizi anaanza kulamba ya Samia tena unamuona ni hero, hujajua anachokitafta?

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Sijakuangusha na sitakuangusha . Kikubwa tuwe na taifa linaloweza kuhoji utendaji kazi wa Rais na viongozi wa chini yake. Hili la kumfanya Rais Mungu HAPANA . Katiba ya Tz imemuumba mungumutu anaeitwa Rais .

Jiulize ni kwanini Mkapa haongelewi sana kwa mazuri na mabaya aliotenda akiwa madarakani isipokuwa Maghufuli . Wote hawa wamekufa majuzi tu.
 
Watu wanalipa kisasi sasa.
Kutesa kwa zamu.
 
Magufuli alishakufa, kuzikwa na kuoza, wewe bado unampambania nini sasa?

Ndugu nakushauri sasa anza kupambania maisha yako kwanza, hayo ya kupambania wafu hayatakusaidia kitu, utajichosha bure.
Ndio waliokuwa wakimpa hadhi ya utukufu au hadhi sawa na mungu km alikuwa binadamu mwache asemwe watu wajifunze mema na mabaya toka kwake
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Dawa ni kugawana mbao tu.
 
Hela kwani zilianza kupatikana leo. Sababu za yeye kushiriki kusimamia ujenzi ni kwamba anaweza. Utaishi kutegemea wahisani Hadi lini, huwezi kuvumilia Unyonyaji unaoona ni dhahiri Kisa unategemea wahisani.Aliyesema mtegemea cha nduguye hufa maskini siyo Magufuli
Na ndo kafa yeye katuacha.
CCM ilikuwa na utamaduni wa kuheshimiana, yeye ndo kaja kaanzisha tabia ya kutukana viongozi wastaafu, rejea kina Musiba, Hapi....sasa kibao kimemgeukia alale Kwa kutulia huko kaburini ale mitusi.
 
Back
Top Bottom