Hii video haina Maadili, Huwezi kupiga picha na Rais ili umringishie ex wako

Acha kucomplicate maisha isee acha watu waturahi huyo ni binadamu pia kama wewe na mimi anafurahi pia kufurahishwa.
 
Sio kesi saana, ukizingatia ilikuwa ni show ya comedy, kwa hili simlaumu mama.

Ila uchawa ndio too much, kila kitu mama, moaka KOMEDI ni ya mama, tunapoelekea itakuwa tukizagamuana, mrembo akinogewa na utamu apige kelele mama mi5 tena..
🤣 🤣 🤣 🔊
 
Sijaona Tatizo.
Walikuwa wansherehekea Siku ya wajinga na tuzo za Ujinga na wajinga so YES ni jambo zuri.

Wenzetu Commedians wana Taaluma za kueleweka huku kwetu kila ambaye akili hazimtoshi anakuwa celebrity.

Anyway Hii ni Tanzania
 
Nyie watu mko serious sana na maisha.

Comedy hiyo . Ndio maana watu wanacheka.
 
Nami nimeona haya maajabu, yaani rais mwanamke.
Ndiko tulikofika, hivi mkapa kuna mjinga angeweza kumsogelea apige picha ya kumringishia X kweli?

Mkuu una uhakika hakuna wanawake waliopiga picha na kuwaringishia wapenzi wao.

Unakuuza mambo nje ya muktadha, wivu tu unakusumbua, yawezekana ukawa ndiwe ex wa huyo msanii!!!
 

Mkuu take it easy, Rais ni binadamu, mazingira na hadhira ilikuwa inaruhusu. Punguza imagination potofu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…