Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Na Bado Maji Tutaita Mmaa
Mchawi Anayetuloga Sisi Ni CCM Tu, Haya Wanayajua Vema
Mzilankende Alisema Mtanikumbuka Lakini Siyo Kwa Mabaya Ila Mazuri




Kama Unabisha Jifanye Kama Unajikuna Vile Uone.....
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Mtajua wenyewe Sisi wanajeshi tunapanda bure[emoji1][emoji1][emoji1787]
 
20231209_135117.jpg
 
Viongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.
Bungeni wamejaa wao tu
 
  • Thanks
Reactions: Exy
Serikali ya ccm hawastahili kurudi madarakani 2025, ni bora tuchague vibaka wengine labda watakuwa wezi wabunifu kuliko huu wizi wa waziwazi wa sasa... bila kujali hali za wananchi wake, serikali imeridhia nauli zipande...
 
Machadema nyie ni mapunguani na hamjielewi.

Kwa kichwa chako hicho unachofugia nywe unadhani kuja siku Machadema yatakusaidia wewe uwe na maisha mazuri au?

Kuelewa hutaki hata mifano kwenye Nchi zilizochagua Wapinzani kipi Cha maana wamewaletea zaidi ya kuzidisha ugumu wa Maisha? Pole kukosa akili ni kama ugonjwa.
Chawa punguza ujinga.wewe na chama chako chakavu ndio mnaojielewa miaka 60 toka uhuru nchi bado haieleweki na bado umekalia ujinga tu.Jinga kabisa wewe.
 
Tuikate CCM chama Cha wafanya biashara nchi isonge mbele, na chama kinachoweza kuikomboa nchi kwa Sasa hakuna , labda katiba mpya
 
Viongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.
watanzania ni wavivu sana hizi nauli zilitangazwa wakatoa na maelekezo kama kuna pingamizi liwasilishwe kabla hazijaanza kutumika december 8 mlikaa kimya hadi sasa zimepanda ndio mnakuja lalamika tanzania ina watu wavivu sana na walalamishi sana hamjui haki zenu kama watanzania mpo mpo tu.
 
Shida inaanzia pale kwa huyo unaemuita "mama", kwani unadhani yeye hajui kinacho endelea au unadhani hajui kama hali ya maisha kwa wananchi inazidi kua ngumu na kukatisha tamaa Kila siku, ameridhia hilo ongezeko la nauli licha ya kelele nyingi za maumivu kutoka Kila sehemu usitake kumtakasa kwenye hili, hakuna namna tuendelee tuu kuisoma namba kwa nyuma kwa sababu waliotupangia nauli hawatumii hivyo vyombo vya usafiri hata kwa bahati mbaya
 
Back
Top Bottom