Ndio kwanza nimejua kupitia huu uzi kama kuna watu walikimbiza gari la harmonize ila nachukizwa sana na lawama zinazorushwa kwa vijana wakati ukiangalia wao wamekutana na matokeo ambayo hao wazee/wababa walishindwa kuzuia chanzo chake. Hii nchi hakuna kizazi cha kulaumu kizazi kingine, kila generation kuna sehemu imefeli.Na wewe ulikuwa miongoni mwa wakimbiza gari la msanii au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna tofauti gani kati ya kumkimbiza Harmonize na kukimbiza mwenge ?
Wewe mpumbavu umeelewa hata nilichoandika? Tunaongelea vijana halafu unaleta ishu za wabunge na blahblah zingine. Usiwe kama mgese.Mkuu hivi umeandika ukiwa na akili timamu au unatania?
Hao vijana waliotunga sheria mbovu ni kina nani?,Sheria mbovu zinatungwa na bunge ambalo majority ya wabunge ni kutoka ccm ambako wewe na wanawake wenzio kila siku mna-praise kuwa inaupiga mwingi!
Matokeo ya sheria mbovu leo ni chanzo cha ccm mbovu inayoongozwa na mwanamke!
Amejichora zake baadaye anapata hela anapelekea familia yake ikale.
Wewe mpumbavu umeelewa hata nilichoandika? Tunaongelea vijana halafu unaleta ishu za wabunge na blahblah zingine. Usiwe kama mgese.
Amejichora zake baadaye anapata hela anapelekea familia yake ikale.
Wewe umeshikilia mabango ukamtukane Rais unavunjwa miguu
Familia yako inapata hasara.
Kama kijana ,utachagua mwenyewe;
Ukavunjwe miguu au ukamkimbize kondeboy.
Hao wazee wanaosifiwa ndio machawa pro max na vijana wamejifunza uchawa kwao.
Unakosoa vijana wakati wewe mwenyewe ni K.Hivi uko timamu kweli?
Any way
Njoo nikuonyeshe namna navyobeba Tofali (Blocks) kwa kutumia Mkuyenge!
Ndio kwanza nimejua kupitia huu uzi kama kuna watu walikimbiza gari la harmonize ila nachukizwa sana na lawama zinazorushwa kwa vijana wakati ukiangalia wao wamekutana na matokeo ambayo hao wazee/wababa walishindwa kuzuia chanzo chake. Hii nchi hakuna kizazi cha kulaumu kizazi kingine, kila generation kuna sehemu imefeli.
Peleka ujinga...!! Haya wewe sio sehemu ya wajinga umeifanyia nini Nchi hii?.Mkosoe mwenye akili atakuelewa ukimkosoa mjinga atakuwa adui yako!
Yan wanajionaje sijui 😂Jamaa wanaboa, kutwa vijana vijana vijana utafikiri wao enzi zao za ujana waliacha legacy ya maana.
Hizo rasilimali zimekuja leo ?Hili taifa Vijana wangejitambua wakasimamia Rasilimali Tulizonazo ingewezekana kabisa mkuu!
Vijana hawa waliotekwa na Hayawani wa chama kile kizee chenye ahadi chakavu?Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Ukiona viongozi wa Serikali wana wang'ang'ania wazee kwenye nafasi nyeti tambua ya kwamba vijana watakuwa na matatizo ya kiakili,Vijana wengi waliopewa nafasi ili waonyeshe uwezo wao wamekuwa wapumbavu kuliko hata wazee waliochokaa!.
Hili Taifa la Tanzania ndilo Taifa linaloongoza duniani kwakuwa na Vijana wapumbavu kuliko Mataifa yote yanayotambulika na Umoja wa Mataifa (UN).
Hebu fikiria kijana anatoka nyumbani au kibaruani kwake kuelekea Airport (JKNIA) kumpokea msanii wa muziki wa kizazi kipya kisa kachukua tuzo huko Marekani,na kibaya zaidi huyo kijana anakimbiza gari lililombeba huyo msanii kitokea Airport hadi Kawe!.
Zaidi ya Km 22 huyu kijana anakimbiza gari kutoka JULIUS KAMBARAGE NYERERE INTERNATIONAL AIRPOT (JKNIA) hadi Kawe huku akitokwa jasho na kunuka kama mbuzi wakati huo huo huyo msanii akiwa anapigwa na AC (Air Condition)!.
Nimetafakari sana namna vijana wa nchi hii (Wengi) walivyo wapumbavu hadi nimekosa majibu!.
Hebu fikiria muda ambao huyo kijana kapoteza katika shughuli za uzalishaji mali!.
Kwanini vijana wasitumie muda kama walioutumia leo wakaandamana kuihoji serikali kuhusu ripoti ya CAG? Nilitamani kuona vijana wanahoji wezi wa mali na
wafuja rasilimali zilizotajwa kwenye ripoti ya CAG lakini hakuna anayehoji.
Ni nchi gani duniani unayoijua wewe ambayo ina uwezo wa kumuwekea vikwazo Marekani?Tupitie habari kidogo aisee, siunajua marekani kwasasa ni nchi ya ulimwengu wa tatu au bado tunakariri yazamani. Nchi imeporomoka vibaya sana na inamadeni vibaya mno.