Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Hata wazee pia walikuwa vijana. Ni kitu gani wamekifanya hao wazee ili wakumbukwe?
 
Na wewe ulikuwa miongoni mwa wakimbiza gari la msanii au
Ndio kwanza nimejua kupitia huu uzi kama kuna watu walikimbiza gari la harmonize ila nachukizwa sana na lawama zinazorushwa kwa vijana wakati ukiangalia wao wamekutana na matokeo ambayo hao wazee/wababa walishindwa kuzuia chanzo chake. Hii nchi hakuna kizazi cha kulaumu kizazi kingine, kila generation kuna sehemu imefeli.
 
If we abuse our time, it's us, not you, so you have to learn to respect limits.
 
Mkuu hivi umeandika ukiwa na akili timamu au unatania?

Hao vijana waliotunga sheria mbovu ni kina nani?,Sheria mbovu zinatungwa na bunge ambalo majority ya wabunge ni kutoka ccm ambako wewe na wanawake wenzio kila siku mna-praise kuwa inaupiga mwingi!

Matokeo ya sheria mbovu leo ni chanzo cha ccm mbovu inayoongozwa na mwanamke!
Wewe mpumbavu umeelewa hata nilichoandika? Tunaongelea vijana halafu unaleta ishu za wabunge na blahblah zingine. Usiwe kama mgese.
 
Amejichora zake baadaye anapata hela anapelekea familia yake ikale.


Wewe umeshikilia mabango ukamtukane Rais unavunjwa miguu
Familia yako inapata hasara.

Kama kijana ,utachagua mwenyewe;
Ukavunjwe miguu au ukamkimbize kondeboy.

Hao wazee wanaosifiwa ndio machawa pro max na vijana wamejifunza uchawa kwao.
 
Wewe mpumbavu umeelewa hata nilichoandika? Tunaongelea vijana halafu unaleta ishu za wabunge na blahblah zingine. Usiwe kama mgese.


Hivi uko timamu kweli?

Any way

Njoo nikuonyeshe namna navyobeba Tofali (Blocks) kwa kutumia Mkuyenge!
 
Amejichora zake baadaye anapata hela anapelekea familia yake ikale.


Wewe umeshikilia mabango ukamtukane Rais unavunjwa miguu
Familia yako inapata hasara.

Kama kijana ,utachagua mwenyewe;
Ukavunjwe miguu au ukamkimbize kondeboy.

Hao wazee wanaosifiwa ndio machawa pro max na vijana wamejifunza uchawa kwao.


Mwanamke wa Kikurya amekuacha mbali sana kiakili,kifiziki na hata kimentaliti!
 
Ndio kwanza nimejua kupitia huu uzi kama kuna watu walikimbiza gari la harmonize ila nachukizwa sana na lawama zinazorushwa kwa vijana wakati ukiangalia wao wamekutana na matokeo ambayo hao wazee/wababa walishindwa kuzuia chanzo chake. Hii nchi hakuna kizazi cha kulaumu kizazi kingine, kila generation kuna sehemu imefeli.


Mzee wako kama alikuwa shoga na wewe utakuwa shoga?
 
Jamaa wanaboa, kutwa vijana vijana vijana utafikiri wao enzi zao za ujana waliacha legacy ya maana.
Yan wanajionaje sijui 😂
Wakati hakuna cha maana walicholiachia taifa dadeq, sio mali au pride as nation,

Na ndo hawa hawa walikuwa wazee wa ndio mzee,

Btw kuna kijana kaja kukuomba buku ?
 
Hili taifa Vijana wangejitambua wakasimamia Rasilimali Tulizonazo ingewezekana kabisa mkuu!
Hizo rasilimali zimekuja leo ?
Niny vijana wa zamani mlikuwa wapi kulinda migodi ya dhahabu ?
Mmeharibu nch wenyewe leo mnatupa mzigo vijana
 
Peleka ujinga...!! Haya wewe sio sehemu ya wajinga umeifanyia nini Nchi hii?.

Go ask u'r mother,she knows everything I have done in this nation!
 
Hizo rasilimali zimekuja leo ?
Niny vijana wa zamani mlikuwa wapi kulinda migodi ya dhahabu ?
Mmeharibu nch wenyewe leo mnatupa mzigo vijana

Baba yako akiwa shoga na wewe utakuwa shoga pamoja na watoto wako?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Ukiona viongozi wa Serikali wana wang'ang'ania wazee kwenye nafasi nyeti tambua ya kwamba vijana watakuwa na matatizo ya kiakili,Vijana wengi waliopewa nafasi ili waonyeshe uwezo wao wamekuwa wapumbavu kuliko hata wazee waliochokaa!.

Hili Taifa la Tanzania ndilo Taifa linaloongoza duniani kwakuwa na Vijana wapumbavu kuliko Mataifa yote yanayotambulika na Umoja wa Mataifa (UN).

Hebu fikiria kijana anatoka nyumbani au kibaruani kwake kuelekea Airport (JKNIA) kumpokea msanii wa muziki wa kizazi kipya kisa kachukua tuzo huko Marekani,na kibaya zaidi huyo kijana anakimbiza gari lililombeba huyo msanii kitokea Airport hadi Kawe!.

Zaidi ya Km 22 huyu kijana anakimbiza gari kutoka JULIUS KAMBARAGE NYERERE INTERNATIONAL AIRPOT (JKNIA) hadi Kawe huku akitokwa jasho na kunuka kama mbuzi wakati huo huo huyo msanii akiwa anapigwa na AC (Air Condition)!.

Nimetafakari sana namna vijana wa nchi hii (Wengi) walivyo wapumbavu hadi nimekosa majibu!.

Hebu fikiria muda ambao huyo kijana kapoteza katika shughuli za uzalishaji mali!.

Kwanini vijana wasitumie muda kama walioutumia leo wakaandamana kuihoji serikali kuhusu ripoti ya CAG? Nilitamani kuona vijana wanahoji wezi wa mali na
wafuja rasilimali zilizotajwa kwenye ripoti ya CAG lakini hakuna anayehoji.
Vijana hawa waliotekwa na Hayawani wa chama kile kizee chenye ahadi chakavu?

Vijana wanaoamini kuwa bila kuwa na kadi ya chama hicho hata u mgambo hupati?
Vijana hawahawa ambao kwenye form za kuomba mkopo wa elimu ya juu wanaambatanisha nakala za kadi za chama kile ilihali siyo miongoni mwa viambatanisho?
 
Tupitie habari kidogo aisee, siunajua marekani kwasasa ni nchi ya ulimwengu wa tatu au bado tunakariri yazamani. Nchi imeporomoka vibaya sana na inamadeni vibaya mno.
Ni nchi gani duniani unayoijua wewe ambayo ina uwezo wa kumuwekea vikwazo Marekani?
- Urusi ameshawekewa vikwazo
Iran ameshawekewa vikwazo
  • China ameshawekewa vikwazo, tena aliambiwa usithubutu kuigusa Taiwan. Akatulia
  • North Korea ameshawekea vikwazo
*Urusi alipovamia Ukraine Marekani alienda Ukraine, Vita ilithitishwa. Akatoa msaada wa silaha
*Israel anaichapa Gaza, Marekani kapeleka meli, wanajeshi na ndege. Hakuna nchi yoyote iliyotia pua Gaza au Israel. Iran, Uturuki, Misri, Saudia Arabia na wengine wanaongelea chini ya kitanda
Nchi inayotoa misaada kuliko nchi yoyote duniani ni Marekani. Urusi, Iran, Uturuki, Saudia Arabia na China hawatoi misaada
 
Back
Top Bottom