Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Ukiona viongozi wa Serikali wana wang'ang'ania wazee kwenye nafasi nyeti tambua ya kwamba vijana watakuwa na matatizo ya kiakili,Vijana wengi waliopewa nafasi ili waonyeshe uwezo wao wamekuwa wapumbavu kuliko hata wazee waliochokaa!.

Hili Taifa la Tanzania ndilo Taifa linaloongoza duniani kwakuwa na Vijana wapumbavu kuliko Mataifa yote yanayotambulika na Umoja wa Mataifa (UN).

Hebu fikiria kijana anatoka nyumbani au kibaruani kwake kuelekea Airport (JKNIA) kumpokea msanii wa muziki wa kizazi kipya kisa kachukua tuzo huko Marekani,na kibaya zaidi huyo kijana anakimbiza gari lililombeba huyo msanii kitokea Airport hadi Kawe!.

Zaidi ya Km 22 huyu kijana anakimbiza gari kutoka JULIUS KAMBARAGE NYERERE INTERNATIONAL AIRPOT (JKNIA) hadi Kawe huku akitokwa jasho na kunuka kama mbuzi wakati huo huo huyo msanii akiwa anapigwa na AC (Air Condition)!.

Nimetafakari sana namna vijana wa nchi hii (Wengi) walivyo wapumbavu hadi nimekosa majibu!.

Hebu fikiria muda ambao huyo kijana kapoteza katika shughuli za uzalishaji mali!.

Kwanini vijana wasitumie muda kama walioutumia leo wakaandamana kuihoji serikali kuhusu ripoti ya CAG? Nilitamani kuona vijana wanahoji wezi wa mali na
wafuja rasilimali zilizotajwa kwenye ripoti ya CAG lakini hakuna anayehoji zaidi ya kushiriki kwenye mambo ya kipumbavu!.

Hili Taifa bila Vijana kubadilika sidhani kama twaweza kupiga hatua zaidi ya kila siku kuishia kuimba nyimbo za mapambio za kina Lucas mwashambwa mama anaupiga mwingi!

Hebu fikiria jitu lililokuwa linapewa heshima hapa jf kama liokota makopo maarufu la JF Chizi Maarifa nalo limekuwa sehemu ya ujinga huo leo pale Airport to Kawe!

Mdeki vyoo wa pale lugalo GENTAMYCINE yeye alishituka mapema hakwenda huko ila alimuachia mwehu mwenzie Chizi Maarifa amuwakilishe!

Vijana wa hili Taifa wengi ni wapumbavu sana!
Mimi nimeshaoa lakini. Akisoma huu uzi mke wangu namjua alivyo na wivu. Mtagombana. Ingawa mimi nimeshazoea kuona watu wakitaka kuolewa nami. Ni ngumu watu flani kupitisha siku bila kutaja jina la mwanaume wanayempenda. Ukiachwa achika. Au huu upemba wangu unawapa sana shida nyie watu? Sisi wapemba ni kweli tunajua kutunza wake... Tunawaingiza watu mjini na kuwapa maisha. Ingawa baadaye mnatusema tunafuga majini n.k lakini mnajua si kweli. Ni wivu tu tunapoamua kuwaacha
 
Wewe kwenu kama wazazi walizaliwa na kukulia kwenye umasikini ina maana na wewe ni lazima uwe masikini? Wewe huwezi kuvunja hiyo cycle ya umasikini kwenye familia yenu?
Umeelewa nlichokiuliza au umelipuka tu? Mtoa mada kabeza vijana na kuona uelewa wao ni mdogo wanashabikia mambo yasiyo na tija🤔nkamuuliza kwa nyakati zao walifanya nini ambacho wanajivunia...jibu swali acha kuleta porojo
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Ukiona viongozi wa Serikali wana wang'ang'ania wazee kwenye nafasi nyeti tambua ya kwamba vijana watakuwa na matatizo ya kiakili,Vijana wengi waliopewa nafasi ili waonyeshe uwezo wao wamekuwa wapumbavu kuliko hata wazee waliochokaa!.

Hili Taifa la Tanzania ndilo Taifa linaloongoza duniani kwakuwa na Vijana wapumbavu kuliko Mataifa yote yanayotambulika na Umoja wa Mataifa (UN).

Hebu fikiria kijana anatoka nyumbani au kibaruani kwake kuelekea Airport (JKNIA) kumpokea msanii wa muziki wa kizazi kipya kisa kachukua tuzo huko Marekani,na kibaya zaidi huyo kijana anakimbiza gari lililombeba huyo msanii kitokea Airport hadi Kawe!.

Zaidi ya Km 22 huyu kijana anakimbiza gari kutoka JULIUS KAMBARAGE NYERERE INTERNATIONAL AIRPOT (JKNIA) hadi Kawe huku akitokwa jasho na kunuka kama mbuzi wakati huo huo huyo msanii akiwa anapigwa na AC (Air Condition)!.

Nimetafakari sana namna vijana wa nchi hii (Wengi) walivyo wapumbavu hadi nimekosa majibu!.

Hebu fikiria muda ambao huyo kijana kapoteza katika shughuli za uzalishaji mali!.

Kwanini vijana wasitumie muda kama walioutumia leo wakaandamana kuihoji serikali kuhusu ripoti ya CAG? Nilitamani kuona vijana wanahoji wezi wa mali na
wafuja rasilimali zilizotajwa kwenye ripoti ya CAG lakini hakuna anayehoji.
Acha wivu wa kichawi wewe makota
 
Usipoteze muda wala nguvu zako ktk kufuatilia maisha ya vijana wa Tz, unaweza kufa kwa presha ya moyo au msongo wa mawazo. Achana nao, akili zao wanazijua wao wenyewe.

Jaribu kufikiria, kampuni moja inatoa tangazo la kazi kwa vijana mtandaoni, tangaxo hilo Lina muda wa miezi mitatu, lakini tangazo hilo limetazamwa na viewers wapatao 35 tu kwa muda wote huo wa miezi mitatu, walati huo huo kuna habari ya udaku kwamba "Wema Sepetu Apata Bwana Mwingine Mpya", na habari hii imewekwa mtandaoni yapata masaa matatu yaliyopita, lakini ukiangalia idadi ya watazaji wa hanari unaona wapo viewers laki tatu ambao wamesoma hanari hiyo. Hii ni ajabu sana, hizi ndio akili walizonazo vijana wa Tz.


Umeandika kwa uchungu sana mkuu!🤔

Sijajua ni nani atakuja kuwaamsha vijana wapumbavu wa hili Taifa!
 
Nafikiri huu sio wakati wa kulaumu bila kuja na suluhisho kwa jamii yetu na vijana wenzetu,,,
Kwa kweli,vijana hawapaswi kulaumiwa.
Hoja iliyopo inaonekana kuegemea kwenye tukio moja na hivyo si mtizamo sahihi na si uwakilishi wa haki wa vijana wa Taifa hili.

Si haki kukiita kizazi kizima kwa ujumla, kuwa wajinga kutokana na matendo ya watu wachache.

Hakuna tija, and it is counter productive, baala yake waelimishwe na wawezeshwe
[✓]

Ujumla jumla kama huo unaweza kuwa na madhara na kudekeza dhana potofu.




NB:Hawa magaidi watakuwa wamesurutishwa pahali kwani imekuwa kawaida yao, kila wakisurutishwa wanatukana Jamii nzima.
 
Nenda JKNIA beba Bango tembea mpaka Kawe kuponda kwamba wale waliotajwa kwenye report ya CAG hawajafanywa kitu rais hakuna anachofanya zaidi ya kuwachekea, alafu subiri km utafika hata Vingunguti yaan Kipawa tu huimalizi

Hivi kwa akili yako unadhani na mimi nina akili kama yako?,Kama ukiwa na umri huo unaogopa kuhoji mambo ya msingi ya Taifa lako unadhani utahoji nini?

Mimi ni habari nyingine mkuu,vituo kadhaa vya polisi hapa Dar es salaam vinanifahamu na wanaelewa kabisa hustle zangu!

Nimepambana sana kulipigania Taifa kuhusu wezi wa Rasilimali,kama ni kufa wangekuwa wameniua zamani lakini pia wanaangalia na watu wa kuwaua!

Mimi ni habari nyingine!

Wewe shukuru leo hapa JF Umughaka anakuandikia Simulizi alizopitia unasoma,Usije kudhani mimi na wewe ni sawa!

Ok,tunaweza kuwa sawa kama wanadamu lakini Uthubutu na roho ya Ujasiri nimekuacha zaidi ya Km 100,000
 
Wa kulaumiwa ni vijana wa zamani ambao wengi wao ndo walitunga sheria za kishenzi na kuhusika kwenye ufisadi wa kutisha hali ambayo inamgharimu kijana wa leo. Viwanda vilivyokuwa vinatoa ajira viliuliwa na vijana walioenda kumpokea Harmonize? Sheria ngumu za mambo ya kodi na biashara zilitungwa na vijana wa mapokezi ya Harmonize? Wewe mzee mwombe sana mwenyezi Mungu hao vijana wasije kuamua kutaka kujua yaliyofanywa na vijana wa zamani ambao ndo wazee wengi wa sasa tunaowaita vigogo.

Mkuu hivi umeandika ukiwa na akili timamu au unatania?

Hao vijana waliotunga sheria mbovu ni kina nani?,Sheria mbovu zinatungwa na bunge ambalo majority ya wabunge ni kutoka ccm ambako wewe na wanawake wenzio kila siku mna-praise kuwa inaupiga mwingi!

Matokeo ya sheria mbovu leo ni chanzo cha ccm mbovu inayoongozwa na mwanamke!
 
Ni shida, tatizo la afya ya akili ni janga kubwa ktk Nchi yetu.
 
Yaani wazee waibe mapesa ya Kodi za Wtz afu uje ututukane vijana?,; Escrow, Richmomd, Kagoda vyote hivyo ni wazee wameusika!!. Afu wewe ni mzee au kijana?, Kama ni kijana mabadiliko hayaanzi na watu 19000 anza wewe acha kutushambulia kipumbavu...!.
Mbona hujasema waliokuwa wanadeki mabarbara 2015 kipindi Cha Lowasa?, Mbona hujasema wanaojazana kwa mwamposa?, Kama atatokea mtu akaja na wazo la kwamaba ili Tz iendelee tunahitaji "kufuta kizazi chote Cha CCM aidha kwakuwakataka mapanga au kuwapiga mabomu ndio nitamheshimu nakumuona shujaa!. Haya mengine ni upuuzi tu na kuwachukia watu, yaani mtu asimshangilie mtu anayempenda?, Futa kizazi dhalim Cha CCM uone Kama Tz itakuwa na shida na njaa za kipuuzi!. Naichukia CCM na watu wake....


Mkosoe mwenye akili atakuelewa ukimkosoa mjinga atakuwa adui yako!
 
Wewe kwenu kama wazazi walizaliwa na kukulia kwenye umasikini ina maana na wewe ni lazima uwe masikini? Wewe huwezi kuvunja hiyo cycle ya umasikini kwenye familia yenu?

Safi sana!
 
Sheria na kanuni za kipambavu zinazoruhusu upigaji kama masilahi ya wabunge, katiba mbovu, matumizi ya anasa ya viongozi n.k zimetungwa kipindi ambacho hao vijana walikua watoto au hawajazaliwa kabisa.

Nyie wazee/wababa mlikua wapi kuandamana zisipitishwe from the first place mpaka mnataka kumrushia kijana mzigo wa kuzipinga?

Mlikua wajinga kuona ubovu? Mliogopa kukinukisha? Hayo maandamano unayotaka vijana tufanye mngeyafanya nyie mliotutangulia leo hii usingekuwepo hapa unalalamika.

Wazee/wababa mmeshindwa kuzuia chanzo cha tatizo kwaiyo hamna uhalali wa kulaumu vijana kwa kushindwa kupambania hayo matatizo yaishe. Actually youths suffer consequences of your ignorance, selfish and cowardness.
Na wewe ulikuwa miongoni mwa wakimbiza gari la msanii au
 
Back
Top Bottom