Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

Naunga mkono hoja. Napinga kabisa watu wenye mawazo ya kijinga kuwa Serikali ikope pesa ili kufidia bei ya Mafuta. Ukiangalia Trend ya bei ya Mafuta Duniani yataendelea kupanda kwa kipindi cha miezi tisa ijayo. Hivyo ushauri kuwa Serikali ikope bilioni 900 kufidia bei ya mafuta ni suluhisho la miezi mitâtu tu hali itarudi kulekule. Kwa msingi huo njia bora ni kondoa tozo na kujifunga mkanda kwa kusimamisha walau kwa miaka miwili miradi ya REA , maji nk ambayo ilitegemea tozo. Aidha, matumizi yasio ya msingi yasimame ili vipesa kidogo vitakavyookolewa viende kwenye REA, MAJI NA TARURA kutokana na kuondolewa tozo.
Mbaya zaidi hota ya msukuma eti tukope kupunguza bei ya mafuta ilipigiwa makofi bungeni
 
Amani iwe nanyi!
Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!


Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Mimi sifichi naweka wazi......ujinga wetu watanzania unatokana na kujitakia sisi wenyewe haswa kwa kuzishabikia hizi dini za kuletewa bila kujuwa ukweli wake. Wamekuja Waarab na wazungu na kutuambia kuabudu chini ya mti au jiwe ni ushetani wakati wao huko Israel na Uarabuni wanafanya hayo hayo kuabudu na kuzunguka jiwe (kaaba). Tunataabika waafrika sabbu tumekana mila na desturi zetu kufuata mila na desturi za wengine. Mwanamke anavaa magunia mwilini kuiga waarab na anaona sifa, kama huu si ujinga ni kitu gani?
 
Amani iwe nanyi!
Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!


Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Uzuri uliopo ni kwamba sote wakubwa kwa wadogo nchini tunakulaga UGALI !! itabidi tubadili hii menu kumbe ndio inayotuletea matatizo mengi !!
 
Tukiachana na kauli za mwalimu, sasahivi kilaa kitu kimepanda bei na sababu kubwa ni bei ya mafuta' na hii inaumiza raia wote'

Ukipiga hesabu zaidi ya nusu bei ya mafuta ni kodi. Na hii inaenda hata mpaka kwenye uagizaji wa magari na vitu vingine.

Sasa unaanzaje kuwa na wazo la kujenga kiwanda wakati mapato unayopata kwenye kodi ni makubwa kuliko ya kiwandani? Japo hayo mapato unayopata yanawatesa na kuacha familia ktk maisha magumu kiasi hata kumudu mlo kamili kwa siku ni shida!

Hayo yote yanasababisha umasikini, njaa na maradhi.

Ni sawa jenga barabara sambaza umeme jenga hospl mafly over na kila kitu kizuri lakini pakitokea majanga unaendeleaje na bajeti yako kama hakuna kilichotokea? Uliweka hela ya dharura/majanga au akiba? Kama mafuta ni muhimu ulihifadhi? Vp chakula umehifadhi?

Kwenye familia hata ng'ombe huuzwa pakitokea majanga na ni kwaajili ya kurudisha maisha ya familia ktk hali ya kawaida. Na huu ndo wajibu wa mwenye kaya.

Juzi nilimsikia moja anajibu swali bungeni, "serekali inazo hifadhi za mafuta lakini mafuta yaliopo kwenye hifadhi hizo sio mali ya serekali, ni ya wafanyabiashara"!

Huu ndo ujinga unaosababisha njaa umaskini na marafhi.

Kiufupi ni kama tunaongozwa na genge la mchwa wanaotamani na kula bila hata kuweka akiba, kila kitu watasingizia vita.
 
Najaribu kulink Ujinga na lishe Mana hata hao wanaokuka balanced diet ndio mstari wa mbele kwa ujinga.

Anaejua Ubongo unatumia aina gani ya chakula Kama fuel atueleze.
 
Mkuu umekomalia Sana hili swala .

Ni research paper ipi inayosapoti hii claim.
Research moja pekee inatosha inayoeleza kwamba Africa ndio bara masikini kuliko mabara yote Ulimwenguni !! Pamoja na Rasilimali zote ilizojaaliwa na Mungu bado ndiyo masikini kuliko mabara yote !! Mtoa mada Lord denning ameliona hili !! Kumbe sababu ni UGALI !
 
Umeongea mengi lakin kitendo cha kuusema ugali inadhihirisha hujui ni raha kiasi gan kula ugali na samaki wa kukaanga au nyama choma
Hajui!!

I am coming out! I am coming out!
Natoka! Natoka!
 
Ni sahihi kabisa, vyakula vya wanga ambavyo ndiyo vyakula mama kwa Afrika vinasababisha akili zetu kudumaa.
Tatizo kubwa sio vyakula wanga bali aina ya wanga. Sembe ni janga kubwa lakini zaidi kuna watu wanakula hiyo sembe na mchicha tu, Watu wanakunywa chai ya rangi na mihogo au vitumbua, watoto wanapewa uji mweupe wenye sukari tu n.k Kwa mtindo huu wa ulaji akili lazima zidumae.
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Tatizo la nchi hii wala sio ugali unausingizia tu ugali..tatizo la nchi hii ni ccm na viongozi wake ambao wameshapoteza misingi ya uongozi wa wanancho na kugeukia matumbo na familia zao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni raha lakini ugali hasa wa sembe sio chakula sahihi kwa afya yako.
Umeongea mengi lakin kitendo cha kuusema ugali inadhihirisha hujui ni raha kiasi gan kula ugali na samaki wa kukaanga au nyama choma
 
Lishe bora inatakiwa kuanzia utotoni, ubongo wa mtoto huwa unakuwa na kuwekewa msingi katika kipindi cha miaka mitano ya mwanzo, ukiharibu hapo huko mbeleni hata ukila balance diet haina maana sana.
Najaribu kulink Ujinga na lishe Mana hata hao wanaokuka balanced diet ndio mstari wa mbele kwa ujinga.

Anaejua Ubongo unatumia aina gani ya chakula Kama fuel atueleze.
 
Mleta mada angetakiwa aongelee tatizo la lishe mbovu kwa ujumla, yeye amejikita kwenye ugali tu.
Uzuri uliopo ni kwamba sote wakubwa kwa wadogo nchini tunakulaga UGALI !! itabidi tubadili hii menu kumbe ndio inayotuletea matatizo mengi !!
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
rubbish,endelea kumtetea huyo kungwi wako,kashindwa uongozi wa nchi mapema sana
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Nilikuwa sijui Kama na ww umo miongoni mwa wajinga wengi wa tanzania.
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Kina his initials zaidi ni jinsi ambavyo nawe umeathiriwa na ulaji Wa ugali.Hayo ya kupambana na ujinga kumefanyika tangia tupate UHURU hadi leo,chini ya utawala Wa wanaopenda na kufurahia ujinga Wa watu wake ili waendelee kutawala.Sina kipimo cha ujinga na werevu Wa wananchi kama ulivyofanya mtoa mada ila ninapata shida sana kufahamu ujinga Wa wasomi unawezaje kuondolewa?
Ujinga ni tabia na kichaka cha watu wavivu kufikiri na waoga Wa kuthubutu.Ndiyo maana hata suala la Katiba Mpya linavyobishaniwa.
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!

Uko sahihi kwenye hili suala la ujinga. Na kwa taarifa yako huo ujinga ndio unaosababisha hadi Leo ccm isalie madarakani. Hivyo kwa namna Moja au nyingine utawala huu ni matokeo ya ujinga huo.
 
Back
Top Bottom