Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Njaa ndio inawatuma nyie wenyewe njaa tupu mnahamasi watu wale nini?🤣
 
Ni tatizo la kimfumo - huu mfumo huu wa SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA tangu uasisi wa Taifa letu ndiyo umetufikisha hapa.

Mfumo huu umetujengea hofu, kutojiamini, kujipendekeza mbaya zaidi bado unaambukiza hadi vijana wadogo kujikombakomba kisiasa. Mimi nafikiri baada ya kugundua mfumo huu umefeli Mwalimu angeuondoa na kutupatia Katiba Mpya mapema miaka ya 90, sasa hivi watawala sidhani wangekuwa wanatufanyia utani utani namna hii.

Sasa haya ndiyo matokeo yake kwamba badala ya wananchi kudai haki zao wao wanalilia vifuani huku wakiomba Mungu awasaidie.
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Sasa royal tour itakuza utalii kivipi wakati mafuta yamepanda bei na wazungu wameteteleka kiuchumi kutokana na vita? Watalii hao hao ndo wanapigana sa sijui royal tour tunamtangazia nani aje? 😂
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
tangu lini ccm wakamjali mwananchi?
 
Tatizo kubwa sio vyakula wanga bali aina ya wanga. Sembe ni janga kubwa lakini zaidi kuna watu wanakula hiyo sembe na mchicha tu, Watu wanakunywa chai ya rangi na mihogo au vitumbua, watoto wanapewa uji mweupe wenye sukari tu n.k Kwa mtindo huu wa ulaji akili lazima zidumae.
je na wale wanaofuja Mali za Umma nao Akili zao zimefubaa ?? Au ??
 
Ujinga na upumbavu ni kuwa chawa. Ukiwa chawa itakulazimu utetee uovu wa boss anayekulisha, kazi ambayo ni ngumu na fedheha sana.
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
karibuuu nagonga ugali wa asubuhi na Nyama kavu iliyopikwa kwa maziwa kabla sijaenda kuchunga ng'ombe. halafu hao unaowatetea wanaofanya juhudi na mikakati wao wanakula nini?
aisee ujingaa ni mzigo.
 
Kina his initials zaidi ni jinsi ambavyo nawe umeathiriwa na ulaji Wa ugali.Hayo ya kupambana na ujinga kumefanyika tangia tupate UHURU hadi leo,chini ya utawala Wa wanaopenda na kufurahia ujinga Wa watu wake ili waendelee kutawala.Sina kipimo cha ujinga na werevu Wa wananchi kama ulivyofanya mtoa mada ila ninapata shida sana kufahamu ujinga Wa wasomi unawezaje kuondolewa?
Ujinga ni tabia na kichaka cha watu wavivu kufikiri na waoga Wa kuthubutu.Ndiyo maana hata suala la Katiba Mpya linavyobishaniwa.
Kwa mujibu wa mawazo ya mtoa mada ni kwamba huu ujinga uliopo unatokana na chakula cha wanga specifically UGALI !! Na nafikiri huu Ugali unaleta matatizo mpaka kwa wasomi wetu , ndio maana utaona wengine wanakuwa wabadhirifu wa Mali za Umma bila kujua kwamba anaiumiza Nchi yake ambayo vizazi vyake vyote vitaishi humo !!!
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Wewe ndo Mjinga no Moja, tena wa Kwanza.

Utalii sio necessity, kwamba lazima watu watalii, Ila Chakula ni necessity hadi Somali wanahitaji Chakula ila Somalia hawahitaji kutalii.

Hizi nguvu zingeelekezwa kuzalisha Chakula kwa wingi mno tungeingiza pesa nyingi sana kuliko za Utalii. Wakayo wa Covid, Watu hawakutalii lakini walikula.

So weee ni Mjinga mkubwa sana
 
Mtoa mada wewe na ccm ndo wajinga kwa sababu unazozitoa zimeletwa na ccm hii hii. Na unafanya makusudi ili iendlee kutawala. Ccm ndo Ina uwezo wa kuondoa huo ujinga unaouongelea. Lkn ndo inayoundeleza.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja. Napinga kabisa watu wenye mawazo ya kijinga kuwa Serikali ikope pesa ili kufidia bei ya Mafuta. Ukiangalia Trend ya bei ya Mafuta Duniani yataendelea kupanda kwa kipindi cha miezi tisa ijayo. Hivyo ushauri kuwa Serikali ikope bilioni 900 kufidia bei ya mafuta ni suluhisho la miezi mitâtu tu hali itarudi kulekule.

Kwa msingi huo njia bora ni kondoa tozo na kujifunga mkanda kwa kusimamisha walau kwa miaka miwili miradi ya REA , maji nk ambayo ilitegemea tozo. Aidha, matumizi yasio ya msingi yasimame ili vipesa kidogo vitakavyookolewa viende kwenye REA, MAJI NA TARURA kutokana na kuondolewa tozo.
Swali. Je serikali hii ya ccm Ina uwezo wa kufanya hayo unayoyasema? Na pale Kuna mtu na uchungu na kuumia kwa wananchi. Juzi tu nape alikua anatumia chopa. Je hayo ya kupunguza matumiz inawezekana

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kutojua kuandika vizuri ni dalili kamili ya ujinga Kama nilivyoona kwenye bandiko lako hili,
 
Lishe bora inatakiwa kuanzia utotoni, ubongo wa mtoto huwa unakuwa na kuwekewa msingi katika kipindi cha miaka mitano ya mwanzo, ukiharibu hapo huko mbeleni hata ukila balance diet haina maana sana.
Sasa wale waliokulia vijijini na hawakuwa na muda na haya Mambo still uwezo wa kuchakata taarifa Ni mkubwa unawaweka wapi.
Dunia Haina mjinga ila speed/ uwezo wa kuelewa huwa tunazidiana.
 
Ugali mazee mnausingizia tu

Huko west na Israeli na uarabuni tuseme pote tu wanakula ngano, sasa ngano na ugali si yaleyale tu.

Tena ungejua jinsi gluten inavyosemwa [ipo kwenye ngano] unaweza hata kusema ugali ni mzuri zaidi.

Ukisingizia maprotini sasa bado huchomoki tuna maharage, samaki, maziwa mbuzi n'gombe dagaa! Tena heeeh ugali na dagaa mazee acha tu.!

Ujinga wetu unaanzia kwenye kusingizia vitu vya nje yetu kama chanzo cha maamuzi yetu hayo ya kijinga, chochote utachoamua kusingizia iwe shetani, ugali, ccm etc kinakomaza ule ujinga halisi. Tabia za ubinafsi na uongo tusipozidhibiti zitaendelea kutugharimu.

Kile unachokitukuza huwa kina mtindo wa kutamalaki. Hivi ni lini tutakubali kwamba ni maamuzi yetu ndiyo yanapelekea hizi fujo? Bado natafuta jibu la kuongeza uwajibikaji, nikilipata ntawaambiaga. Ila kindoto ndoto kama tukianza kutukuza vitu vya maana na kuvipa airtime zaidi, nadhani tutatoboa. Tuige japan, urusi etc.
 
Back
Top Bottom