Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

Ww ndio mjinga na mpumbavu.Kama ungekuwa sio mjinga ,ungemwa

Ww ndio mjinga na mpumbavu.Kama ungekuwa mwerevu,ungeishauri serikali ianzishe mchakato wa katiba mpya.Lakin kwa kuwa ww ni mjinga na mpumbavu,na unapewa kidogo huko kwenye Royal basi umetuona sisi ni wajinga.Kumbe ww ndio mjinga na mpumbavu.
katiba mpya itapunguza mfumuko wa bei!!!!!!!!
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Rais hawezi kuchangiwa na wadau halafu akawa na 'guts' za kuwadhibiti katika shughuli zao zozote iwe biashara kwenye utalii, biashara za bidhaa nk. Haikubaliki hata dakika moja kwa rais ambaye ni mali ya Watanzania na sio watu binafsi wenye ajenda zao binafsi halafu watanzania waache kulalamika kisa na wewe ni mnufaika.

Hao wadau watajwe kwa majina ili tujue uzalendo wao na kuwafuatilia zaidi maana Watanzania ndio watakaotoa ruksa kwa hiari yao sio kulazimishwa kwa mihemko ya mtu mmoja anayetaka kujijengea sifa binafsi isiyokuwa na tija.

Watalii wanakuja kutoka na taratibu za nchi zao kuruhusu kutoka baada ya wimbi la ugonjwa wa UVIKO-19. Nyalandu alishawahi kutangaza utalii kwa jinsi hiyo hiyo na hata alirekodi na kwaya moja nyimbo ambazo zilienda hadi za mbali zikionesha vivutio vingi vya utalii leo hii mnataka kuwadanganya Watanzania kwamba ninyi ndio mmebuni wakati hata hati miliki ya filamu yenyewe sio ya kwenu!!!
 
Naona umeamua kuwaangushia watz karibia mil.60 jumba bovu kwa kuwaita wajinga....ety kwa sababu wanakula ugali.
Ujinga uko huko juu maamuzi yanakotokea....

Kinachosababisha uwaite watanzania wajinga ni uvumilivu wao.....
Kumbuka ujinga uko huko juu ambako hamjui Sera na siasa za kimataifa zinavyokwenda mpaka pale tatizo linapotokea ndipo mnahaha kuja na matamko.

Ujinga ni pale utakapo sema Tanzania hatuchimbi mafuta na tuna gesi....

Ujinga ni pale unapowaambia watanzania kwamba bei imepanda kwenye soko LA dunia hata wakati hata wewe mwenyewe hujui hilo soko LA dunia lilipo.

Ujinga ni kudharau chakula chetu huku ukijua wote wana uwezo wa kununua pizza na Burger.

Ujinga ni kuitegemea movie kuwa italeta watalii na watalii tangiapo walikuwa wanakuja tatizo likaletwa na korona.

Wote tuna nia njema ya kuiona Tanzania inayopendeza isiyo na ubaguzi na dharau.

Mleta mada wewe ni mjinga.
 
Umasikini ndio unazaa ujinga. Ccm inawafanya watz wawe masikini kwa kuwatoza kodi kubwa Ili wasiinuke kiuchumi wazidi kuwa masikini, case study ushuru dhalimu wa uagizaji magari na bidhaa zalishi toka nje, utitiri wa kodi kwenye mafuta wizara 21 zote zinategemea kuchukua pesa ya Mtanzania masikini kupitia KILA lita ya mafuta.
Kwan kodi pekee ndo chanzo cha mapato ya kuendesha nchi, mbona mkoloni hakuendesha nchi kwa kodi na mambo yalienda na maendeleo makubwa yanaonekana.
 
Rais hawezi kuchangiwa na wadau halafu akawa na 'guts' za kuwadhibiti katika shughuli zao zozote iwe biashara kwenye utalii, biashara za bidhaa nk. Haikubaliki hata dakika moja kwa rais ambaye ni mali ya Watanzania na sio watu binafsi wenye ajenda zao binafsi halafu watanzania waache kulalamika kisa na wewe ni mnufaika.

Hao wadau watajwe kwa majina ili tujue uzalendo wao na kuwafuatilia zaidi maana Watanzania ndio watakaotoa ruksa kwa hiari yao sio kulazimishwa kwa mihemko ya mtu mmoja anayetaka kujijengea sifa binafsi isiyokuwa na tija.

Watalii wanakuja kutoka na taratibu za nchi zao kuruhusu kutoka baada ya wimbi la ugonjwa wa UVIKO-19. Nyalandu alishawahi kutangaza utalii kwa jinsi hiyo hiyo na hata alirekodi na kwaya moja nyimbo ambazo zilienda hadi za mbali zikionesha vivutio vingi vya utalii leo hii mnataka kuwadanganya Watanzania kwamba ninyi ndio mmebuni wakati hata hati miliki ya filamu yenyewe sio ya kwenu!!!
True watu wamefadhili wamedhamini filamu means upo mifukoni mwao washakununua huna sauti nao tena,wametoa pesa zao ni lazima zirudi tena kwa faida,zitarudije sasa bila kuwaumiza watz.Kesho utaletewa vimemo na hao hao waliokupandisha ndege wanashida zao huwezi kataa.
 
Tatizo kubwa sio vyakula wanga bali aina ya wanga. Sembe ni janga kubwa lakini zaidi kuna watu wanakula hiyo sembe na mchicha tu, Watu wanakunywa chai ya rangi na mihogo au vitumbua, watoto wanapewa uji mweupe wenye sukari tu n.k Kwa mtindo huu wa ulaji akili lazima zidumae.
Kuleni Dona a.k.a Donald Trump

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Umeongea vizuri kwenye swala la utalii hapo juu... Ila swala la 2 natofautiana kidogo na wewe..

Kwanza kweli vita lazima iathiri mafuta.. Kwa vyoyote mafuta yamepanda.. Ila kama serikali ili paswa itafute njia nzuri kupunguza garama za mafuta.. Mfano...

Kutokana na matatizo haya serikali ilibidi ifidie garama za mafuta...
Kwanza baadhi ya viongozi kama wabunge,wkuu wa wilaya na wakuu wa mikoa na wengine wkatwe 30%ya mishahara yao,kwa mafuta wanayotumia..

Kupunguza posho na safari zisizo na ulazima.... Then kuongeza kodi kwa vitu visivyo vya ulazima.. Kama vinywaji(pombe,juice)
 
Ww ndio mjinga na mpumbavu.Kama ungekuwa sio mjinga ,ungemwa

Ww ndio mjinga na mpumbavu.Kama ungekuwa mwerevu,ungeishauri serikali ianzishe mchakato wa katiba mpya.Lakin kwa kuwa ww ni mjinga na mpumbavu,na unapewa kidogo huko kwenye Royal basi umetuona sisi ni wajinga.Kumbe ww ndio mjinga na mpumbavu.
Mkuu huyu jamaa ni team NAPE.wazee wa kulamba miguu.
Hapo alipo ashakunja zake hela za tour na covid ndio anakuja kutuita wajinga
 
Amani iwe nanyi!

Kama kichwa cha mada kinavyosema, kwa muda mrefu sasa nimegundua kwa nini mwalimu nyerere alitamka kuwa moja wa maadui wakubwa wa Tanzania ni ujinga! Nasikitika kusema pia, kuwa hatujaweza kumuondoa huyu adui ujinga!

Mwana jf samurai katika uzi unaoelezea Mhe Rais kufanya kikao usiku kujadili bei ya mafuta ameelezea shida ya Watanzania kuwa na tatizo la kufikiri huku akitaja Lishe kama tatizo linalopelekea jambo hilo!

Ingawa naungana na samurai kwa upande fulani kwa sababu hata tafiti zilizowai kufanywa zinadai chakula kinachotokana na mahindi kinadumaza akili na kufanya mtu asifikiri vizuri! Hivyo chanzo cha ujinga wetu kinaweza kuwa kinasababishwa kwa kiasi kikubwa na ulaji wa ugali!

Mwaka 2020 Mgombea uraisi Hashimu Rungwe Spunda alikuja na hoja ya lishe kwenye kampeni yake! Ingawa wengi tilimdharau ila huyu mtu alikuwa na hoja ya maana sana!

Napenda leo nielezee kwa ufupi mifano michache tu ya kwa nini nasema ujinga ni Tatizo kubwa kwa Watanzania?

Royal Tour
Kwa miaka yote ukiondoa kipindi cha covid , sekta ya Utalii ndo imekuwa ikichangia kwa sehemu kubwa zaidi kwenye pato la taifa. Hii inamaanisha mapato mengi ya serikali yanachangiwa kwa sehemu kubwa zaidi na sekta ya utalii!

Kutokana na kutoelewa hii dhana kwa Watanzania wengi, hawajui kuwa fedha zinazolipa mikopo tunayokopa, zinazolipa mishahara ya watumishi wetu , zinazojenga barabara, zinazonunua madawa hospitalini, zinazojenga miradi ya maji kwa miaka mingi na karibu yote fedha hizi kwa sehemu kubwa zinatokana na mapato yanayotokana na utalii.

Hivyo ukiona Rais anafanya jitihada kubwa kuinyanyua sekta hiyo! Tena kwa ubunifu wa kutumia fedha za wadau na sio za serikali, alafu kuna watu wanakebehi, basi ujue shida sio Rais bali shida ni upeo wa watu husika au kwa lugha rahisi ni ujinga wa watu husika.

Bei ya Mafuta
Hapa ndo utafurahi zaidi! Watanzania wengi wamejikuta kwenye mkumbo wa kushabikia vita kati ya Russia na Ukraine. wengi hata ukiwasoma humu kama yeriko Nyerere wameandika hadi mada humu kuunga mkono Russia kuvamia Ukraine. Ukifuatilia mfano mada za humu JF tu kipindi vita vinaanza kwa ujinga tu wengi walianza kuwalaaani West kana kwamba West ndo alianza vita dhidi ya Ukraine.

Kwa ujinga tu kwa sababu wengi hawajui, kila vita kubwa iliyowai piganwa duniani imewahi kuleta economic depression. Economic depression ina njia nyingi ikiwemo kupandisha bei ya bidhaa na hata kuleta uhaba wa bidhaa!

Urusi ndo mzalishaji wa pili wa mafuta na gesi ulimwenguni. Vita yake na Ukraine imekwenda kusababisha vikwazo kwake kwenye kuuza mafuta hasa ulaya. Hilo limesababisha demand kubwa ya gesi na mafuta Ulaya na duniani kwa ujumla hivyo bei kupanda.

Pamoja na Serikali yetu kuweka kodi kwenye mafuta ambayo ndo imekuwa ikishusha gharama ya umeme vijijini lakini kodi iyo imekuwa ikipelekwa kwenye miradi mingine ikiwemo barabaraza vijijini na kuunganisha umeme vijijni. Kuondoa kodi ghafla kwenye hili eneo inamaanisha moja kwa moja hii miradi inaenda kuathirika pakubwa na ndo mana serikali inakuwa makini sana kufanya maamuzi haya magumu. ila kwa ujinga wa Watanzania wengi hili nalo linaenda kwa lawama tu!

Napenda kuihasa serikali yangu, kufanyia kazi haswa tatizo la ujinga kwa kuanza kuhamasisha lishe mbadala kwa ugali! Nchi hii ujinga ni tatizo kubwa sana zaidi ya tunavyodhani!
Ukisoma maoni mengi ya whatsapp unagundua madhara ya ujinga kwamba yamejikita katika jamii yetu kwa kina.

Umejitahidi kufafanua hoja yako lakini ni tatizo linaloendelea kutusumbua. Tunapenda sana habari nyepesi za kina Wema na Diamond pamoja na kina Mwijaku, sababu ni ujinga huo huo.

Hatuna tamaduni za kusoma magazeti ya kiuchumi yenye kupanua uelewa wetu, tumejikita katika kuendekeza masikhara wakati zinapoletwa hoja za maana.

Tunajadili nani kalipia gharama za Greenburg kuja na kuandaa hiyo video tukisahau fursa nyingi sana zinazotangazwa na hiyo hiyo Royal Tour,, ni ujinga tu na sio sababu nyingine inayoyakwaza maendeleo yetu.
 
Sasa royal tour itakuza utalii kivipi wakati mafuta yamepanda bei na wazungu wameteteleka kiuchumi kutokana na vita? Watalii hao hao ndo wanapigana sa sijui royal tour tunamtangazia nani aje? 😂
Royal Tour ni tangazo la biashara, na siku zote hufanyika muda wote. Vita ina mwisho wake, na tangazo linakuwepo mtandaoni likizoeleka machoni mwa watu.
 
Ukisoma maoni mengi ya whatsapp unagundua madhara ya ujinga kwamba yamejikita katika jamii yetu kwa kina.

Umejitahidi kufafanua hoja yako lakini ni tatizo linaloendelea kutusumbua. Tunapenda sana habari nyepesi za kina Wema na Diamond pamoja na kina Mwijaku, sababu ni ujinga huo huo.

Hatuna tamaduni za kusoma magazeti ya kiuchumi yenye kupanua uelewa wetu, tumejikita katika kuendekeza masikhara wakati zinapoletwa hoja za maana.

Tunajadili nani kalipia gharama za Greenburg kuja na kuandaa hiyo video tukisahau fursa nyingi sana zinazotangazwa na hiyo hiyo Royal Tour,, ni ujinga tu na sio sababu nyingine inayoyakwaza maendeleo yetu.
Umesema kweli kabisa! Ujinga unawafanya watu kutofuatilia habari za msingi na kuishia kufuatilia mambo ya ajabu. Hatimaye tunapata jamiiyq ajabu sana inayoendesha mijadala ya ajabu kabisa
 
Umesema kweli kabisa! Ujinga unawafanya watu kutofuatilia habari za msingi na kuishia kufuatilia mambo ya ajabu. Hatimaye tunapata jamiiyq ajabu sana inayoendesha mijadala ya ajabu kabisa
Samia aende mpaka USA na kufanya makubaliano ya kuitangaza Tanzania, hawezi kuwa mjinga kwa namna yoyote ile. Halafu hili ni wazo lililozaliwa huko huko Nje walipoona rais ni mwanamke wakaona ni wakati wa kutangaza nchi yake, ni aina fulani ya favor za kisiasa.

Nongwa zetu nyingi za mitandaoni ni kielelezo cha ujinga uliokomaa vichwani mwetu.
 
The most dangerous thing is an ignorant person in power.
 
Wali una kiasi kidogo cha wanga kuliko ugali, wachina chakula chao kikuu ni wali ila kiwango cha kiribatumbo ni kidogo sana.
Hapana, wali ndo una kiasi kingi cha wanga kuliko ugali.

Narudia ukilinganisha wali na ugali, wali ndio una kiwango kikubwa zaidi cha wanga.

Ugali unadumu zaidi mwilini kwa sababu tu mmen'genyo wake mwilini upo polepole una ustaarabu ukilinganisha na wali vuu vuuuu chap umeisha mwilini.
 
Acha kutukana watanzania bhana wangekuwa wajinga wasingekuwa na nchi tulivu kama ilivyo na inayokufanya wewe uandike haya kwa amani. Wewe ongelea sheria, sera, mikakati inayoongoza nchi ndiyo kuna shida, labda ungeshauri, kufanyiwa marekebisho.

Hivi wewe hata ukiwa na akili kama Mandela kwa sheria moja tu ya jeshi la polisi iliyorithiwa kutoka wakoloni unaweza kulaumu watanzania. Please leave our space for free breathing.
mtoa uzi pia naye ni mjinga hata ukiutafakari uzi wake pia ni wa kijinga sababu haujatoa suluhisho la kiuchumi wa namna ya kujinasua hapo tulipo bali anaishauri serikali iwe na mbadala wa ugali.ukiangalia mtoa uzi pia kwa kiasi kikubwa amelelewa mazingira ya kula ugali na pia watz wengi tumeishi kutokana na ugali na akili zao ziko vzr tu.wasomi wengi wametokana na familia duni ambao chakula chao mostly ni ugali sasa namshanga sana mtoa uzi kuongea ujinga huo.
 
Ukisoma maoni mengi ya whatsapp unagundua madhara ya ujinga kwamba yamejikita katika jamii yetu kwa kina.

Umejitahidi kufafanua hoja yako lakini ni tatizo linaloendelea kutusumbua. Tunapenda sana habari nyepesi za kina Wema na Diamond pamoja na kina Mwijaku, sababu ni ujinga huo huo.

Hatuna tamaduni za kusoma magazeti ya kiuchumi yenye kupanua uelewa wetu, tumejikita katika kuendekeza masikhara wakati zinapoletwa hoja za maana.

Tunajadili nani kalipia gharama za Greenburg kuja na kuandaa hiyo video tukisahau fursa nyingi sana zinazotangazwa na hiyo hiyo Royal Tour,, ni ujinga tu na sio sababu nyingine inayoyakwaza maendeleo yetu.
Habari za burudani mkuu zipo kote hata huko kwa wenye akili na wanazifuatilia kweli kweli.
 
Back
Top Bottom