Hitimisho langu: Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania

wewe endelea kuramba asali na kina mzee makamba tuache na ugali wetu.
 
Tumeomba Kodi zipunguzwe ili hiki kipindi kigumu kipite kwanza.

Halafu ukija kuzalisha mazao yako ukose pakuuza maana tarura watakuwa hawajamaliza hizo barabara kijijini kwa sababu kodi zimepunguzwa
 
Halafu ukija kuzalisha mazao yako ukose pakuuza maana tarura watakuwa hawajamaliza hizo barabara kijijini kwa sababu kodi zimepunguzwa
Hujanielewa nimesema kipindi cha dharura.
 
Nakubaliana na wewe kwa upande fulani! Ujamaa nao umechangia sana udumavu wa akili za Watanzania
 
Ndugu usishangae Sana ,kama jamii kubwa ya watu wanaamini ushirikina then unadhani kuna mtu wa kutumia akili hapo?

Takwimu hazidanganyi ,soma hii hapa 👇





 
Umeandika utoporo mtupu.
We naye ni sehemu ya hayo majinga unayoyasema.

Mfano, hayo mafuta Zambia ni bei ya chini kuliko Tanganyika; Zanzibar ni bei ya chini kuliko Tanganyika. Nchi zenye bei ndogo ya mafuta ziko mbinguni ambako hakuna vita ya Ukrain na Urusi?????

Royotua imetumia bilioni 7, kipindi hiki ni cha kutumia bilioni 7 kwa royotua???


Jinger kabisa wewe
 
Tupe takwimu za bei ya mafuta Zambia

Kwani kuna shida gani Royal Tour ikitumia bil 7 pesa ambazo hazijatoka mfuko wa hazina?
 
Mkuu
Sisi sio wajinga
Tunahoji masuala mazito Sana!
Lakini majibu tunayopewa ni ya hovyo na mepesi
Royal tour imekaa kisanii sana
Tanzania ina vivutio vingi vya kitalii halafu tuna wasanii pia kwanini na wao wasishirikishwe kwenye hiyo tour na iwe endelevu!!?
Mikataba ya uwekezaji ya madini unajua tunapata sh ngapi na kwanini!!?
Kuna vitu vinafichwa Ili kubariki upigaji fulani!!!
 
Hahaha..mkuu wamasai wanafuata mila zao kikweli kweli hadi leo.
 
Wengine tunajua kuwa wanga husababisha maradhi mengi na kibaya vyakula vya wanga ndio vilivyo tawala si Tanzania au Afrika tu bali duniani, wazungu wenyewe washaandika sana vitabu kuelezea madhara ya wanga kwa afya. Sasa ajabu iwe kwamba wanga huo ndio usababishe kukosa akili kwa waafrika tu ila wazungu wale wanga ila wawe na akili?
 
Tatizo la nchi hii wala sio ugali unausingizia tu ugali..tatizo la nchi hii ni ccm na viongozi wake ambao wameshapoteza misingi ya uongozi wa wanancho na kugeukia matumbo na familia zao.

#MaendeleoHayanaChama
Labda jamaa atuambiwe hao viongozi wake wanakula nini?
 
Kwa sababu yeye leo chawa wa Samia ndio anaona watanzania wajinga ila huko nyuma hakuona ujinga wa watanzania, yani sasa hivi hawataki kuona watu wakitoa maoni yasiyo mfurahisha Samia na ndio kuna chawa mwengine kafikia kusema hii mitandao ipigwe ban.
 
Wali una kiasi kidogo cha wanga kuliko ugali, wachina chakula chao kikuu ni wali ila kiwango cha kiribatumbo ni kidogo sana.
Ukizungumzia afya hata wali sio sahihi kwa afya.
 
Ndugu usishangae Sana ,kama jamii kubwa ya watu wanaamini ushirikina then unadhani kuna mtu wa kutumia akili hapo?

Takwimu hazidanganyi ,soma hii hapa 👇

View attachment 2218669

View attachment 2218670

View attachment 2218671
Wahindi wanaamini ushirikina tena kwenye biashara na bado wanafanya vizuri kwenye biashara huku kuamini ushirikina hata sio sababu kwa sababu hakuna ambaye hataki kufanya kazi kisa anaamini ushirikina. Hao vipngozi wako huko karibu wote wanaamini ushirikina ila wewe una waamini kuwa wataleta maendeleo.
 
Wali una kiasi kidogo cha wanga kuliko ugali, wachina chakula chao kikuu ni wali ila kiwango cha kiribatumbo ni kidogo sana.
Kuna kitu kinaitwa Glycemic index unakijua ni nini tunapoongelea haya masuala ya afya?
 
Shangaa na wewe Tz mbongo !! Watu wamekalia uchawa tu ! Hawataki kuona wengine wanakosoa !! Nilimsikia mtaalamu wa lishe akisema wanga ndio chanzo kikuu cha nishati mwilini lakini mtoa mada anasema ndio chanzo cha ujinga Africa !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…