Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Hii ndo ilikuwa stairi ya kupata pesa Kwa Magufuli akiwatumia vijana wake hawa kina Sabaya na Makonda.1. Jamaa walikuwa counter wanachota pesa kutoka kwa Muhindi. Ila wameshtuka kuwa kuna camera imewanasa. Wakaamua kuipandisha juu. Ila kwa ukilaza wake sura yake imeonekana vizuri sana wakati anapandisha kamera kwenye direction ya juu...
Duh
Ova
Ndo Mana roho yake ilikuwa ngumu full kukomoana tu, Yani kutesa wengine au kupoteza ni furaha, dah Bora ametangulia bila kuleta madhara kwa taifa zimaMburundi yule kama fedhuli mwenzake Dr. Mpango
Ndo Mana roho yake ilikuwa ngumu full kukomoana tu, Yani kutesa wengine au kupoteza ni furaha, dah Bora ametangulia bila kuleta madhara kwa taifa zima
Ole !
Aisee..ila hiyu kaka anajisikiaje? Inatia hasira mno aisee khaaWangari Maathai umemuona jambazi la kimorani?
We si ndo ulikuwa unakwenda nae kufanya huo ufedhuli kwa wafanyabiashara?
Aisee..ila hiyu kaka anajisikiaje? Inatia hasira mno aisee khaa
Cc:,Mama SamiaAlafu wafanyabiashara wakilalamika Burundi, Chato na Sukuma gang wanaibuka na kudai kuwa walikuwa wapigaji. Hili kundi lote linatakiwa kuondolewa kabisa kwenye system Kwa gharama yeyote ile.
Dah, nimemuona kabisa sura yake Sababya hadi mwili imeishiwa nguvu.1. Jamaa walikuwa counter wanachota pesa kutoka kwa Muhindi. Ila wameshtuka kuwa kuna camera imewanasa. Wakaamua kuipandisha juu. Ila kwa ukilaza wake sura yake imeonekana vizuri sana wakati anapandisha kamera kwenye direction ya juu...
Wewe mtani wangu dear😀Lord denning umeandika tu kujifurahisha au umeandika ukitaka nicomment?
Kama unataka nikujibu unahitaji jibu gani???
Huyo uum.bwah achafuke tu.Vyombo vya Dola vinajulikana vilipo ni vyema kupeleka huko tuhuma zako huko. Huku ni kama unamchafua. Tuchape kazi majungu hayalipi.
Huyo Mzee hakuwa mbongo,si bora angepumzika Ila huyu kafa huku akiwa bado anatamani madaraka.Bora tu alipumzika huyu mzee alikuwa na roho ngumu ambayo watanzania wengi hatuna sijui ilikuwa roho gani. Bora kapumzika
Kwetu Hakuna mafedhuli wa namna hii Aisee! Huu ni ushetani uliotukukaKila mahala kuna mafedhuli..... hebu chunguza hata kwenye ukoo wako kama wanakosekana?
Kuna watu walijua kucheza na akili za mtu
Ila kwa huyu ole sishangai maana kitambo
Kbla hajawa fulani,nishaona mikoko yake
Mitaa ya chuga
Ova
St jude vipi imefunguliwa?Mwendazake alikuwa anapenda watu waovu ka huyo sabaya na hivi huko ndio wapinzani waliko Basi roho yake ilikuwa kwatu. Duh ila Tanzania ilipatwa kwa Aina ya uongozi wa awamu ya tano, I pray hatutakuja kupata uongozi wa kiovu ka huu