MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Kwa kweli bora Meko amefia mbali.Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?
Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.
Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.
Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.
View attachment 1746084
View attachment 1746085
Kwa nn hiyo video ije muda huu,kama sio ufitinishi?Itafute ile ya kwanza UTAMUONA.
#YNWA
Hahahahaa...narudia jifunze kuandika vizuri sio kuja kusifia miccm yako hapa .mzee wahead wwJinga sana wee ,kujua r na l ndio unajiona smart ,nina mashaka hata kama shule yenyewe umeenda .
Sio kuondolewa tu bali na sheria ichukue mkondo wake kwa wale aliowapora mali zao, aliowaua, na aliowatesa.Dc yuko kwenye orodha ya watakao ondolewa kibaruani.
Atupwe jela kbsSio kuondolewa tu bali na sheria ichukue mkondo wake kwa wale aliowapora mali zao, aliowaua, na aliowatesa.
Tofauti yake na ujambazi wa kawaida,ni kwamba ujambazi huu unafanywa na mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya.ambaye ndiye anayetakiwa apelekewe malalamikoHii ni video fupi ambayo leo na jana imesambaa sana mitandaoni hasa twitter ikionyesha mkuu wa wilaya ya Hai ndugu Sabaya akikusanya kodi kwa mabavu yenye kiwango cha vita!
View attachment 1746415
Alikuwa anajifanya mungu mtu huyo mpu.....u...ziHusda mbaya sana....mnapochafua watu wanaowazibia riziki mjue mmatengenezea mazingira mabaya vizazi vyenu huko mbeleni.
Unaweza kukua mwisho wa siku mlalamikaji ndiye mkosaji...Atupwe jela kbs
Magaidi kama haya yanapataje uongozi jamanii...!?
Mbona unateseka hivyo?Hahahahaa...narudia jifunze kuandika vizuri sio kuja kusifia miccm yako hapa .mzee wahead ww
Niteseke mie ushindwe kuteseka wewe?Mbona unateseka hivyo?
Ngumu sanaUnaweza kukua mwisho wa siku mlalamikaji ndiye mkosaji...