Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Kwa kweli bora Meko amefia mbali.
 
Huu upuuzi wa kurekodi video inayoplay kwa simu acheni! Si urushe video yenyewe kutoka kwenye NVR au DVR!

Wabongo hatuwezi kabisa kujihangaisha.
 
Sura ya sabaya live bila chenga, kasimama mikono mfukoni alafu jamaa mmoja akatoka kushoto kuja kumnong'oneza jambo.
 
Hii ni video fupi ambayo leo na jana imesambaa sana mitandaoni hasa twitter ikionyesha mkuu wa wilaya ya Hai ndugu Sabaya akikusanya kodi kwa mabavu yenye kiwango cha vita!
View attachment 1746415
Tofauti yake na ujambazi wa kawaida,ni kwamba ujambazi huu unafanywa na mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya.ambaye ndiye anayetakiwa apelekewe malalamiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…