dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Na inawezekana alilitunga yeye! Ndio aina ya akili zenyewe hizo Mkuu kwenye uDC; uDAS, uDED, ndio wenye maamuzi hao![emoji16][emoji16][emoji16]mimi pia nimeshangaa sana! Ndo maana hata swali linaendana na msimamizi.
Pengine hata wasailiwa waliamua kujibu ovyo makusudi kwa kudharau swali na muuliza swali[emoji16]