Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mungu ni muweza ya yote anaweza kuamua kufa na kufufuka yeye Ndo aliumba kifo pia. Pia Mungu hakuna kinachomshinda hata kujibadilisha atakavyo bila kupangiwa.Hii sio topic iliyoko mezani. Ukiulizwa Mungu anakufaje na kufufuka utakua mi mjadala mwengine usioisha. Jikite kwenye mada husika
Hata Quran imekopa maneno kibao kutoka lugha zingine ...Mtume alikuwa binadamu, alichangamana na watu wa mataifa mengine, hivyo alikopa misamiati Yao na mingine imeingia kwenye Quran.Kiarabu kwa kukopa maneno hasa ya Inglishi, hakijawa haramu kweli? Hivi Qur'an inasemaje hapo?
Mleta mada amezungumzia Quran na lugha ya kiarabu, wewe unatuletea habari za Biblia.Modern Standard Arabic (MSA) is a modernized form of Classical Arabic, the language of prayer and recitation throughout the Islamic world. Standard Arabic is the language of literature and education in most Arabic countries. Educated people throughout North Africa and the Arabian Peninsula have good to excellent command of Standard Arabic besides their native Arabic dialect. It is estimated that some 165,000,000 people throughout the Islamic world have some knowledge of Standard Arabic. Standard Arabic is not acquired as a mother tongue, but rather it is learned as a second language at school and through exposure to formal broadcast programs (such as the daily news), religious practice, and print media. The media in which Standard Arabic is not as frequently used as the spoken Arabic dialects are in song, film, and the theater.
Western Arabic encompasses the Arabic spoken colloquially in the region of northern Africa—often referred to as the Maghrib—from Morocco to western Libya and in adjacent African countries to the immediate south. In the countries of the Maghrib, many speakers of Arabic have been schooled in French and are more likely to use French rather than Standard Arabic for reading and for written communication.
Huh? Sasa itakuwaje because unaambiwa hiko msahafu ameshushiwa mtume direct kutoka peponi ☺☺☺Hata Quran imekopa maneno kibao kutoka lugha zingine ...Mtume alikuwa binadamu, alichangamana na watu wa mataifa mengine, hivyo alikopa misamiati Yao na mingine imeingia kwenye Quran.
Kuna maeno kwenye Quran mpaka Leo watu hawajui maana yake, sijui mtume aliyakopea lugha ipi
Hilo ndo mimi huwa nazongatia zaidiNadhani Kuna sehem wafrika mind zetu zinatatizo tupo ongelea kuhusu Dini.
My take: Tuishi kwa kutenda wema.
Lugha ina siri nyingi, ni Tanzania tu ambapo magazeti hayatumii KiSwahili sanifu.
Gazeti la Taifa Leo la Kenya linaweza kutumiwa na mgeni anayejifunza lugha ya kiSwahili lakini magazeti pendwa ya Tanzania kiswahili chake ni cha "mtaa fulani mdogo'.
Hiyo ina maanisha kuwa kuna Kiarabu na Kikuruani.So hiyo ina maana gani mkuu?
Ndio mtu ashinswe kusoma?In recent years, the term Modern Standared Arabic (MSA) has come about. MSA is almost identical to the classical, formal Arabic of the Qur’an, with the exception of the addition of modern words and some differences in grammar constructions. MSA is the most common form of Arabic and is the variety taught in schools and colleges and is most commonly used in the workplace, in government and in the media.
Over the centuries of its existence, the Arabic language has adopted words from other languages including Hebrew, Aramaic, Persian, Greek, English and French. It has also influenced other languages as well including Turkish, Bengali, Hindi, Indonesian and Tagalog.
Maana yake nini hapa, kwamba kunyumechake ni kwamba wapo wanaojua kusoma kiswahili lakini hawajui kuongea?
Kiarabu cha Qur'an ni Standard Arabic, ni tofauti na kiarabu cha kuongea.Ndio maana hata muarabu,aliyezaliwa arabuni ni mpaka afundishwe Qur'an,na anaweza kufundishwa na mtu ambaye,hajazaliwa nchi za kiarabu,na hana asili ya kiarabu,iwe tu huyo mtu,amejifunza Qur'an na kuhitimu mafunzo yake.
Yaani inamezwa kama ilivyoQur'an haikaririwi.
Inahifadhiwa 🙂
Oooh. Wenzio hata kusoma hiyo Quran hawajui Ila wamekariri tu. Na Wala hawajui maana ya wanachosema.Naomba kueleweshwa, binafsi huwa naona Quran ni maandishi ya kiarabu.
Sasa kuna maustadhi kama wanne hivi kwa nyakati tofauti nimewahi kuwapa gazeti lenye maandishi ya Kiarabu wanisomee na kunitafsiria ila cha ajabu wameshindwa.
Je, kuna tofauti ya lugha iliyotumika kuandika Quran na lugha ya Kiarabu cha kawaida?
Hapo pagumu ebu fafanua. Yaani mswahili wa bongo aneyejua kusoma na kuandika ashindwe kusoma biblia ya kiswahili. Au . Mwingereza anayejua kusoma na kuandika kiinglishi asijue kusoma bible iliyoandikwa kwa kiingerezana wapo hao waarabu wanaokaa uarabuni wamezariwa uarabuni wanaojua kiarabu na kukisoma kiarabu pia na hata kukiandika
lakini hawawezi kusoma QURANI
JE UNAJUA HILO