Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

Acha uzwazwa. Bila mzasi mtoto angekuwapo na hivyo alivyo? Alaaniwe anayewateiekeza wazazi akijiona kajitengeza. Hata hivyo kama mzazi alikutelekeza si vibaya kumtelekeza.
Zwazwa wewe unaekaa bila kufanya kazai kama jinga Fulani hivi ukisubiri kulelewa na watoto
 
Nyie si mnawaambiaga watoto kuwa "tafuta cha Kwako acha kutegemea urithi wa wazazi" na sisi tunawaambia na nyie wazazi wa hovyo "tafuteni vya kwenu, acheni kutegemea vya watoto"

Yaani unitelekeza alafu nikutunze, labda kama sio mimi George..
Exactly 💯
 
Acha kukwepa majukumu tunza mzazi wako kwa kadri unavyoweza. Kuna watu wanatamani awepo mtu amwite baba na asikie neno lolote toka kwake.

Hivi ulishawasikia wazazi wasiojali lolote kuhusu watoto aidha wakiwa wadogo hadi utu uzima?

Ulishasikia mzazi ambaye hana stori na mtoto zaidi ya kuomba hela na kama huna urafiki unaisha?

Kama una mzazi ambaye ni mshauri wako na anakujali kwa Hali yeyote, basi shukuru!
 
Wazazi watunzwe na kuenziwa, mzazi kakupeleka shule mpaka chuo kikuu, umehitimu bachelor,or master's um epata ajira uko Tra, nk onyesha upendo kwa wazazi wako ktk vitabu vya dini tuna amri waheshimu wazazi wako siku za kuishi zipate kuwa nyingi hapa duniani.
 
Habari za kusaidia wazazi zipo tu kwa waafrika wenye mentality za kubweteka na kupenda vitonga katika maisha.

Unakuta mzazi anazaa watoto wengi halafu hawezi kuhudumia. Halafu anategemea watoto wapambane waje kusaidia uzembe wake na umaskini wake.

Mzazi anayezaa watoto kwa lengo, waje wamsaidie ni mzazi mjinga na mzembe.
 
Wewe huoni kuwa kitendo tu cha kukukuza tangu ulipozaliwa mpaka ukawa mtu mzima wa kujitegemea ni kitu ambacho hakilipiki? I mean unajua uzito wa mama yako kukubeba miaezi 9 na kukuzaa kwa uchungu na baada ya hapo wakashiriki kukukuza na kukufunza ni jambo ambalo hata mabilioni ya shillingi hayawezi kulipa? Anyways, siwezi kujua wengine mmekulia kwenye mazingira gani, lakini kwa sisi tuliobahatika kukulia kwa wazazi wanaowajibika tena kwa jembe la mkono huwa tunaona hatuwezi kuwalipa walichotufanyia.
 
Wabongo watakwambia mzazi ni mzazi tu hata kama hajakutunza. Yani they give a pass mzazi ambaye katelekeza mtoto kuliko mtoto asiyeweza kujisaidia kwa Chochote kile. I call this BS.

Kama kakulea that's a different story.
 
Nyie si mnawaambiaga watoto kuwa "tafuta cha Kwako acha kutegemea urithi wa wazazi" na sisi tunawaambia na nyie wazazi wa hovyo "tafuteni vya kwenu, acheni kutegemea vya watoto"

Yaani unitelekeza alafu nikutunze, labda kama sio mimi George..
Hapa umechanganya mambo,unamaanishq mzazi aliyekutelekeza au ambaye hajakurithisha mbuzi
 
Sikuomba wanizae lakini
 
Je; Kwa mzazi kufanya kitendo cha ubaguzi huo katika mgao kunamwondolea yeye kuwa mzazi wako na ww kuwa mtoto wake???
Ni kweli mtu wa 2015 na mtu huyo-huyo 2024 ni watu wawili tofauti kwa maana ya Umri, Hekima, Mang'amuzi (experiance &decision making) na Uzoefu(mapito mtu aliyopitia mema na mabaya). Kwa utofauti huo basi ninaamini George wa 2024 hawezi kufanya ujinga wa Gearge wa 2015.- Vinginevyo George wa 2024 atanekana ni kituko. Ndo mana watu wakaja na msemo ule "Penye wazee haliharibiki neno". kwa nini? "Wamekula chumvi nyingi"
 
Inawezekana kweli sio mzazi wake maana kama mzazi wake kweli huwezi kuuza nyumba halafu ukagawa mgao ki makundi wengine wapate wengine wasipate
 
Zwazwa wewe unaekaa bila kufanya kazai kama jinga Fulani hivi ukisubiri kulelewa na watoto
We ni shetani uliyewanyonya wazazi wako na kujiona umejitengeneza kumbaff na ulaaniwe. Mie siyo mchovu kama unavyodhani mwanangu. Na watoto wangu, japo ni wakubwa kama wewe bado wananitegemea tu
 
We ni shetani uliyewanyonya wazazi wako na kujiona umejitengeneza kumbaff na ulaaniwe. Mie siyo mchovu kama unavyodhani mwanangu. Na watoto wangu, japo ni wakubwa kama wewe bado wananitegemea tu
Fanya kazi mjinga wewe usitegemee watoto
 
Kuna ukweli ila nikikusupport nitaonekana siwapendi wazazi acha na mimi nijidai sikubaliani na wewe.

Badilika heshimu wazazi wahudumie bange zisikudanganye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…