Yalikuwepo zama hizo yakapita, kisha yakaja na mengine nayo pia yakapita. Kwa hiyo hata haya ya sasa yatapita tuu. Tuombe kwamba yatakayokuja yawe ni yenye Kheri na Faraja kwetu.Kwani yameanza leo mkuu wangu??..
Kwa viongozi hawa hawa?? Sidhani kama kutakuja kuwa na changes zozote zile aisee..Yalikuwepo zama hizo yakapita, kisha yakaja na mengine nayo pia yakapita. Kwa hiyo hata haya ya sasa yatapita tuu. Tuombe kwamba yatakayokuja yawe ni yenye Kheri na Faraja kwetu.
Mungu? Nadhani kuna wazazi tofauti mimi mama yangu alikua hataki hata nilipiwe ada anakataa kabisa mzee akiwa anatoa. Cha ajabu sahivi ndio kila siku ananipiga vizinga vya hela. Niseme tu kuna wazazi na kuna waliotuzaa kutimiza wajibu. Maana mimi nikisikia mtu anasema "Nani kama Mama" nabaki namshangaa tu.MZAZI NI MZAZI TU NA NI MUNGU WAKO WA HAPA DUNIANI.
Ni suala la muda tu. Wasipobadilika; Watabadilishwa.Kwa viongozi hawa hawa?? Sidhani kama kutakuja kuwa na changes zozote zile aisee..
Dah! Pole kwa yaliyokukuta na yanayoendelea sasa. Hapo ndo uone maajabu ya msemo huo "Nani kama Mama"Mungu? Nadhani kuna wazazi tofauti mimi mama yangu alikua hataki hata nilipiwe ada anakataa kabisa mzee akiwa anatoa. Cha ajabu sahivi ndio kila siku ananipiga vizinga vya hela. Niseme tu kuna wazazi na kuna waliotuzaa kutimiza wajibu. Maana mimi nikisikia mtu anasema "Nani kama Mama" nabaki namshangaa tu.
Ni wazazi wapuuzi tu ndo Wana mentality ya kutegemea watoto wao ili Hali ni wazima wa afyaHuwa nashangaa unakuta mzazi anakua tegemezi Kwa kijana ambae amejitafuta Kwa jasho na damu amejipata mzazi anakua analandalanda kumnyonya huyu kijana Kwa lengo kwamba amemzaa kwani huyu mzazi yeye alizaa Ili amfanye mtoto punda yaani kiasi kwamba mtoto asipomsaidia mzazi anatangaza kutoa laana wakati na yeye alikua kijana kwahiyo anampa mzigo huyu mtoto baada ya kupambania familia yake anaanza kulea mzazi asiejielewa aisee mtu mweusi akili hana kabisa huu ni udiktekta mambo leo Kwa watoto ukweli usemwe nyie wazee msipende Ganda la ndizi
Wangepiga tu hiyo nyeto, Kwani walilazimishwa kuzaa?Kuna mabao mengine wazazi ilifaa wapige nyeto tu
Kwani kuzaliwa ni faida?Kitendo cha kusababisha uzaliwe ni mchango mkubwa sana kwako. Vinginevyo wangetoa mimba au dingi angemwaga nje usingekuwa hapa ukiropoka
Umeona sasa huo ushuhuda wa zitto junior ??Dah! Pole kwa yaliyokukuta na yanayoendelea sasa. Hapo ndo uone maajabu ya msemo huo "Nani kama Mama"
1. Mama anathubutu kukataa mwanaye aliyemzaa kwa uchungu mwingi eti asilipiwe ada i.e. asiende kupata elimu. Inatisha. Katika hali ya kawaida hakuna mama atakayefanya hivyo. Lakini Mama huyo ameweza na amefanya. i.e. "Nani kama Mama" Utabaki mdomo wazi unashangaa.
2. Mama huyo huyo hapo na. 1, bila aibu wala hofu anapiga vizinga vya hela. Hiyo ni hela ambayo kimsingi imetokana na kile alichokuwa anakatazia. Katika hali ya kawida, mtu atakuwa na kigugumizi namna ya kujipendekeza au kula matunda yatokanayo na alichokikataa awali i.e. aliyofanya zamani - ni sawa na kuvuna shamba ambalo hakulima, kuotesha na kupalilia. Hiyo ni aina fulani ya Dhuluma. "Nani kama mama" Mama huyo ameweza.
Mwisho: Msemo huo hutumika kuhamasisha jamii yenye waMama wengi ili wakubali na waweze kushiriki katika maendeleo. Vinginevyo watakushangaza kwani wanao uthubutu wa ajabu sana.
Daah, pole sana mwamba. Vp akiomba hela zako unampa??Mungu? Nadhani kuna wazazi tofauti mimi mama yangu alikua hataki hata nilipiwe ada anakataa kabisa mzee akiwa anatoa. Cha ajabu sahivi ndio kila siku ananipiga vizinga vya hela. Niseme tu kuna wazazi na kuna waliotuzaa kutimiza wajibu. Maana mimi nikisikia mtu anasema "Nani kama Mama" nabaki namshangaa tu.
Aisee ni maumivu ya Hali ya juu mkuu
Umepiga kwenye mshono wa nyuzi saba.Wazazi wa Kiafrika wengi ni mbwa koko , takataka kabisa .
Wanaubinafsi wa kiseng€ na roho mbaya mno
Upo kama mimi.Mungu? Nadhani kuna wazazi tofauti mimi mama yangu alikua hataki hata nilipiwe ada anakataa kabisa mzee akiwa anatoa. Cha ajabu sahivi ndio kila siku ananipiga vizinga vya hela. Niseme tu kuna wazazi na kuna waliotuzaa kutimiza wajibu. Maana mimi nikisikia mtu anasema "Nani kama Mama" nabaki namshangaa tu.
Kitendo cha kusababisha uzaliwe ni mchango mkubwa sana kwako. Vinginevyo wangetoa mimba au dingi angemwaga nje usingekuwa hapa ukiropoka
Yanajulikana. Mzazi ni mtu pekee anastahili msamaha kwa asilimia zote (100%) bila yeye usingekuwepo. Hesabu kama ni makosa tu, yeye pia ni binadamu, msamehe na umsaidie kwa hali na mali. Maumivu tuliumbiwa wanaume. MSAMEHE MAMA YAKO NA UMSAIDIE TU! HATA MBINGU ZINAFUNGUKA MARADUFU NA RIZQ ZINAKUNYESHEA. SOTE TUNA HISTORIA ZA MAUMIVU HUKO NYUMA ILA KAMA WANAMUME TUMEKUBALI KUCHECHEMEA NA KUSONGA MBELE.Mungu? Nadhani kuna wazazi tofauti mimi mama yangu alikua hataki hata nilipiwe ada anakataa kabisa mzee akiwa anatoa. Cha ajabu sahivi ndio kila siku ananipiga vizinga vya hela. Niseme tu kuna wazazi na kuna waliotuzaa kutimiza wajibu. Maana mimi nikisikia mtu anasema "Nani kama Mama" nabaki namshangaa tu.
Yeah. Ni kweli na inawezekana alifanya hivyo kwa kutokujua i.e. Ujinga. Usilipe ovu kwa ovu.Yanajulikana. Mzazi ni mtu pekee anastahili msamaha kwa asilimia zote (100%) bila yeye usingekuwepo. Hesabu kama ni makosa tu, yeye pia ni binadamu, msamehe na umsaidie kwa hali na mali. Maumivu tuliumbiwa wanaume. MSAMEHE MAMA YAKO NA UMSAIDIE TU! HATA MBINGU ZINAFUNGUKA MARADUFU NA RIZQ ZINAKUNYESHEA. SOTE TUNA HISTORIA ZA MAUMIVU HUKO NYUMA ILA KAMA WANAMUME TUMEKUBALI KUCHECHEMEA NA KUSONGA MBELE.
Sababu ya kutekelezwa unaijua!?Kamwe siwezi kumpa hata shilingi 100 mzazi aliyenitelekeza, achilia mbali kumjengea nyumba..