Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

Hii thread imenikumbusha lile sakata la martha mapaja nasikia jamaa ndo amegoma kabisa kutoa msaada kwa mzazi .but kwangu mm ni sawa tu nakumbuka nilifel form 4 ikabid mzazi anitafutie shule ya kurist na bado nikafel baada ya hapobakaniambia utajua hujui niliona mzee ikaabid ni resit mwenyew ndo nikatoboa kwahiyo mimi kumsaidia mzaz sio tatizo japo hata form 6 ada nilijilipia mwenyew.so sometimes inabidi tukubali ukweli wazaz wet n wazaz wetu
 
ni kwa sababu alihangaika sana kipindi upo mdogo, ulimkojolea na kumnyyea mavi sana, alipoteza fursa nyingi sana kwa ajili yako, kwa kifupi, wewe hauna akili na hauna watoto, siku ukija kupata akili au watoto utapata ufahamu. au, ni toto fulani hivi lililelewa ndani kama ndondocha huko masaki au oysterbay, haujui shida, haujui dunia, unachojua ni hicho ulichoandika tu. Mungu akusaidie.
 
Ndiyo maana namwambia maisha yako yakichanganya utakua fresh na hizi hasira ndogo ndogo zitakwisha,umasikini naujua vizuri sana maana hata mimi nimeuiishi sana,kuna kipindi nilikua siwezi hata kumuachia sh 50 konda wa daladala,leo hii naweza mlipia hata abiria mwenzangu nisiyemjua mradi amepungukiwa nauli! Hayo yote ni maisha na ipo siku yatapita na utayasahau yote unayopitia kwa sasa,just kua mvumilivu na utakula mbivu nakuambia!!
 
Atapewa na aliokuwa anawapa. FULL STOP.

Mimi pia nitawapa (jamaa, marafiki, etc) waliokuwa wananipa..

That's not my law. It's the law of nature..
 
Thanks for wishing me well..
 
Urithi wa nini mkuu?! Mtu umejaaliwa wazazi wamekulea umekuwa, sasa unaanza ngonjera, Kisa umepata ka tsh mia au mbili.

Cha msingi ni wazazi,wamekuzaa na kukulea hakuna sababu lea.
Vp kama mmoja wao alikutelekeza?? Utawalea wote??
 
Yaani wazazi wa mwenzio ni bora kuliko wako, bora mke kuliko mamako. Dah, kweli watoto wa nje ya ndoa utawajua tu.
Irresponsible mama ni takataka tu mkuu. Unaukumbuka ule wimbo wa Q chilla?? Ulinizaa wewe, ukanikataa??
 
Mungu akuzidishie umeingea Kwa uchungu sana
 
Yaani wazazi wa mwenzio ni bora kuliko wako, bora mke kuliko mamako. Dah, kweli watoto wa nje ya ndoa utawajua tu.
Wazazi wa mke ni wa mke they are none of my bussiness sio lazima nwasaidie mtasaidia kilingna na uwezo wangu samesame kwa mzazi wangu
 
Aliwahi kuwaomba wamzae??..
 
Ukinisaidia, nitakusaidia.

Haunisaidii, sitakusaidia.

FULL STOP..
 
Yeye kazi yake kukukojoa Na Kukuleta Duniani Pambana usitafute wa Kumlaumu saidia Wazazu kadri uwezavyo Nikukumbushe Mafanikio yapo kwenye nyayo ya Mzazi
Huna akili kabisa
Nyie vijana WA miaka hii ambao mnajikuta mna fikra na mawazo ya kizungu ilihali mmezaliwa na kukulia humu humu kwenye nchi maskini za Dunia ya tatu, Huwa mna matatizo sana na hamna akili hata kidogo pamoja na kwamba shule mmeenda.
Huna akili kabisa , pumbavu
 
Mazazi mengine ni mbwa tu , takataka kabisa mpaka unawish kuzaliwa upya familia nyingine yenye wazazi wenye utu na akili timamu
 
Huna akili kabisa
Huna akili kabisa , pumbavu
Sio kila kitu duniani unatakiwa kuhangaika nacho vingine unaacha vikupite unahandle kama Mtu mzima sio kila kitu lazima kureact sasa kusaidia Wazazi wako unapungukiwa nini? nikukumbushe hiyo chuki inayokuwepo kwa mzazi mmoja imetengenezwa na Mzazi Mwenza Mtoto analishwa tu
 
Pole Sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…