SIPENDI SIASA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 791
- 1,199
Akili ukiwa nazo wewe mbona inatosha sana mkuu..Nyie vijana WA miaka hii ambao mnajikuta mna fikra na mawazo ya kizungu ilihali mmezaliwa na kukulia humu humu kwenye nchi maskini za Dunia ya tatu, Huwa mna matatizo sana na hamna akili hata kidogo pamoja na kwamba shule mmeenda.