Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Sijakuelewa hebu nipe ufafanuzi maana nimelewa Kiepe na firigisi hapa 🤣🤣🤣Basi nyie wengine kwendeni zenu,,nishajipatia wa ndoa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa hebu nipe ufafanuzi maana nimelewa Kiepe na firigisi hapa 🤣🤣🤣Basi nyie wengine kwendeni zenu,,nishajipatia wa ndoa kabisa
Hakuna mwanaume angekataa...hapo ndiyo ungejua kumbe wanaume ni malaya kuliko wanawake😅😅😅Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Ila kuonja muhimuBasi nyie wengine kwendeni zenu,,nishajipatia wa ndoa kabisa
Safi tu,,utajuaje kam mboga imezid chumviIla kuonja muhimu
Just imagine mtoa mada ni kaka au boyfriend wako then anatamani kutongozwa??Ghai,,uzi una reply moja,,wacha niongeze na yangu,,niungane na Half american
Mbaga Jr njoo tuongeze comments huku
ManyanyasoKama ni bonge nachomoa mtongozo.
kwani we bonge jamani?😅Manyanyaso
🤣🤣🤣🤣 Hahahaha umewaza mbaliJust imagine mtoa mada ni kaka au boyfriend wako then anatamani kutongozwa??
Huwezi ukaanza kucheza kwa Mkapa hujapitia Karume,TP, Bandari au Kinesi 🤣🤣🤣Ila kuonja muhimu
Ndioo halafu mfupiii😂😂😂😂kwani we bonge jamani?😅
Allah haullah 🤣🤣🤣Safi tu,,utajuaje kam mboga imezid chumvi
Nafanya usanifu wa kina & epembuzi yakinifuSafi tu,,utajuaje kam mboga imezid chumvi
Swali lipi Mwanangu?Hujajibu swali langu juu apo?
Swali lipi MwananguHujajibu swali langu juu apo?
Ufupi sio Kilema na ndio maana hutumii magongo.kama una 5 feet wewe sio mfupiNdioo halafu mfupiii😂😂😂😂
ubonge ule wa kuwa kama kiazi kabisa?Ndioo halafu mfupiii😂😂😂😂
Hata upekenyuzi unaruhusiwaNafanya usanifu wa kina & epembuzi yakinifu
Tunaanza na Mungu tunamaliza na Mungu.....hamna muda kuunganisha roho za ajabuHuwezi ukaanza kucheza kwa Mkapa hujapitia Karume,TP, Bandari au Kinesi 🤣🤣🤣
C ww naona unataka kuniharibia uvulana wangu, ww kila siku unanitongoza kwa style mpya ahh mm sikutak bhana 😎Lini utaacha ujinga wew 😂
Doh Kwa hyo ni mwendo wa 'live it love it'Hata upekenyuzi unaruhusiwa