Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Mxiuuu 😂😂fala wewC ww naona unataka kuniharibia uvulana wangu, ww kila siku unanitongoza kwa style mpya ahh mm sikutak bhana 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mxiuuu 😂😂fala wewC ww naona unataka kuniharibia uvulana wangu, ww kila siku unanitongoza kwa style mpya ahh mm sikutak bhana 😎
Mimi mademu wote walionitongoza hakuna niliyemkubali hata mmoja licha ya kuwa nilikuwa single, je itakuwa nikioa?Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Tigo,,,,,, express ur selfDoh Kwa hyo ni mwendo wa 'live it love it'
wape mbinu wenzio sasa,,ulitumia technique gani kuwakataaMimi mademu wote walionitongoza hakuna niliyemkubali hata mmoja licha ya kuwa nilikuwa single, je itakuwa nikioa?
hahahahahahahah jinga kweliMm bado bikra, sitak uniharibie uvulana wangu 😎
ubaguzi tuuuKama ni bonge nachomoa mtongozo.
Si ndiooooo 😎hahahahahahahah jinga kweli
basi wanene wote wanisameheubaguzi tuuu
Niliwachana laivu siwataki, wengine nilipuuza simu zao hadi wakakata tamaa, kinachoshangaza ninaowataka nikiwatongoza ndo wananizungusha, yaani haya maisha ni ya ajabu sana.wape mbinu wenzio sasa,,ulitumia technique gani kuwakataa
Si ndiooooo 😎Mxiuuu 😂😂fala wew
Malipo ni hapa hapa aaaalaaah 🤣Niliwachana laivu siwataki, wengine nilipuuza simu zao hadi wakakata tamaa, kinachoshangaza ninaowataka nikiwatongoza ndo wananizungusha, yaani haya maisha ni ya ajabu sana.
Mwanamke mnene afu mfupi, akivaa gauni la kijani, ukimtazama akiwa mbali, anaonekana kama pilipili hoho.Ndioo halafu mfupiii😂😂😂😂
Wanaume wengi tungekuwa tunaitwa maharage ya mbeya..!Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
mmmmmhbasi wanene wote wanisamehe
nawashauri wapige tizi
Tatizo huwezi kumkubali tu mtu hata humpendi, utakuwa unamdanganya.Malipo ni hapa hapa aaaalaaah 🤣
Kwaio nawew wanasema ivo ivo ukiwatongozaTatizo huwezi kumkubali tu mtu hata humpendi, utakuwa unamdanganya.
Mwanamke ana uwezo wa kumtongoza mwanamme halafu akamuaminisha mwanamme kuwa mwanamme ndiye kamtongoza mwanamke.Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Sawa mkuu Manyanza nimekuelwaSwali lipi Mwanangu
Ufupi sio Kilema na ndio maana hutumii magongo.kama una 5 feet wewe sio mfupi
🤣🤣🤣🤣kumbe kuna ubonge wa kuwa kama kiazi🤣🤣🤣 ndo upoje huo?ubonge ule wa kuwa kama kiazi kabisa?
ule ndo hauvumiliki
Dah unatukosea sanaMwanamke mnene afu mfupi, akivaa gauni la kijani, ukimtazama akiwa mbali, anaonekana kama pilipili hoho.