Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Wanawake huwa wanatongoza Sana wanawake ila wanafanyaga indirectly.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mnaelewekaga nyie, mtu anakukataa tu bila sababu, mwingine anakusubirisha miezi eti unasubiri jibu.Kwaio nawew wanasema ivo ivo ukiwatongoza
miez yote io ina wifi ndaniKwani mnaelewekaga nyie, mtu anakukataa tu bila sababu, mwingine anakusubirisha miezi eti unasubiri jibu.
Ndo tusaidie, sijui mnawazaga nini akilini, afu miezi yote hiyo utakuta analiwa na watu wa kawaida tu, tena kiurahisi kabla hata hajatongozwa. Aliyetongoza kwa kuonyesha Nia ya malengo ya baadae ndo anazungushwa kama siyo kukataliwa kabisa.miez yote io ina wifi ndani
walete niwafanyie maombi wote hao,,sisi wenyewe hatujui tunataka nini mkuuNdo tusaidie, sijui mnawazaga nini akilini, afu miezi yote hiyo utakuta analiwa na watu wa kawaida tu, tena kiurahisi kabla hata hajatongozwa. Aliyetongoza kwa kuonyesha Nia ya malengo ya baadae ndo anazungushwa kama siyo kukataliwa kabisa.
Sawa, pokea simu.walete niwafanyie maombi wote hao,,sisi wenyewe hatujui tunataka nini mkuu
imekuja namba ngeni,,kwani ile ya voda ulibadiliSawa, pokea simu.
Natumia zote hiyo ngeni na ya voda.imekuja namba ngeni,,kwani ile ya vodulibadili
piga tena nipokeeNatumia zote hiyo ngeni na ya voda.
Ingelikuwa hivyo, mimi ningeitwa ile a.k.a 'maharage ya Mbeya'.Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Sawa, tena ngoja nipige video call kabisa nikuone.piga tena nipokee
Sometimes kutembea na kila anayekatiza mbele yako ni jau, unatakiwa uwe selective, jipe thamani mwanaume.Ingelikuwa hivyo, mimi ningeitwa ile a.k.a 'maharage ya Mbeya'.
fanya chap, kabla mb hazjaishaSawa, tena ngoja nipige video call kabisa nikuone.
Kwa kuwa jambo lenyewe ni la kufikirika nikaona nitupieko kautani kidogo, sikuwa serious na jibu'ilo.Sometimes kutembea na kila anayekatiza mbele yako ni jau, unatakiwa uwe selective, jipe thamani mwanaume.
Uko Chaka gani?Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Zikiisha nitakuunga usijali kabisa.fanya chap, kabla mb hazjaisha