Hivi ingekuwaje kama wanawake ndio wangekuwa wanatongoza wanaume?

Hivi ingekuwaje kama wanawake ndio wangekuwa wanatongoza wanaume?

miez yote io ina wifi ndani
Ndo tusaidie, sijui mnawazaga nini akilini, afu miezi yote hiyo utakuta analiwa na watu wa kawaida tu, tena kiurahisi kabla hata hajatongozwa. Aliyetongoza kwa kuonyesha Nia ya malengo ya baadae ndo anazungushwa kama siyo kukataliwa kabisa.
 
Unaemtaka hakutaki, anayekutaka humtaki, kwa lugha nyingine, mtakwa hataki, mtakwo hatakiwi.
 
Ndo tusaidie, sijui mnawazaga nini akilini, afu miezi yote hiyo utakuta analiwa na watu wa kawaida tu, tena kiurahisi kabla hata hajatongozwa. Aliyetongoza kwa kuonyesha Nia ya malengo ya baadae ndo anazungushwa kama siyo kukataliwa kabisa.
walete niwafanyie maombi wote hao,,sisi wenyewe hatujui tunataka nini mkuu
 
Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.

Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.

Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
  • Kaolewa
  • Ana mchumba
  • Ni Mchungaji
  • Ni mlemavu
  • Single mother
  • Hana kazi
  • Haijalishi ana hela au hana

Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.

Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.

Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?

Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Ingelikuwa hivyo, mimi ningeitwa ile a.k.a 'maharage ya Mbeya'.
 
Sometimes kutembea na kila anayekatiza mbele yako ni jau, unatakiwa uwe selective, jipe thamani mwanaume.
Kwa kuwa jambo lenyewe ni la kufikirika nikaona nitupieko kautani kidogo, sikuwa serious na jibu'ilo.
 
Siwezi sema kutongoza, more like teasing. Wanaotease na kukupavijaribu wapo kila sehemu. Strikers professional huwa tunatoa assists tu it doesn't matter goal lipo mbali kiasi gani as long as hajatoka nje ya field.
 
Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.

Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.

Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
  • Kaolewa
  • Ana mchumba
  • Ni Mchungaji
  • Ni mlemavu
  • Single mother
  • Hana kazi
  • Haijalishi ana hela au hana

Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.

Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.

Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?

Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?😂
Uko Chaka gani?

Mbona wao ndio watongozaji?
 
Back
Top Bottom