Una misuli gani ya kimpiga mwanaume?Mi ningekuwa nikimtongoza mtu akikataa nampiga πππ
Nicheki basi PMfanya chap, kabla mb hazjaisha
Kuna jipya hukoNicheki basi PM
Mpaka hapo ushanikosa, endelea na hao wengine. Huwa siwi listed
Kwendaaaaa nishapata mbonMpaka hapo ushanikosa, endelea na hao wengine. Huwa siwi listed
Labda Msela Roja πKwendaaaaa nishapata mbon
Huyo hapana,, sitaki hata kwa bureLabda Msela Roja π
Ms R= msela Roja msabato mdodomaHuyo hapana,, sitaki hata kwa bure
Hilo jina nimekataa hata yule nmemwambia,,kama hamuwezi nichunieni woteMs R= msela Roja msabato mdodoma
Tena ni jipya kweli kweli, linanukia upya kabisa.Kuna jipya huko
Natania banaβ¦Una misuli gani ya kimpiga mwanaume?
Ok sawa.Natania banaβ¦
Unajiongopea mkuu mimi nishatongozwa mara nne hivi katika maisha yangu yaani ile ya wazi achana zile za mwanamke kuflirtJamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?π
Kwani hadi leo hujawahi kutongozwa na mwanamke?Mbona siku hizi ndiyo mpango mzima na kuringa tunaringa kabisa.Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?π
Ingekuwa kama wanaume wanavyofanya sasaJamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI.
Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi upekwe ni Mwanaume akahitaji mwenzake so ina apply hivyohivyo hadi kwenye kuanzisha relationship.
Najua utakubaliana na mimi ndugu msomaji, ni kuwa wanawake wanatongozwa sana haijalishi;
- Kaolewa
- Ana mchumba
- Ni Mchungaji
- Ni mlemavu
- Single mother
- Hana kazi
- Haijalishi ana hela au hana
Wanaume huwa hawaangalii hwua wanarusha tu.
Mada yangu italenga sana hao walioolewa na wenye wapenzi au wachumba. Hawa wanawake kwenye hii hali huwa wanatongozwa sana ila sasa sio wote hua wanasaliti kuna baadhi wanashikilia bomba, wanakuwa watiifu, kuna baadhi wanakengeuka.
Nikajiuliza, hivi ingekua mwanamke ndiye mtongozaji na mwanaume ndiye anatongozwa wanaume wangapi wangekua hawacheat?
Yaani imagine mwanaume yupo kwa ndoa yake au ana mchumba wake anatoke mwanamke anasema mimi nimekuelewa we kaka au we mwanaume, nitakupa kila kitu! Wanaume wangapi tungetoboa hapa ukizingatia sisi hisia zetu huwa ni gusa unase?π