kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?