Hivi kibongo bongo ni sahihi mwanaume au mwanamke asiye na degree kumiliki mtu mwenye degree?

Hivi kibongo bongo ni sahihi mwanaume au mwanamke asiye na degree kumiliki mtu mwenye degree?

Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure,ampate demu mwenye bcom degree ya hapo udsm, Diamond atakua na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Sasa wewe degree imekusaidia nini kitandani? Life gives us knowledge, that school can't
 
Money over everything
Tafuta hela
Tafuta hela
Nasema tafuta hela
Degree bila hela ni Nonsense yaan wewe hata uwe na Masters alafu hunahela bado utaonekana ni fala tu na hakuna mtu utamwambia kitu atakuelewa sababu huna hela unataka nani akuskilize et kisa unadegree hata uwe na degree alafu ukamuoa mwanamke ana degree kama hauna hela bado atakuona fala tu atakuacha na degree yako na kwenda kumtafuta huyo diamond ambae hana degree lakin yuko na hela wacha ujinga kijana tambua kunamaisha baada ya kusoma hiyo degree hata kwenye vikao vya familia kama huna hela ningumu watu kukusikila pamoja na degree yako na ukitaka evidence nitakupa
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Futa upuuzi wako, hivi unaweza ukawa na degree bado ukawa mpuuzi hivi!!!!
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Mi Wangu ana Master halafu nimemwajir. Bro yeye ana Master ya darasan mi nina PhD ya mtaan.
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Kwani degree ni kitu gani kwa maisha ya leo ? Mtu ana degree ya kwenye makaratasi halafu hana kila kitu
 
Sio kupelekeshwa ame opt kutolumbana na kubishana na mtu mjinga-anaamua kutulia. Ndoa za wenza ambao wana utofauti wa kielimu zina kazi sana, nimeshuhudia nyingi sana, unakuta Mme na masters na mke ana form 4 ni shida juu ya shida uelewa unakuwa unapishana sana.
Angalau wewe una maono.
 
Nyie ndio mnasababisha wenye degree kukosa kuolewa.
Mie kwakweli nimpate anayejua angalau kuzungumza kiingereza, maana kwa ninavyopenda kuchanganya lugha, anaweza kuhisi namtukana buree! Atleast awe anajua lugha zaidi ya moja! Zaidi zaidi English! Inapendeza sana![emoji3]
Umenikumbusha rafiki yangu aliwahi niambia atoolewa na mwanaume yeyote ilimradi ajue tu kingereza.
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Mimi ni dereva wa NGO's since 1996,mwenye elimu ya kidato cha nne na NIT
wife wangu ni mhasibu wa ngazi ya CPA, tuna watoto watu na ni miaka 18 sasa sijawahi kuona tofauti

Kukaa ktk ndoa ni fani tofauti na elimu na dini, ina namna zake za kibinadamu na aina ya malezi ya mtu uliye mchukua
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Mkuu watu wenye digirii wanazidi kuwawajinga kila kukicha hasa hizi za 2020kuja mbele sababu vinatoka vi kijana haviba akili
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Yaani mkurya kwakuwa umepata degree juzi, basi ndo hatupumui, nahuku wenzako wana PhD wapo mitaani hawana ajira.

Kwani hizo degree zenu huko chuo mnafundishwa mapenzi? Diamond asiwe romantic angekuwa anamiliki mademu wakali?

Kwataarifa yako, Diamond ana ideas nyingi za pesa na ana mawazo ya kumwambia demu yoyote hata awe na PhD kuhusu mambo ya pesa. Wenye pesa wengi hawana Elimu ila wana akili, wenye madigrii wengi ndo wabovu kwenye mahusiano.

Sasa endelea kujifananisha na diamond kwaajili ya degree yako inayokusubilisha ajira, maana Elimu zetu zimebuniwa kutegemea ajira na wala siyo kujiajiri, ndomaana mpaka sasa huna hela.
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Sasa kwa i mwanamke degree yake wewe inakusaidia nini? Mwanamke unavhohitaji toka kwake mbususu. Hiyo degree ampelekee baba yake huko aliyemsomesha. Kwa mume qualification ni uno sura na chura basi
 
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?

Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?

Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure, ampate demu mwenye bcom degree ya hapo Udsm, Diamond atakuwa na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Nimesoma mawazo ya wengi nikagundua kuwa somo hili ni gumu.

Ili ulielewe Lazima utofautishe aina za ndoa.
Kuna aina kuu mbili za ndoa
1. Ndoa ambayo ni za hiari (kama za sie Waislam ambayo kila mmoja wao, mume na mke, wakati wowote anaweza dai talaka na kila mtu akachukua fito zake)
2. Ndoa za kufa na kuzikana (kama ndugu zetu wakaristo ambazo mpaka kifo kiwatenganishe)

Kwa ndoa za aina ya kwanza. Elimu au utajiri au madaraka si muhimu.

Kwa ndoa aina ya pili, Elimu, Mali na Madaraka yana umuhimu sana. Ili ndoa iwe rahisi kwa wote lazima mwanaume awe na Elimu zaidi ya Mwanamke, Mali au cheo zaidi ya mwanamke.

Hili suala huwa halionekani hasa wakati lengo kuu la wawili ni UTELEZI. Lakini kipindi ambacho utelezi si muhimu sana, hapo ndipo hili suala hujitokeza.

Katika kujenga hoja yangu nitatoa mfano mmoja
Mama Salma Kikwete kila akisimama kujitambulisha huanza 'naitwa Mama Salma, Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete...' (Hapo unajifunza nini?)

Mwanamke ni mtu wa matukio, ndo maana kama akikuzidi cheo, aidha atakushiti au atahangaika ili nawe umkaribie au umzidi kabisa ili awe proud kwa watu.

Hoja yangu inaweza isikubaliwe na mabinti ambao kwa wakati huu wanasaka waume. Maana kwa kipindi hiki jambo muhimu kwao ni kuitwa mke wa fulani ili mradi mb.oo inasimama.

Cc.
Nonsense 🚮🚮
Lenie
Lanlady
 
Nimesoma mawazo ya wengi nikagundua kuwa somo hili ni gumu.

Ili ulielewe Lazima utofautishe aina za ndoa.
Kuna aina kuu mbili za ndoa
1. Ndoa ambayo ni za hiari (kama za sie Waislam ambayo kila mmoja wao, mume na mke, wakati wowote anaweza dai talaka na kila mtu akachukua fito zake)
2. Ndoa za kufa na kuzikana (kama ndugu zetu wakaristo ambazo mpaka kifo kiwatenganishe)

Kwa ndoa za aina ya kwanza. Elimu au utajiri au madaraka si muhimu.

Kwa ndoa aina ya pili, Elimu, Mali na Madaraka yana umuhimu sana. Ili ndoa iwe rahisi kwa wote lazima mwanaume awe na Elimu zaidi ya Mwanamke, Mali au cheo zaidi ya mwanamke.

Hili suala huwa halionekani hasa wakati lengo kuu la wawili ni UTELEZI. Lakini kipindi ambacho utelezi si muhimu sana, hapo ndipo hili suala hujitokeza.

Katika kujenga hoja yangu nitatoa mfano mmoja
Mama Salma Kikwete kila akisimama kujitambulisha huanza 'naitwa Mama Salma, Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete...' (Hapo unajifunza nini?)

Mwanamke ni mtu wa matukio, ndo maana kama akikuzidi cheo, aidha atakushiti au atahangaika ili nawe umkaribie au umzidi kabisa ili awe proud kwa watu.

Hoja yangu inaweza isikubaliwe na mabinti ambao kwa wakati huu wanasaka waume. Maana kwa kipindi hiki jambo muhimu kwao ni kuitwa mke wa fulani ili mradi mb.oo inasimama.

Cc.

Lenie
Lanlady
Sawa
 
Mjomba aliishiaa form2 mkewe ana masters ya uchumi kaajiriwa kampuni kubwa apo dar na wanaishhi powa ila nilichojifunza ili uweze kumiliki mke mwenye elimu kubwaa basi uwe na pesa heshima nddani itakuwepo maana bila ivyoo utalia sana labda kama uaume kujishusha
 
Sasa kwa i mwanamke degree yake wewe inakusaidia nini? Mwanamke unavhohitaji toka kwake mbususu. Hiyo degree ampelekee baba yake huko aliyemsomesha. Kwa mume qualification ni uno sura na chura basi
I ndo hapo, degree kwani anakuja kuomba kazi kwake
 
Back
Top Bottom