Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karudie tena kufanya research yako. Mwanaume anacho hitaji kwa mwanamke heshima/utii,ndicho kitu ambacho wengi wa wanawake wasomi na wenye vipato hawana heshima/utii,sababu ya viburi vya fedha.ndoa za wenza ambao wanautofauti wa kielimu zina kazi sana nimeshuhudia nyingi sana,unakuta Mme na masters na mke ana form 4 ni shida juu ya shida uelewa unakuwa unapishana sana.
Halafu utashangaa kuambiwa huyu naye ati ana degree pia.Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure,ampate demu mwenye bcom degree ya hapo udsm, Diamond atakua na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Need I say more?Karudie tena kufanya research yako. Mwanaume anacho hitaji kwa mwanamke heshima/utii,ndicho kitu ambacho wengi wa wanawake wasomi na wenye vipato hawana heshima/utii,sababu ya viburi za fedha.
Na ndio maana wanaume wana prefer kuoa mwanamke mwenye elimu ya kawaida basi.
Ndoa sio shule haitaji genius unahitaji uelewe misingi ya ndoa kwamba mume ampende mke wake na mke HAMWESHIMU (UTII) mme wake basi.
Mfano wewe ndo mwanamke mwenye degree unatongozwa na mimi nisie na degree lakini Nina pesa halafu na mwanaume mwengine ana degree ila hana pesa ni yupi utaanza naye maisha?Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure,ampate demu mwenye bcom degree ya hapo udsm, Diamond atakua na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Anakuwa mtii sababu ya uelewa wa mambo kuwa mdogo, ndio maana wengi wao wakifika age fulani na kuelewa baadhi ya mambo hubadilika sana.Karudie tena kufanya research yako. Mwanaume anacho hitaji kwa mwanamke heshima/utii,ndicho kitu ambacho wengi wa wanawake wasomi na wenye vipato hawana heshima/utii,sababu ya viburi vya fedha.
Na ndio maana wanaume wana prefer kuoa mwanamke mwenye elimu ya kawaida basi.
Ndoa sio shule haitaji genius unahitaji uelewe misingi ya ndoa kwamba mume ampende mke wake na mke HAMWESHIMU (UTII) mme wake basi.
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure,ampate demu mwenye bcom degree ya hapo udsm, Diamond atakua na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Shauri yako na ndio maana wasomi wengi wa kike ndoa zao zina migogoro.Anakuwa mtii sababu ya uelewa wa mambo kuwa mdogo,ndio maana wengi wao wakifika age fulani na kuelewa baadhi ya mambo hubadilika sana.
Utii wa Mwanamke unatakiwa utokane na uelewa sio lack of information.Wanawake wengi wenye elimu ndogo kuanzia darasa LA 7,form 4 na form 6 utii wao katika ndoa unatokana na uoga na uelewa mdogo wa mambo
Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure,ampate demu mwenye bcom degree ya hapo udsm, Diamond atakua na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?
Kwani kuna digrii romantic au inayoongea?Hivi kibongo bongo mtu asiye na degree even if ni mcute au handsome kiasi gani, huko kwenye ndoa huwa yuko romantic kweli, is he/she tasting good?
Binafsi Naona kama they are not romantic na hawajui lolote linaloendelea hapa duniani?
Chukulia mfano Diamond hana hata form six failure,ampate demu mwenye bcom degree ya hapo udsm, Diamond atakua na any point ya kuongea na huyo mpenzi wake kweli apart from uhuni huni wake tu?