Hivi kibongo bongo ni sahihi mwanaume au mwanamke asiye na degree kumiliki mtu mwenye degree?

Hivi kibongo bongo ni sahihi mwanaume au mwanamke asiye na degree kumiliki mtu mwenye degree?

FC635C9C-29A6-4D13-B314-87ED96F383AB.jpeg
 
Tatizo hapa neno romantic watu wamelichukualia directly kwenye sex, but kama nimemuelewa mtoa mada hoja yake-anazungumzia u-romantic katika mahusiano ile flavour.

Mtoa mada mimi nimekuelewa upo sahihi kabisa mchanganyiko wa mahusiano kati ya mwenye elimu kubwa na ndogo huwa sio mzuri kabisa.
Sio kweli
 
Duh aisee umeongea pumba kupindukia ivi degree ninnini? Kuna watu Ni darasa la saba halafu wanakii gereza kizuri na wanacomfide kuliko wenye degree wanasisa wengi Ni std 7 huko jeshini wakubwa wengi was vyeo ninform 4 lakini wanawasimamia mayanki wenye madgree yakutosha wafanya biashara wengi Ni elimu ya sekondari lakini wameajiri watu wenye elimunzao shigongo Ni mfano was kuigwa sijui bakreesa anaelimu gani lakini katika mapenzi ndio kabisa kwataarifa yako wanawake wasomi ndio wanashindwa kudumu katika ndoa kutokana na ujuaji wao soon kutokana na kuzidiwa maarifa kwa wanaume....umefikiri vibaya Sana ndugu yangu unataka uniambie mama Samia kwakuwa Ni rahisi hastahili mume? Maprofesa wanawake au mabilionea wanawake? Mapenzi Ni sekta nyingine kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hapa neno romantic watu wamelichukualia directly kwenye sex, but kama nimemuelewa mtoa mada hoja yake-anazungumzia u-romantic katika mahusiano ile flavour.

Mtoa mada mimi nimekuelewa upo sahihi kabisa mchanganyiko wa mahusiano kati ya mwenye elimu kubwa na ndogo huwa sio mzuri kabisa.
Kwa hiyo huko chuoni huwa mnafundishwa kuwa romantic?Hii mada inadhalilisha sana kujadiliwa na mtu anayejiita msomi
 
Back
Top Bottom