Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Naona wachaga wamepumzishwa sasa mkifika kwa wagogo akina tonya mnistue
Hivi kabila gani linaongoza kwa roho mbaya?
Taja hata matano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wachaga wamepumzishwa sasa mkifika kwa wagogo akina tonya mnistue
Mimi sijajua lakini namkumbuka mks wangu mama fau mgogo alificha sufuria la ubwabwa kwenye dari hivyo akadai tule darini..Hivi kabila gani linaongoza kwa roho mbaya?
Taja hata matano
Ulijaribu kufanya uchunguzi wa kisayansi kujua hasa tatizo mpaka upate Gunia 2?Dah pale panataka ukauzu kweli pale nikipita kwenye gari nikiwa safarini sitaki hata kufumbua macho.ekari nzima ya vitunguu kuambulia gunia mbili ahaaaa
USAGARA Ya Mwanza haina uhusiano na hao wasagara unaowazungumza. USAGARA Ni neno la kisukuma lenye maana 2 ya kwanza mbaya.. (ousagara) ya Pili kulala chali..(ousagala).. moja ya maana mojawapo ya hizo 2 ndiyo Tafsri ya Eneo la Usagara lililipo wilaya ya Misungwi mkoa wa Mwanza.Hawa ndugu zetu wanaparikana wilaya za kilosa,morogoro na kilolo ,iringa.
Hawa ndio wale Carl Peters aliingia mkataba na chief wao jamaa fulani hivi mjanja ila alikuwa hajui kusoma,Chief Mangungo.
Ukienda mgeni kwenye miji yao unaweza kufukuzia demu mwenye ngoma asitokee mtu wa kukustua hata kama mnakunywa wote bia moaka waakikishe umemgonga.
Ukikodi shamba watakukodisha shamba lisilo na rutuba ili mradi tu usivune.
Ukinunua miche au mbegu kwao watakuuzia ile hafifu ili i usivune.
Kulisha sumu mifugo ya wenzao ni kawaida sana.
Ruaha mbuyuni ni kata ila imekuwa na kituo cha polisi tangu enzi za mkoloni chenye hadhi ya wilaya kutokana na matukio ya wasagara
Kuuna na kutupana vichakani au kurogana ni kawaida sana hawa jamaa.
Kwanza huwezi kujua kama wanaexist kwenye miji mingine
Nilishangaa Mwanza na Tanga kuna sehemu zinaitwa Usagara
Badilikeni washkaji
Duuuh hahaaaaaaMimi sijajua lakini namkumbuka mks wangu mama fau mgogo alificha sufuria la ubwabwa kwenye dari hivyo akadai tule darini..
Kisa nin kufanya hivyo na uliamuaje?Mimi sijajua lakini namkumbuka mks wangu mama fau mgogo alificha sufuria la ubwabwa kwenye dari hivyo akadai tule darini..
Niliachana nae ukanioa wewe na nimechoka na ndoa hii naenda kwetu kenya kwa kadhi unipe talaka.Kisa nin kufanya hivyo na uliamuaje?
Matunzo kwani wewe mtotoNiliachana nae ukanioa wewe na nimechoka na ndoa hii naenda kwetu kenya kwa kadhi unipe talaka.
Nahitaji matunzo m6 kwa mwezi..😀
Wewe ni shetani wa kwelikweli?"Enyi watu kwa hakika tunekuumbeni kwa mwanaume mmoja na mwanamke mmoja.Na tumekufanyeni mataifa na makabila mbalimbali ili mpate kujuana.Hakika mbora wenu mbele ya Mwwnyezi Mungu ni mcha Mungu "quran 49:13
Miaka 8 imepita sasa, sijaja Mwanza.ee usagara ni pale mzani kisha unaipita nyegezi stand(ipo kwenye ujenzi)kuna stand mpya ndio mabasi mengi yanashushia abiria hapo mbele ya nyegez stand
Nikumbushe kwa undani kidogo kuhusu huo Mkataba wa Ulaghai.Mangungo aliingizwa cha kike na Carl Peters hakujua kilichoandikwa yeye aliketewa zawadi akaambiwa weka dole gumba hapa,kumbe ndio kawauza wasagara,
Huwezi jua kama wapo,wagogo si wagogo,wahehe si wahehe
Inawezekana kabisa maana Hana chembe ya uhehe.Jamaa aliniambia Simbachawene ni msagara!!!
Wamesema wasagara sio wahehe wala wagogo!!!Inawezekana kabisa maana Hana chembe ya uhehe.
Wahehe ni watu na heshima zao
[emoji16][emoji16]
Miaka 8 imepita sasa, sijaja Mwanza.
Hapo wanapojenga Stand ni eneo la Buhongwa? maana niliwahi kusikia tetesi za stand ya Nyegezi kuhamishiwa Buhongwa