Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hii ni sawa sawa na kwenye uchaguzi wa mwaka huu CHADEMA wawaombe Mawakala wa CCM wawasaidie kulinda kura zao sehemu watakazoshindwa kuweka mawakala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahah natafuta soon, maana nimeingia jijini rasmi. Itabidi tufanye huo mpango wa kugawana rasilimali

Ila haya mambo bana, utaskia G leo mie naogopa huku kulala mwenyewe naona kama mtu amesimama dirishani. Mary bana...usiogope njoo basi ulale huku kwangu leo. Hapo picha linaanza sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu unaharibu siku yangu[emoji38]
 
Wewe itakuwa ulishawahi kuishi hili laifu haiwezekani ukayajua haya mkuu
Mm ni mwanaume, nikitaka mke bila mahari ningefanya kama huyo mwamba anachokufanyia now..
Ushauri: Bora kama shida ni kuzini tu mmalizane yaishe kuliko kuwa mke bila kutolewa mahari. Utafanywa, raha utasikia na hutataka kuacha mpaka pale utakapopata mimba au ngoma sasa at that point pona yako ni kama jamaa anakupenda.
 
Wewe haujui, picha linaanza hivi.

Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki[emoji23][emoji23][emoji23]na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?

Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu[emoji23][emoji23].

Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.
Nitakuja unishauri kitu mrembo, sawa ee
 
Mwenye kuanzisha hilo wazo atakuwa na jambo na mwenzake, na mwenzake naye akikubali hilo wazo hao kwa pamoja wanalao jambo, wameamua kuanza kwa staili yakipekee. Hakuna kijana mwenye girlfriend atakubali upangaji wa kiini macho kama huo, hali kadhalika kwa wa-kike vivyo hivyo.
Mbona ukweli mchungu huu hakyanani
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai😀😀...Mi nina sista yangu walianza hivyo hivyo na rafiki yake waliotoka chuo kimoja, vyumba tofauti, wakaanza ooh mara leo pika ww, oh mara naomba nisaidie kupasi, mwisho wa siku wakarudisha
Chumba kimoja wakabaki na kimoja 😜... sahivi wameshajenga tunachosubiri ni ndoa
 
Back
Top Bottom